Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wanabodi, wengi wamekuwa wepesi sana kununua magari wakiamini ni simple zaidi kuliko kumiliki/kujenga nyumba! Kujenga nyumba ni rahisi zaidi kuliko kununua gari. Kivipi ?
Ili ununue gari, ni lazima uwe na hela cash, mfano 10m n.k, lakini kujenga nyumba unaweza kuanza hata ukiwa na hela kidogo, mfano:
Milioni 1 ni sawa na tofali 1,000 ambazo unaweza kupandisha vyumba zaidi ya viwili hadi kwenye renta. Ukiwa na laki 5 ni sawa na tofali 500 ambazo chuma kimoja kinaisha. Ukipata hata laki 2, ni rahisi kutumia laki 1 halafu laki 1 nyingine ukanunua cement mifugo 7 au 8.
Nyumba unajenga ukiwa na hela ndogo ndogo tofauti na kununua gari. Gari linataka hela nyingi kwa wakati mmoja.
Tujenge jamani, ni rahisi kuliko kununua magari.
Ili ununue gari, ni lazima uwe na hela cash, mfano 10m n.k, lakini kujenga nyumba unaweza kuanza hata ukiwa na hela kidogo, mfano:
Milioni 1 ni sawa na tofali 1,000 ambazo unaweza kupandisha vyumba zaidi ya viwili hadi kwenye renta. Ukiwa na laki 5 ni sawa na tofali 500 ambazo chuma kimoja kinaisha. Ukipata hata laki 2, ni rahisi kutumia laki 1 halafu laki 1 nyingine ukanunua cement mifugo 7 au 8.
Nyumba unajenga ukiwa na hela ndogo ndogo tofauti na kununua gari. Gari linataka hela nyingi kwa wakati mmoja.
Tujenge jamani, ni rahisi kuliko kununua magari.