mwathu JF-Expert Member Sep 11, 2012 403 210 Mar 25, 2015 #41 Kwa mbaali naanza kukata tamaa...nn kinachelewesha TRA kuita watu waliofaulu usaili...au ndio nafasi zishauzwa kwa watoto wa wakubwa...
Kwa mbaali naanza kukata tamaa...nn kinachelewesha TRA kuita watu waliofaulu usaili...au ndio nafasi zishauzwa kwa watoto wa wakubwa...
M mukoja Member Apr 23, 2013 19 1 Mar 26, 2015 #42 Tayari walichaguliwa wamepigiwa simu na kuchukua barua zao jana
T Tripple D Senior Member Sep 3, 2013 187 61 Mar 26, 2015 #43 Post zilikua nyingi.mpaka sasa nimesikia APO ndo wameitwa cjasikia PA
T Tripple D Senior Member Sep 3, 2013 187 61 Apr 6, 2015 #45 mimizebson said: Vp wadau, wameshaita wote?. Click to expand... watakua bado nasikia barua zipo nyingi sana
mimizebson said: Vp wadau, wameshaita wote?. Click to expand... watakua bado nasikia barua zipo nyingi sana
N Ndikinho Jr Member Mar 28, 2015 32 1 Apr 6, 2015 #46 Kama ww ni TA hesabu maumivu wameshamaliza kuita.
M mimizebson Member Feb 17, 2015 8 0 Apr 6, 2015 #47 Tripple D said: watakua bado nasikia barua zipo nyingi sana Click to expand... Wanaita nafasi gani kwa sasa?
Tripple D said: watakua bado nasikia barua zipo nyingi sana Click to expand... Wanaita nafasi gani kwa sasa?
T Tripple D Senior Member Sep 3, 2013 187 61 Apr 6, 2015 #48 mimizebson said: Wanaita nafasi gani kwa sasa? Click to expand... nadhani PA ila wanachanganya subiri after easter kaa karibu na simu na muombe MUNGU
mimizebson said: Wanaita nafasi gani kwa sasa? Click to expand... nadhani PA ila wanachanganya subiri after easter kaa karibu na simu na muombe MUNGU