Kujamba (kutoa ushuzi) kuna faida kiafya?

Kweli kunaeneza ugonjwa gani. Mambo mengine hata hayahitaji kutumia akili bali masaburi. Heri kukaa kimya kuliko kubwabwaja. Napita anyway1
 
Duuuh! Kweli wana JF mnapenda kusoma, kujifunza na kufuatilia mambo! Mpaka kujamba!? Loooh!!!
 
Hewa inayotoka ni hydrogen sulphide na inaweza kuua kwa suffocation. Mirindimo yake pia inaweza kukuletea vibration disease kama unatoa frequently.
 
kwa ufupi kabisa! kuna hewa inayoitwa hydrogen sulphide (H2S), hewa hii inamadhara makubwa sana ambapo mtu akiivuta mwiini inaweza kuchanganyikana na hewa ya carbondioxide na kusababisha madhara yasiyotabirika. Pole sana mdau!

A scientific name for a fart is flatus or flatulence.

The word fart is just one of many different terms used to describe the release of gasses from the human body. Other popular names for farts or farting include: gassers, stinkers, air biscuits, bombers,
barking spiders, rotten eggs, and wet ones. You can pass gas, break wind, blast, beef, poof, rip one, let one fly, step on a duck, and cut the cheese.

Farts can be stinky, wet, loud, or silent but deadly.

Pee-eeew!!!

A fart is a combination of gases (nitrogen, carbon dioxide, oxygen, methane, and hydrogen sulfide) that travels from a person's stomach to their anus. When a person swallows too much air or eats foods that the human digestive system cannot digest easily gas becomes trapped in his/her stomach. The only way for this excess gas to exit the body is through the anus.

The gas that makes your farts stink is the hydrogen sulfide gas. This gas contains sulfur which causes farts to have a smelly odor. The more sulfur rich your diet, the more your farts will stink. Some foods that cause
really smelly farts include: beans, cabbage, cheese, soda, and eggs.

GONGA HAPA KWA HABARI ZAIDI
 
Ha ha ha!jaman jf mnanifanya muda mwingine nionekane chizi mbele za watu!this is not fair ooh!
 
Habari ndugu zangu, kuuliza si ujinga. Nafahamu takribani kila kitu kimtokacho mtu (hususani uchafu) kama mkojo, kinyesi, makozi, mate n.k hueneza aina fulani ya ugonjwa. Leo hii naomba kujua hewa chafu inayotoka kwa njia ya haja kubwa inaeneza ugonjwa gani? Dalili zake? Mbinu za kuzuia n.k. AMANI IWE NANYI! Naomba kuwakilisha

Kujamba ni dalili za kuwa na afya njema sana,ukiona wewe hujambi muone daktari kwa matibabu.nakumbuka siku moja nilifanyiwa upasuaji mdogo,baada ya kuamka toka usingizi wa nusu kaputi cha kwanza kuulizwa ni umejamba baada ya kuamka nikamjibu ndiyo na kunieleza sasa tunakupeleka wodi ya kawaida,nilimdadisi na kunieleza nimeonyesha uzima.
 
Inaonekana ni nadra sana kuona mtu akijiachia na kutoa hewa chafu mbele ya hadhara, na mara nyingi akitoa kwa bahati mbaya au kusudi na watu mko wengi anajikausha kwamba sio yeye, kama ukikutana na anayetoa shuzi bila aibu inakuwaje
 
Inaonekana ni nadra sana
kuona mtu akijiachia na kutoa hewa chafu mbele ya hadhara, na mara
nyingi akitoa kwa bahati mbaya au kusudi na watu mko wengi anajikausha
kwamba sio yeye, kama ukikutana na anayetoa shuzi bila aibu
inakuwaje

M2 wang characteristics of living things.
 
Inaonekana ni nadra sana kuona mtu akijiachia na kutoa hewa chafu mbele ya hadhara, na mara nyingi akitoa kwa bahati mbaya au kusudi na watu mko wengi anajikausha kwamba sio yeye, kama ukikutana na anayetoa shuzi bila aibu inakuwaje

Sisi waafrika ndiyo tunaona noma na ushuzi! Wazungu na wahindi wanajamba tuu kila hewa ikijaa! Hawaangalii wako wapi; ni kama kupiga chafya tuu kwao!

Kwa ufupi kwa wahindi na wazungu ANYWHERE is ushuzi place!
 
Balaa mkiwa wawili,wewe ukapiga cha vibration alafu kikatoa harufu.Mkiwa watatu umepona japo ushuzi utakuwa pale pale.
 
Kama ulikuwepo sijawahi kukaa na hao jamaa lakini ndani ya mabehewa na kwenye mabasi mkisafiri inakuwa vigumu kumtambua aliyeachia shuzi, ndo asili ya neno kajamba nani third class ndani ya behewa la train
Mkuu naona hujawahi kukaa na wakorea, hawa wandugu wanaachia kama vile wanacheua halafu huwezi kuona mwingine anamshangaa mwenzake
 
Nijuavyo mimi kwa siku hizi hakuna haja ya kuficha profile yako kuhusiana na afya yako, hujui nani atakusaidia na msaada utaupata kupitia njia hapa duniani
Tatizo ni unyanyapaa tu mkuu ! Jiulize pia kwa nini Watu hawapendi kuweka waz status zao za HIV.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom