Kuingia bure ,kutoka unaacha kichwa

Kuingia bure ,kutoka unaacha kichwa

Hawa jamaa wanakuwa wamepigwa sana kunyong'onyezwa mwili?? Kwa nini wanakua kama mandezi hata hawajitetei
Kabla ya kwenda kuuawa unahubiriwa kwanza mauongo kuwa ukiwa mtulivu kwenye kunyongwa unapata thawabu kubwa na unaenda kupokelewa ahera bila shida.

Ila ukileta vurugu zako wakati wa kuuawa, utaenda motoni.
 
Nyie wote ni wapagani mkuu, ukristo, budha wote ni wapagani.

Dini ni moja tu, Uislamu.....zingine ni upagani
Nakuhurumia ujue ,yaani akili yako imeharibiwa adi nakuhurumia.
Mwambie Mungu wako wa uislamu amalize wote mbaki nyie wenyewe
 
Anayechinjwa pia mjinga,dini zote ni mipango ya wajanja tu ,siwezi kuchinjwa kwa ajili ya dini.kuna msemo flani IN ROMA DO AS ROMANS DO . nikiwa kwa waislam siwezi kufanya yatakayowauzi kuhatarisha afya au maisha yangu au ya familia yangu,vilevile nikiwa china,india,arabuni nk.kukubali kuchinjwa kisa dini flani ni upumbavu
 
hawa wasenge waendelee kugongwa tuuu
 

MAANA YA MURTADI


Murtadi ni mtu ambaye alikuwa Muislamu kwa hiari, kisha akaamua kutoka kwenye Uislamu kwa kauli au vitendo vya wazi.

ONYO:Hii video inatisha,Murtadi akichinjwa kwa jina la Allah

HADITH KUHUSU MURTADI

Hadith za Mtume Muhammad (S.A.W) zinaeleza kwa uwazi kuhusu adhabu ya mtu anayeacha dini ya Kiislamu.


Hadith kuu:


a)




Hadithi hii ni sahihi na ndiyo msingi wa hukumu ya kifo kwa murtadi katika fiqh ya Kiislamu. Inahusiana na mtu anayepinga waziwazi dini na kuchochea uasi au fitna.


b)
Imepokewa pia kuwa Mtume (S.A.W) aliwahi kutoa hukumu ya kifo kwa watu waliokuwa Waislamu kisha wakatenda ukafiri kwa makusudi na kujiunga na maadui wa Uislamu.

HUKUMU YA FIQH KUHUSU MURTADI


Wanazuoni wa Kiislamu (fuqaha) wamekubaliana kuwa:

  • Murtadi wa wazi (anayepinga na kuchochea): anapewa nafasi ya kutubu. Akikataa, anauliwa kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu.
  • Murtadi wa ndani (asiyeleta fitna): baadhi ya wanazuoni wa kisasa wanapendekeza aachwe kwa Allah aendelee kuadhibu.

NCHI ZINAZOTEKELEZA HUKUMU HII


Sheria ya adhabu kwa murtadi kwa msingi wa Hadith hutekelezwa katika baadhi ya nchi zenye mfumo wa Shariah kama:

  • Saudi Arabia
  • Iran
  • Sudan
  • Afghanistan

Qur’an inazungumzia urtidad (kuacha Uislamu) kama kosa kubwa lenye athari za akhera. Hadith sahihi inatoa amri ya kifo kwa murtadi wa wazi. Hii ndiyo msingi unaotumiwa katika fiqh za baadhi ya madhehebu za Kiislamu.
Hii dini tuwaachie kina Abdullah
 
Dini ya kiarabu ya kijinga sana. Unalazimishwa kuabudu halafu kiama unapimiwa zambi. Kwa hio ukishachinjwa dhambi zimeisha?
Haya mambo huko huko uarabuni hapa Afrika marufuku na hayana nafasi na tuyakatae. Dini imewrka uhuru ufe na dhambi uchomwe moto, ukiikataa dini uchomwe moto siku ya kiama. Kwa nadharia hii kiama hakipo ni upuuzi mtupu wa kulazimisha tamaduni za kiarabu zitawale dhidi ya nyingine.
Katika kitu nakiona ndugu zangu waafrika kukumbania dini ya warabu mi kuendelea kuwa mtumwa wa kukuza uarabu.
Mwaka wa 5 sasa sijaenda msikitini na huo ujinga siutaki njoo unakate kichwa ili tutiane visu. Hakuna Mungu anaelazimisha bali hukumu ndio itakayo amua sio mtu.
Huwezi ingilia uhuru wangu, tutaelewana.
 
Moja kati ya maamuzi Bora nimewahi kufanya katika maisha yangu ni kuukana uislamu na kumkubali Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa MAISHA yangu
Be free achana na kupelekeshwa utaishia kumlisha askofu na mtume mwamposa.
 
Ndiyo maana Mchina ameweka masharti magumu dhidi ya dini hiyo

Hii dini haina muda mrefu, itaingia kwenye kaburi la sahau.
Wanaimba ni dini ya haki, wakati hata hiyo haki yenyewe hawana tafsiri yake standard
 
  • Thanks
Reactions: K11
Nyie wote ni wapagani mkuu, ukristo, budha wote ni wapagani.

Dini ni moja tu, Uislamu.....zingine ni upagani

Wee kweli ndiyo umedanganyika mazima.
Nani aliyekuambia uislam ni dini, ile ni mpango au chombo cha kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Ndiyo maana kutwa lucha mnaimba maluwe luwe kwa lugha yao ya kiarabu, majina lazima muitwe ya kiarabu, mavazi yenu lazima yawe ya kiarabu, majengo yenu ya ibada lazima yawe ya kiarabu, chakula chenu ndiyo maana lazima kiwe cha mahadhi ya kiarabu, muziki wenu wa kuabudu (kaswida) lazima iwe na miondoko ya waarabu.
Mengine, ibada yenu ya sanamu lazima mkaifanyie kwenye jiwe lililoko uarabuni, kitabu chenu kikuu cha uislam, kimeandikwa kwa kiarabu, nk nk Yaani nyie ni wahanga wa mfumo wa desturi na mila za kiarabu.
 
Uislamu ni kama sayansi eti, watu hawauchagui. Ina maana wazee wetu witishwa kuingia huko.
Mi sipendi sheria nyingi za kiislamu na mapkeo baadhi ni ya kukuza uarabu. Mfano kuaminishwa kanzu ni vazi takatifu wakati kanzu ni kitambaa tu kama kitambaa vingine na warabu walivaa hivyo hata kabla .uislam haujawepo. wahindi na wayahudi wote wanavaa.
Kusema kiarabu ndio lugha ya Mungu na qurani isisomwe kwa lugha zetu. Hii ni sheria isiyo na mashiko. Mungu hana lugha wala hana umbo kama letu. Hafanani na kitu cho chote vipi kugha ya warabu ifanane na ya Mungu ?
Ukianza kusema Mungu anaongea unamvisha umbo la binadamu. Hivyo itabidi umpe masikio na macho na akili.
Misikiti hakunaga kuuliza swali hivyo ukienda we sikilizaga tu hata kama kitu havi make sense.
Nahuzunika sana familia zetu za waswahili waliopokea dini na zimedumaa sana kuuchumi na maarifa, warabu wamedumaza sana ndugu zetu. Ni bora wakiristo huwa wanajadili jinsi dini ilivyowadumaza waislsmu wapo usingizini.
 
Back
Top Bottom