D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,728
- 4,172
Tuanze na hii hiki ni Chumba kimoja chenye urefu na upana wa futi 14,Kwa 14, chumba kina choo ndani, chumba pia kina jiko ndani jiko la saizi ya futi 4 Kwa 5, apo zimetumika tofari 780, sehem ni kigamboni kibada,,,, maisha ni kuchagua😍😍
Kwa ushauri Bora wa kitaalamu muone Hechy Essy
Kwa ushauri Bora wa kitaalamu muone Hechy Essy