Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
hahahahahaha! Ulichompa kaka kinamtosha.
Husny mbona hautetei hoja ya kaka?
hahahahahaha! Ulichompa kaka kinamtosha.
kaka umenikuna kaka....hahahhaha nimekukubali kaka
dada upo?Husny mbona hautetei hoja ya kaka?
Husny mbona hautetei hoja ya kaka?
Hahahahahaa! Hapa umeua kaka lol..Kaka unakosea kaka..
Neno kaka linatumika tu ku keptcha atensheni ya mtu wakati unamwongelesha kaka..
Ni kama vile tunavyotumia tu maneno mengine yeyote kaka,, hayana uhusiano wowote na self esteem ya mtu kaka..
Kaka kwa nini umewaza hivyo kaka?
kuna mtu anakuita kaka na komfidensi yake iko chini nini kaka?
Mambo we mdada!mmh! Hoja nzito hii amy. Lol. Mzma wewe?
dada upo?
Kaka Kaizer anakusalimu!
mmh! Hoja nzito hii amy. Lol. Mzma wewe?
Naamini kabisa wewe ni product moja wapo ya shule za kata!
Mie mzima mwaya, msalimie kaka shemeji judgement.
Naamini JF hapa ni moja ya mtandao wa Kijamii unayoiongelea!...Liko wapi hilo neno, kama si wewe kulianzisha?
Katika mitandao mbalimbali ya mawasiliano ya jamii neno KAKA, narudia KAKA limeshamiri sana.... mara hongera Kaka mara pole KAKA mara karibu KAKA....neno hili sasa ninakuwa superfluous.... unakuta mtu hata amekuzidi umri anakwambia kaka( na asitokee hata mmoja akachukua context ya kiingereza brother ) swali je kwa nini watanzania tumekuwa waoga hivi? hivi tumekuwa watu wa kuthamini flattary tu kwa nini? ni kukosa confidence juu ya kupambana na changamoto zinazotukabili! Jumuiya ya afrika mashariki ni dhahiri kenya itatufunika......tungoje tuone.... tutakalia kaka, kaka.....
We taratibu na mdomo wako, toka lini mtoto wa form two akawa mbibi.. Lol.poa we mbibi. Lol.
Mzima wewe?
We taratibu na mdomo wako, toka lini mtoto wa form two akawa mbibi.. Lol.
We taratibu na mdomo wako, toka lini mtoto wa form two akawa mbibi.. Lol.