keepthefaithalive
Member
- Aug 4, 2014
- 44
- 15
Habarini wanajamvi...Kwa wale waliofanya usaili na TRA kwa nafasi za ACO,ATO,APO na PA mwezi wa 12 habari kutoka chanzo cha kuaminika (Reliable Source) kutoka MAPATO HOUSE makao makuu TRA ni kwamba wiki hii wakati wowote kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa wataita watu waliofanikiwa kupata kazi,so msikae mbali na simu zenu wadau!
Nawatakia kila la kheri tukutane pale ITA Institute of Tax Adminstration (chuo cha kodi) mikocheni kwa ajili ya training!
NAWASILISHA!!
Nawatakia kila la kheri tukutane pale ITA Institute of Tax Adminstration (chuo cha kodi) mikocheni kwa ajili ya training!
NAWASILISHA!!