Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
The most philosophical comment. Big up!RIP Mzee Reginald Mengi
Nimemaliza comment yangu
The most philosophical comment. Big up!RIP Mzee Reginald Mengi
Nimemaliza comment yangu
Itakua hotel hiyo, hajaanza tu biashara!!View attachment 1273865
Una familia ya watoto wanne, umefanikiwa kimaisha watoto wanasoma na unajenga nyumba ya ghorofa vyumba 12 vya kulala.
Kwanza gharama za ujenzi ni kubwa, baada ya ujenzi kutunza nyumba ya vyumba 12 ni gharama kubwa sana. Hata ukiwa na mawazo ya familia kukutana watoto wanne wenye mafanikio si mara nyingi watakuwa nyumbani.
Nyumba ya vyumba vinne mpaka sita inatosha, pembeni unaweza kuweka houseboy quarter na guest wing.
Ukiwa mzee wewe na mke wako au mume wako kuishi kwenye nyumba ya vyumba 12 wakati watoto wote wana miji yao nayo ni gharama,
Aisee, nilidhani utasema, "mnachezacheza kama watoto;Mijumba mikubwaaa unakaa na mume wako tu..... Watoto Wana miji yao. Matokeo yake mapepo na Mashetani yanahamia nyumbani kwenu
Unamjua Kiduku Lilo Mkuu?since way back natafuta hela dream yangu ilikuwa ni kujenga nyumba kubwa na nimejenga nyumba yenye vyumba kumi, nyumba ndogo hapana bora nisijenge, unajenga nyumba ya vyumba vitatu mtu akiflash chooni sebleni wanasikia,mimi nyumba yangu kutoka sebleni kwenda chooni ni mwendo wa dakika 10
hapana,ni msanii auUnamjua Kiduku Lilo Mkuu?
30-40 mln ndio inatosha kwa hiyo nyumba inakuwa standard kabisa sasa hii pesa sio mchezoAisee ndug zangu mnajua ujenzi unamaliza pesa Sana,..yan upauzi tu Ni shida..finishing ndo balaa jingne..
Ushauri
Jenga nyumba vyumba vitatu..( viwili vya kawaida na kimoja Ni master bed room,.hakikisha iwe kubwa).choo cha ndani,..stoo,na jiko pamoja na sitting room &dinning room..ukimaliza kuijenga hi nyumba we kweli Ni mwanaume au mwanamke wa shoka...
Sqm 9000 nnazozijua mimi au kuna zingine??? Hilo ghorofa ground ni mlimani city au??? Duhhh hongera aisee maana ukitandaza nyumba yako chini uwanja wa mpira hautoshi.Nyumba yangu Ghorofa vyumba 11 square meter 9000 compound yote inaukuta mrefu kuzunguka nyumba, nina wtt watatu wanasoma wote mimi nashinda Jumapili tu Nyumbani. Ukweli Natamani chumba kimoja na sebule.Ushauri usijenge nyumba kubwa haina raha kabisa.
Kusingekua na haja ya kuishi duniani sasaDunia sio Mji udumuo. So tafuta sehemu ya kujibanza make Mungu keshatuandalia makao, ili alipo nasi tuwepo.
Itakuwa alimaanisha sqm 900 huyo.Sqm 9000 nnazozijua mimi au kuna zingine??? Hilo ghorofa ground ni mlimani city au??? Duhhh hongera aisee maana ukitandaza nyumba yako chini uwanja wa mpira hautoshi.
Kiduku lilo😎😎😎😎😎Unamjua Kiduku Lilo Mkuu?
Umeongea fact,utakuta mtu kajenga nyumba kubwa kuimalizia kasheshe kila weekend utamsikia naenda saiti bora piga 3 rooms na sebule na stoo
The whole compound sio area nyumba iliyo occupySqm 9000 nnazozijua mimi au kuna zingine??? Hilo ghorofa ground ni mlimani city au??? Duhhh hongera aisee maana ukitandaza nyumba yako chini uwanja wa mpira hautoshi.