PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
- Thread starter
- #21
Kuingilia ugomvi huo haifai Mkuu!Kukaa kwa shemeji..........!
Huo nimtihani mkubwa sana, maana siku akishushiwa kipondo sijui unaingilia kuamulia au au unaugulia pembeni dada akipigwa....!
Labda ukiingilia uwe upande wa shemeji, umchenjie dadako, ndo utasalimika!