Kuitwa kazini TRA

Kuitwa kazini TRA

jamani me nimeitwa nimeambiwa nikachukue barua makao makuu room namba 27 kesho.
oral interview nilifanya ya APO
 
Ashukuriwe Mungu, jana asubuhi mida ya saa 3 kasoro niliitwa saa nne nikawa nimepata barua yangu as ATO.
 
vip viongoz na hawa waliofanya oral february pale landmark hotel kwa post za procurement wameitwa?
 
Namshukuru Mungu jana niliitwa kwenda kuchukua barua yangu ya ajira pale TRA! Post ya ACO
Wadau ni kuombo God tu,mengine tuwaachie wenye nguvu
 
Vp jamani tumefanya wote interview.

Hizi tulifanya oral mwaka Jana December ni assistant preventive office, assistant custom officer, tax assistant, preventive assistant wadau watakaopigiwa Leo mtujuze
 
Back
Top Bottom