Yaani magdalena awe beneti na yesu hadi usiku asiwe na injili yake ila marko hamjui yesu awe nayo!?.. yesu aliiacha imani mikononi mwa marry magdalena,hata wanafunzi wakaona wivu kuwa anampa kipaumbele Maria magdalena kuliko wao,mfumo dume ukamtoa kwenye ramani na kuishepu imani yako watakavyo(da vinci code)🤣🤣Eti injili ya Magdalene,hivi mudy aliwadanganya sana ee
Kama hujui historia ya Quran omba tukufundishe ,
Nitaleta mada naiandaa jinsi Roman Catholic wakishirikiana na Al Azhar University walivyotengeneza Quran ,nitaweka na ushahidi wakutosha ,
Sharti hutakiwi kuvaa chochote zaidi ya kanzu ama?Wanaenda maka kuabudu sanamu au jiwe na kutoa makafara.
Halafu kwenye ule umati hamna kuvaa boksa, halafu mnasongamana na wanawake huku mkigusa makalio yao, sasa mii hii msumari ikisimama itakuwajee, jamani mudi huko aliko mwache tu aendelee kula kipondo
Umauti ukikufika ndio utaongea vizuri na itakua umeshachelewa. eti Badala ya kujenga shule ama viwanda wanawajengea misikiti. Hivi unajua unachokiongea? Hivyo viwanda vinamaana kuliko misikiti!! Pole sana.Badala ya kujenga shule ama viwanda wanawajengea misikiti , hata viwanda hakuna.
Waza Traole wa Burkinabe amekataa misikiti 200 kujengwa nchini kwake. Yaani dini ni kirusi kikubwa mno kimlacho sema akiwemo humo humwambii Mana hawezi ona , yaani haamnbiliki na watu wanaambukizana chuki kuwa Hawa hawafai Mana wanamuabudu kwa njia isiyo sahihi Bali wao ndio walio kwenye njia sahihi utadhani waliambiwa. Na bado badala ya kukaa kimyaa wanaleta chuki Hadi ya kutaka kuwaua wengine na wanalazimisha wengine waifuate njia yao.
Hawa wamepoteaMasharti gani?
China si naskia nao wananyonga kama hawana akili vizuri, ukila rushwa,ukifanya ufisadi au ukikamatwa na madawa ya kulevya...au sio kweli, kasumba tu?
Nakuhurumia ujue ,yaani akili yako imeharibiwa adi nakuhurumia.
Mwambie Mungu wako wa uislamu amalize wote mbaki nyie wenyewe
Kaka ulikuwa muislam before hujampokea Yesu?Moja kati ya maamuzi Bora nimewahi kufanya katika maisha yangu ni kuukana uislamu na kumkubali Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa MAISHA yangu
Huwezi jua how minds operate.Wewe na wenzako ndio wakuhurumiwa, chuki chuki mmejawa.
Bhujiku ng'waka
Unaleta hofu ama unataka watu wafanye maamuzi kwa kukufuata hofu ya kufa.Umauti ukikufika ndio utaongea vizuri na itakua umeshachelewa. eti Badala ya kujenga shule ama viwanda wanawajengea misikiti. Hivi unajua unachokiongea? Hivyo viwanda vinamaana kuliko misikiti!! Pole sana.
Sharti hutakiwi kuvaa chochote zaidi ya kanzu ama?
Kwahiyo umekubali ukristo sio dini, bali ni upagani!
Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislam, kuisoma Qur’an ni raha sanaaaaa, kuongea kiarabu ni rahaaaa. Hakuna kama kiarabu.
Masharti gani?
China si naskia nao wananyonga kama hawana akili vizuri, ukila rushwa,ukifanya ufisadi au ukikamatwa na madawa ya kulevya...au sio kweli, kasumba tu?
Sana yaani binadamu ni wa ovyo sanaUnamchinja mwenzako kweli ukiamini Mungu anapenda wewe ni madhambi mangapi amefanya ambayo hayaonekani na haujachijwa?Umeaua wenzako kwa siri,unazini na wake za wenzako,unalala kinyume na maumbile na wanawake kwa wanaume haya unafanya gizani na hakuna aliyekuchinja ila hadharani unatoa amri au kunyoosha upanga mwezako afe!Hii ni shida kubwa
Usifananishe biblia na ujinga wenu
Wewe huzitambui hadithi haya tuambie swala tano na rakaa zake unazipata wapi
Aleyommba gekke nkoi eliakeem, Mwenyezi Mungu anaelewa lugha zote, hata tukiomba dua kwa kiarabu, kiswahili, kisukuma n.k anaelewa.
Mwenyezi Mungu ni MkubwaSasa kwa nini kutwa kucha nia aluaah kibari
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa
Sawa, kwani mkitaja kwa kiswahili halafu ndani kwenu au msikitini mwenu, allahu wenu hasikii au haelewi?
Katika salaa huwezi tumia lugha tofauti na kiarabu, hata waliosilimu walifundishwa na wakaelewa. Uislam sio kama upagani, kwa maana ya ukristo, buddha n.k.
Na mpaka utakapokufa na kuzikwa hadi siku ya Qiyamah lugha itakayotumika huko ni kiarabu tu, hakuna english, kiswahili wala mama yake kiswahili. (Allahu a'lam)
kahtaan