Kama ngano zetu huku kwamba kwenye mito kuna mijoka mikubwa? Mijoka inayozungumza...mijoka inayotema moto?Hizo ni Ngano + visasili
Hili suala huwa nawalalamikia sana mods huko PM mpaka wameniona mimi mkorofi...Invisible ,hii thread bado mnaihariri tangu jana saa tisa alaasiri?
Pamoja sana mkuu,tuendelee kujifunza taratibu....umeandka vzuri bro nmeshawah kusoma nakala flan la NASA wakikanusha uwepo wa viumbe wakati huohuo baadh ya mashuhuda kuptia majarida balmbal wameelezea uwepo wa aliens ila umechambua vizur sana sana nmependa na endelea kutupa uzi za kigeographia coz mm n mtaalam wa anga meteorologist so napenda hiz nakala na uchunguzi.
Kuhusu kuwasiliana nao nimeliongelea kwenye mada,unaweza kupitia hili...sasa kama hawaongei wanawsilianaje na Marekani?
Na wamejuaje nia zao?
huyo princess aliwapata wapi mpaka kusafiri nao
Mkuu,swali hili la kama kuna uwezekano wa kuhusiana kati ya Wanefili na Aliens nimeulizwa na mkuu mmoja hapo juu na nimemuambia kuwa nitaendelea kuandika makala kila nitakapokuwa napata muda na tutakuwa tunaunganisha dots taratibu na tutakuwa tunaelewa mkuu wangu....Hongera mkuu Eiyer kwa makala nyingine nzuri na ya kusisimua.
Hawa aliens unaowaongelea wana uhusiano wa moja kwa moja na wanefili uliokuwa ukiwasimulia kwenye makala zako za nyuma? Je,kama hawahusiani ajenda zao,utendaji wao unakinzana na shughuli za Mungu juu ya mwanadamu? Je,inawezekana hawa viumbe ni tokeo la malaika waasi? La mwisho na la msingi kabisa,naomba uwe unanitag kwenye posti zako maana zinanivutia.
Safi sana mkuu kwa kuendelea kutafakari na taratibu tutaendelea kupata ufahamu mzuri zaidi..Kwa ninavyoona USA ina mipango ya kiovu juu ya binadamu, wanachofanya ni kutufanya tuamini kuwa Aliens ni viumbe toka space ili vikianza kuleta uharibifu tukose cha kulalamikia. Mi nionavyo USA imelenga nchi za kimaskini hasa huku Africa ambapo teknolojia ni duni waweze kutufanyia ukatili wa kupora mali zetu kwa kutumia "Robots" afu waseme aliens. Hakuna mambo ya viumbe, sijui aliens, zote hizo ni hila za wazungu, mara utasikia Aliens kaonekana Zimbabwe kabeba Ng'ombe! Kumbe ni roboti linaloendeshwa na Mitambo. Tujichunge sana wakati ndo huu wa vita.
MkuuWakati mwingine naanza kufikiria vibaya kidogo na kwenda mbal..najaribu kuwaza kwamba kwani huku JF kuna watu wamechaguliwa kua wao tuu ndio wakuandika kitu fulan??? Alafu huyu anaesema kazi hii muachie fulan....ni kwel ni third party ama ni huyo huyo ambae anajidai ni shabiki kuongeza kick??
Nilishawahi kukutana na taarifa ikionesha kuwa hata huku Afrika hao Aliens walishawahi kuonekana na tukio la karibuni zaidi ni la kwenye shule moja kule Zimbabwe....Hao alliens wanaonekana nchi za mbele tu huko?
Viongozi mashuhuri duniani wamewaona ila viongozi wa Afrika sijaona aliekutana nao!
Umesema kuna kundi la binadamu wachache wenye nia ovu Juu ya wengi. Yes ni kikundi cha watu wachache..waoga na makatili kupindukia.
Wanaua watu kupitia mifumo ya afya, mazingira(global warming), uchumi, vita etc..sasa wametumia njia zote na bullet yao ya mwisho ni hiyo ya alliens baada ya ile ya secret society kufeli.
Hao aliens, kama wapo ni viumbe tu wa kutengeneza maabara through cross breeding. Kama walivyo robots.
Tunajua kikundi hicho cha wachache kinakazana kufanya depopulation, psyco operations, mind control hadi tunapoteza WILL power na kuanza kuogopa vitu vya ajabu.
Na NWO ndio inaelekea kufeli sasa .
MkuuKwa kweli mleta mada amenifanya nifikiri nje ya box
Vitabu vingi sana vya kale ukiacha hivi vya kiimani vimeandika kuhusu uwepo wa viumbe wengine ukiacha hawa tunaowajua wanaoonekana kwa macho....Kiukweli kama Mungu alituumba na aliumba ulimwengu wote, alafu akatuumba binadamu peke yetu tu na hakuna binadamu au viumbe wengine sehemu nyingine ya ulimwengu, basi Mungu atakua alifanya kazi chini ya kiwango.
Haiwezekani ulimwengu wote huu tuwe peke yetu tu.It doesn't make sense
Hizi taarifa zinazuiwa kwa gharama yoyote na sijui ni kwanini....Kifupi ni kuwa kuna chombo kilianguka huko milimani uswis,ambapo watu 11 watalii wa kizungu walikiishuhudia na Mmoja kupiga picha,baada ya muda kiliondolewa hicho chombo kwa siri kubwa lkn ktk hicho chombo kulikua na viumbe hao watatu ila walikuta wawili mmoja kaenda wapi yukp wapi haijulikani,mchezo unaanzia hapo na wale mashuhuuda wote 11 wanatakiwa kuuwawa haraka mmno kabla hawajamhadithia MTU.... In SIRI inawezekana wapo kweli hapa duniani unaweza kukitafuta mie ninacho
Mkuu heshima kwako....Hili suala huwa nawalalamikia sana mods huko PM mpaka wameniona mimi mkorofi...
Utaratibu wa kupitia uzi kaba ya kuuachia public kwenye jukwaa hili ni utaratibu mzuri sana lakini unakuwa unakera na muda mwingine kukatisha tamaa pale ambapo inachukua muda mrefu sana kufanyiwa moderation...
Yani mtu ukizingatia muda na nguvu uliyotumia kuandaa mada alafu inakuja kuchukua masaa chungu mzima Uzi umefichwa tu.... Dah inakera haswa!
Jamii forums walione hili...
Pia mkuu nikupe pole kwa huyu mpuuzi aliyekuwa anatoa kejeli humu kwa kuhusisha kejeli zake na jina langu... Pole sana kwa usumbufu uliopata!! Niko shocked kwa kweli kuona huyu mtu amejipa "mission" ya kupitia nyuzi za watu na kutoa kejeli huku anahusisha jina langu... Sijajua ana lengo gani haswa!
Pole sana mkuu...
Nimesoma kwa "kuscan" haraka haraka.... Sasa ngoja nisome kwa mara ya pili taratibu nami niinjoi utamu huu...
Good work mkuu!
Pia naomba unitag next time!! Wengine ndio "ulevi" wetu huu..
Cheers!!
Shukrani mkuu kwa pongezi zako...nilipoona ni mambo ya kuiper belt kidogo nikimbie, mi na miamba mbalimbali
lakini kuona alien tu nikamakinika ,kuanza kutafuta mashine ya kuchambua hayo madini.
eiyer kazi bora hii.
nb:nb cjui ni simu yangu tu ,maana kwenye title naona certain, inapaswa kuwa hivyo au curtain.
ukiweka nyingine, tafadhali nitag