Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 790
kweli, hiyo ni kali maana hata sisi tulimbishia sana lakini yeye alisisitiza ndivyo ilivyo!hiyo kali,tusubiri watuje!
kweli, hiyo ni kali maana hata sisi tulimbishia sana lakini yeye alisisitiza ndivyo ilivyo!hiyo kali,tusubiri watuje!
Je jamani nimemaliza kidato cha nne nikapata iv alama 26 lakini ninatuma vyuoni lakini sijanguliwi je nifanyaje wanajamii?
Mkuu Larusai Mux Badala ya wewe kuniuliza mimi kuhusu ile dawa niliyokufundisha ya kuweka dushelele maji ya kitunguu Saumu wewe umeamuwa kufunguwa Thread hapa kuulizia mambo ya Ukimwi? Haya waulizie wajuzi watakujibu inshallah mimi sitokujibu kabisa.:angry:Wakuu husika na uzi huu,je,kijana anaweza kutumia njia zipi kujikinga na ukimwi bila kutumia kondom?,
Nimejiuliza hili swali kwasasabu kuna post 1 ya mkuu Mzizi ya kumfurahisha mpenz{kike} kwa kupaka dushelele kitunguu swaumu' hapa alimaanisha hutavaa zana(ndom) sasa vp kuhusu maradhi?,
Ni weledi unahitajika hapa!
Nawasilisha,
Mkuu Larusai Mux Badala ya wewe kuniuliza mimi kuhusu ile dawa niliyokufundisha ya kuweka dushelele maji ya kitunguu Saumu wewe umeamuwa kufunguwa Thread hapa kuulizia mambo ya Ukimwi? Haya waulizie wajuzi watakujibu inshallah mimi sitokujibu kabisa.:angry: