City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,795
- 4,240
Binafsi nyumba ya vyumba vya kulala vitatu yatosha na studio apartment nje kwa ajili ya wageni.
Hundred percentNi kweli kabisa
Kwani unalala kwenye miti?Siku nyani wakijenga nyumba na mm najenga. Maana hao ndo ndugu zetu kibaiolojia
Itakuwa tulimwelewa tofauti labda alikuwa ana maanisha sekunde kumi 10dk 10, weka bajaji za kuendea chooni mkuu
Hata ndege wanajenga nyumba kuepukana na atha ya jua na mvua.
Ni kweli. Niliwahi kuikimbia nyumba yangu moja maana nilikuwa siwezi fanya usafi yote.
Haswaa Shadeeya hayo mambo mengine sijui hasara au nini yatakuja baadae lakini kwanza mtu anajenga nyumba ya ndoto yake