Kuitwa kazini TRA

Kuitwa kazini TRA

Mhhh ajira izi mbona ni noma xana ndo mnapata homa kiac icho duuh ngoja zamu yang ifke ya kuzunguka na bahasha.......
 
Leo naon hamna alojitokez au ndo washafung kurasa?!
 
Mara ya mwisho nilipiga ile nammba ilyotumika.just to check in if they found me unreachable,

Unfortunately yule mdada anayepiga simu huwa anapewa list ya majina na kuwapigia na yalikua yameishaa.....
Mmmoja tu alikua hajapatikani na alisema atamtafuta alikua anaitwa Marry,

Alisema kama atapewa mengine ndio atafanya kupiga simuu,

Otherwise they areeeeeeee Done!!!!
 
mimi nimeona namba inaishia na 700 je ndio zenyewe airtel naipiga haipatikani?
 
mimi nimeona namba inaishia na 700 je ndio zenyewe airtel naipiga haipatikani?

Nooo kigilag.......

Ni ile ilyo tumika kuwapigia watu walioitwaa...

Zile unazosemaa hakuna inayopatikanaa.... zile uzushii tuu..
 
Wenzetu mlioitwa TRA kuna chochote kitu wanatoa kwa kujikimu? Mana nasi tuliofanya interview mwezi wa 2 pale LANDMARK HOTEL ndo tunasikilizia mwezi huu wa 4 au 5.
 
May be hii itafunga huu uziii...
Watu toka jumatatu ya tarehe 13 april..
Wameingia pale chuo cha Kodi na kuendelea na kinachotakiwa kuendelea.. soooo Its done..
Unless you are reserve..
 
May be hii itafunga huu uziii...
Watu toka jumatatu ya tarehe 13 april..
Wameingia pale chuo cha Kodi na kuendelea na kinachotakiwa kuendelea.. soooo Its done..
Unless you are reserve..

Hii ni kwa wale waliofanya interview december 2014
 
Back
Top Bottom