Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Kuishi Dar haimaanishi wewe mjanja

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,487
Reaction score
65,822
Hellow

Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo

Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na kuibiwa kijinga sana sasa wewe wa mkoa umeenda dar kwasababu tu ya kazi unajiona mjanja subiri wakuingize mjini

Na watu wa dar wengi wanajiamin kuwa wanajua kuvaa yaan wanaenda na wakati uongo sio wote ukitembea utakutana na vituko vingi sana kiasi hukutegemea kabisa

Kuishi kwako dar haimaanishi unajiweza uongo wengi dar wanaishi maisha ya kawaida sana tena kama mgeni usikimbilie kununua gar itakutesa mkuu

Kuishi kwako dar sio kwamba dar yote unaijua no kuna njia zingine uzijui kuwa mpole punguza ujuaji utashindwa saidiwa
 
Hellow

Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo

Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na kuibiwa kijinga sana sasa wewe wa mkoa umeenda dar kwasababu tu ya kazi unajiona mjanja subiri wakuingize mjini

Na watu wa dar wengi wanajiamin kuwa wanajua kuvaa yaan wanaenda na wakati uongo sio wote ukitembea utakutana na vituko vingi sana kiasi hukutegemea kabisa

Kuishi kwako dar haimaanishi unajiweza uongo wengi dar wanaishi maisha ya kawaida sana tena kama mgeni usikimbilie kununua gar itakutesa mkuu

Kuishi kwako dar sio kwamba dar yote unaijua no kuna njia zingine uzijui kuwa mpole punguza ujuaji utashindwa saidiwa
Kweli mkuu,tunakomaa sana na watu kukaa Dar,yaani kama Yuko peponi!
 
Mtoto wa shamba ana nafasi nyingi za kufika dar na kuwa mjanja zaidi , ndio maana kuna watu walitoka kijijini na shangazi kaja, sasa hivi ndio ma doni wa hapo dar na kuwaacha wajanja wa maneno na uhuni wakitoa tu macho.
 
Kuna sehemu ina wapumbavu, washamba na maboya kupita Dar?

Jitu halina kazi lakini linaona aibu kufanya baadhi ya kazi. Mwanaume anajipura kuliko hata dada zake, mtoto wa kiume anajua habari za mwanaume mwenzie kuliko hata mke wa huyo mwanaume.
 
Hellow

Kuna watu wana jiaminisha kuwa hawewezi kutapeliwa wala hakuna asichokijua kwasababu tu anaishi dar ni uongo

Kuna watu wamezaliwa dar na wamekulia hapo ila wanatapeliwa kila siku na kuibiwa kijinga sana sasa wewe wa mkoa umeenda dar kwasababu tu ya kazi unajiona mjanja subiri wakuingize mjini

Na watu wa dar wengi wanajiamin kuwa wanajua kuvaa yaan wanaenda na wakati uongo sio wote ukitembea utakutana na vituko vingi sana kiasi hukutegemea kabisa

Kuishi kwako dar haimaanishi unajiweza uongo wengi dar wanaishi maisha ya kawaida sana tena kama mgeni usikimbilie kununua gar itakutesa mkuu

Kuishi kwako dar sio kwamba dar yote unaijua no kuna njia zingine uzijui kuwa mpole punguza ujuaji utashindwa saidiwa
Dogo ukiona mtu anaishi Dar ujue huyo ni Superstar tayari sio level za watu wa mikoani tena.
 
Back
Top Bottom