CCM ni watu wazima walioamua kubakia madarakani bila kujali lolote. Wanajua kuwa pumzi imekata, wamechoka na wamechokwa wala hawana jipya. Ripoti zote (za karibuni) za CAG zinao uthibitisho huo.
Ni umeme, reli, SGR, ATCL, Demokrasia, utawala bora, ajira za kupeana, wizi, kukosekana haki au eneo gani ni salama?
Hata kama huo ndiyo ulio ukweli kwani shida Iko wapi kama wanaweza kuendelea kuchukua chao mapema kama wenye mali haiwahusu? Kwanini wasiendelee kuchukua chao kama wenye kuwawajibisha tumeshindwa hata kujitambua tu?
Ukombozi dhidi ya CCM utapatikana na wanaharakati sio na wanasiasa
Walisema kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Misahafu ikasema, "si kila aniambiaye bwana, bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni."
Kwamba haya yote kivyao vyao, vile vile ruksa na bila aibu?
1. Magoli ya mkono
2. Wizi wa chaguzi.
3. Kukimbia na masunduku ya kura mchana mchana.
4. Kuongeza kura kwenye masanduku.
5. Kuengua wapinzani.
6. Kununua wapinzani.
7. Kununua wasimamizi.
8. Kulazimisha refa kuwa wao.
9. Kulazimisha chaguzi bIla tume huru.
10. Kununua waliochaguliwa.
11. Kuengua waliochaguliwa.
12. Kuwashughulikia wakosoaji.
13. Nk, nk.
Halafu tupo tupo na maneno matupu huku tukikenua? Kumbe CCM watatoka je? Kwamba wataamua wao hatimaye kupumzika? Kama si Kinana, Wassira au hata JK aliyefikiria hata kustaafu tu, kumbe CCM hawa watastaafu lini na kwa ridhaa yao wenyewe?
Unamtoaje huyo madarakani kistaarabu wakati yeye siyo mstaarabu? Kwamba polisi wote wakiwamo wale wengine? Hayo si ndiyo yatakuwa ya Israeli kutotaka kushambuliwa kwenye maeneo yake ya wizi?
"Kwa hakika bila kujitoa ufahamu hata kuwa kama wao hatuwezi kutoboa. Ni lazima kuuvaa uchizi na kuwa tayari kuongea hata na mawe kiufasaha na yakapate kuelewa. bIla hivyo yatatusikia namna gani yakatupisha njia tuweke barabara?
Lugha kama hizi:
Wengine wakiziita za wenda wazimu ndizo zilizo "mujarab" kwa ma CCM. Kwa hakika hata yakiwa usingizini huamka yakasikiliza. Makomredi yakapigiana simu na kutaarifiana: "hiiiiiiiii.. iii, kmenuka!"
Wanapotufanya wajinga ni lazima wajue tuko tayari kuwaonyesha tu wajinga zaidi ya wanavyodhani:
Heri kundi la wajinga litakalo mfurusha CCM madarakani kuliko kundi la warevu linaloendelea kuogelea kwenye rafu za CCM likisubiria huruma yake au kudra za Mola.
Ni umeme, reli, SGR, ATCL, Demokrasia, utawala bora, ajira za kupeana, wizi, kukosekana haki au eneo gani ni salama?
Hata kama huo ndiyo ulio ukweli kwani shida Iko wapi kama wanaweza kuendelea kuchukua chao mapema kama wenye mali haiwahusu? Kwanini wasiendelee kuchukua chao kama wenye kuwawajibisha tumeshindwa hata kujitambua tu?
Ukombozi dhidi ya CCM utapatikana na wanaharakati sio na wanasiasa
Walisema kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Misahafu ikasema, "si kila aniambiaye bwana, bwana ataingia katika ufalme wa mbinguni."
Kwamba haya yote kivyao vyao, vile vile ruksa na bila aibu?
1. Magoli ya mkono
2. Wizi wa chaguzi.
3. Kukimbia na masunduku ya kura mchana mchana.
4. Kuongeza kura kwenye masanduku.
5. Kuengua wapinzani.
6. Kununua wapinzani.
7. Kununua wasimamizi.
8. Kulazimisha refa kuwa wao.
9. Kulazimisha chaguzi bIla tume huru.
10. Kununua waliochaguliwa.
11. Kuengua waliochaguliwa.
12. Kuwashughulikia wakosoaji.
13. Nk, nk.
Halafu tupo tupo na maneno matupu huku tukikenua? Kumbe CCM watatoka je? Kwamba wataamua wao hatimaye kupumzika? Kama si Kinana, Wassira au hata JK aliyefikiria hata kustaafu tu, kumbe CCM hawa watastaafu lini na kwa ridhaa yao wenyewe?
Unamtoaje huyo madarakani kistaarabu wakati yeye siyo mstaarabu? Kwamba polisi wote wakiwamo wale wengine? Hayo si ndiyo yatakuwa ya Israeli kutotaka kushambuliwa kwenye maeneo yake ya wizi?
"Kwa hakika bila kujitoa ufahamu hata kuwa kama wao hatuwezi kutoboa. Ni lazima kuuvaa uchizi na kuwa tayari kuongea hata na mawe kiufasaha na yakapate kuelewa. bIla hivyo yatatusikia namna gani yakatupisha njia tuweke barabara?
Lugha kama hizi:
Wengine wakiziita za wenda wazimu ndizo zilizo "mujarab" kwa ma CCM. Kwa hakika hata yakiwa usingizini huamka yakasikiliza. Makomredi yakapigiana simu na kutaarifiana: "hiiiiiiiii.. iii, kmenuka!"
Wanapotufanya wajinga ni lazima wajue tuko tayari kuwaonyesha tu wajinga zaidi ya wanavyodhani:
Heri kundi la wajinga litakalo mfurusha CCM madarakani kuliko kundi la warevu linaloendelea kuogelea kwenye rafu za CCM likisubiria huruma yake au kudra za Mola.