Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Kuna wanaume huwa wanaenda mbali wanatafuna wadogo wa mke wake kwa kigezo amawaoa pamoja na dada yao na anawalisha na kuwavalisha wao ni kunya tu.
...dahhh, incest, taboo au nini hii?...
Kuna wanaume huwa wanaenda mbali wanatafuna wadogo wa mke wake kwa kigezo amawaoa pamoja na dada yao na anawalisha na kuwavalisha wao ni kunya tu.
Wakuu!
Kwa familia za kiAfrika tuna tabia za ndugu wa kutoka kwa mke na kwa mume kuishi na familia fulani, hasa wanapokuwa katika hali ya kutafuta misaada au kuugua.
Je inakuwaje pale mke na mume wanapokorofishana na kufikia hatua ya mke kufunga virago kurudi kwao...Je ndugu wa upande wa kike wanaondoka au hubaki?..chukulia kuwa hao ndugu si sehemu ya mgogoro wa familia husika, na hawajawahi kushabikia upande wowote!
Husninyo,
Ni jambo jema Mwanamke kujiandaa, na kama ana uwezo ni njema akijenga kwao...lakini shida moja ya maendeleo ya aina hii ni kwamba Mwanamke wa aina hii anakuwa na kiburi sana, naanatumia umiliki wa nyumba kama kichaka cha kumtishia mume na kutomheshimu!
Nina mfano wa Dada na kaka wa tumbo moja, mvulana akiwa ndo mkubwa, na wote wamepata majiko.Huo nimtihani mkubwa sana, maana siku akishushiwa kipondo sijui unaingilia kuamulia au au unaugulia pembeni dada akipigwa....!
Mtambuzi Heshima kwako,
hili jambo linahitaji uangalifu wa hali ya juu, mie kila siku napinga SANA hii kitu, unakuta baba jitu zima na kazi linafanya linang'ang'ania kwa dada yake aliyeolewa, mimi nasema hivi kwa kuwa nimekutana nayo, mke anapokosea na ukamgombeza kwa sauti au kushusha kipondo(Mungu epusha) sijui kaka mtu anajisikiaje ukizingatia ni mwanaume kama wewe, nafikiri rohoni huwa wanatamani kuingilia lakini roho inawasuta kuwa itakuwa ndio passport ya kuondolewa
Doctorz,Nawa ombeeni woote wana JF isiwakute situation cumbersome kama hiyo.
Ni fedheha kubwa sana kuishi kwa dada alipo olewa. Hasa kwenye manyumba yetu ya kibongo. Dada akishughulikiwa, wewe unasikiliza. Looooo!!!!!
HAIWEZEKANI!!!!!!!!!!!
Hii ni wazi kabisa, nina mfano Live!Kuna wanaume huwa wanaenda mbali wanatafuna wadogo wa mke wake kwa kigezo amawaoa pamoja na dada yao na anawalisha na kuwavalisha wao ni kunya tu.
Mokoyo,haiko clear sana hii mada yako Mkuu, kuna vitu vingi sana unatakiwa kuvifafanua unapozungumzia kufungasha virago
Lakini kuna ugomvi serious wa familia ambao hata mtoto au mtu mzima aliyeko ndani humo hatosikia wala kustukia kitu, ila chumbani ni moto unawaka!Ndugu wote wa mke nao inabidi wafunge virago. Watabakije hapo, kwa misingi ipi? Nani atawahudumia?
Mwanamke akiwa jasiri sana hafai kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani!...nadhani wanaume wengi wataniunga mkono.pj mwanamke wa hivyo huwa na ujasiri na wanaume mnaogopa wanawake wajasiri maana mnashindwa kuwapelekesha mnavyotaka. Mwanamke wa hivyo akikosana na mumewe kidogo huonekana ana jeuri sababu ana nyumba wakati hata kama asingekuwa na nyumba migogoro pia ingeweza kutoke.
Mwanamke akiwa jasiri sana hafai kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani!...nadhani wanaume wengi wataniunga mkono.
...dahhh, incest, taboo au nini hii?...
pia maranyingi huwa tunasema kama unamapenzi ya dhati basi utapenda familia nzima na sio mmoja, so kuachana na mmoja sio maana kuichukia familia nzima. kumbuka UDUGU NI KUFAANA NA SIO KUFANANA.
Wakuu!
Kwa familia za kiAfrika tuna tabia za ndugu wa kutoka kwa mke na kwa mume kuishi na familia fulani, hasa wanapokuwa katika hali ya kutafuta misaada au kuugua.
Je inakuwaje pale mke na mume wanapokorofishana na kufikia hatua ya mke kufunga virago kurudi kwao...Je ndugu wa upande wa kike wanaondoka au hubaki?..chukulia kuwa hao ndugu si sehemu ya mgogoro wa familia husika, na hawajawahi kushabikia upande wowote!
H a ha haaa!Dah.! ni ngumu sana lakini kama huna jinsi itabidi uvumilie tu utimize malengo yako......ila kuna jamaa alikua anaishi na shemeji yake....siku moja shemeji kamto out kwenda kupata kinywaji kidogo......walifika baa jamaa akaagiza kili,...shemeji akamwambia....aaaah shem jaribu kunywa Gordon....ukinywa hiii unapiga mashine usiku kucha...ngoma hailali.
ndugu yangu mimi hapa kwangu wapo wadogo zake mke wangu watatu wakiume moja anasoma masters mwingine mwaka wa 3. afu huyo mwingine form 5 wanachumba chao washaweka kila kitu hadi tv yani hapa ni mawazo maana bila hata aibu wananiambia na matumizi yao kama laptop mimi ndo naghalamika hata chuo mimi ndo niwapeleke sijui hata nifanyeje
1. Wazazi wao wako hai?
2. Kama wapo hai wana uwezo wa kuwahudumia?
3. Wa masters hafanyi kazi? Kama anafanya kwa nini yupo hapo?
4. Kuwahudumia si lazima ni hiari, kumbuka hata msaada unaowapi sio wajibu wako, ni hiari...wasiigeuze hiari kuwa lazima