Kuitwa kazini TRA

Kuitwa kazini TRA

Ishaisha muda jaman leo ndio nimehakikisha.....nimekutana na jamaa zangu wawili tulifanya nao hiyo interview ya TRA walikua kunduchi beach kwenye semina ya siku 5 na wameingia kazini muda tu kwahi u o ambao tushaliwa tuangalie mengine
 
Ishaisha muda jaman leo ndio nimehakikisha.....nimekutana na jamaa zangu wawili tulifanya nao hiyo interview ya TRA walikua kunduchi beach kwenye semina ya siku 5 na wameingia kazini muda tu kwahi u o ambao tushaliwa tuangalie mengine


huwa wanaweka majina mengine reserve,ni kufanya mambo mengine huku ukiomba Mungu,unaweza kuitwa. TRA huwa nawakubali tuu hapo,ukishaenda oral,una asilimia 90% ya kupata kazi either awamu ya kwanza au baada ya muda
 
TRA? Full kujuana pale.
endelea kuishi mazingira ya kukata tamaa na kuwa na mawazo finyu. Mimi nina rafiki zangu wamepata kihalali,wewe endelea na roho ya hivyo hivyo. ushindani huwa unakuwa mkubwa japo inawezekana wapo wachache ni pande
 
vip wadau hiv wale wa procurement ambao wa tulifanya interview landmark hotel mwezi wa pili vip wameshaitwaa? wenye kujua jamani
 
Back
Top Bottom