Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,806
- 7,379
Na wanaosumbua kule Bokunafaso ni waislamu wenzetu. Terorist wanafashiliwa na France kuua waafrika wenzao wa dini moja.Badala ya kujenga shule ama viwanda wanawajengea misikiti , hata viwanda hakuna.
Waza Traole wa Burkinabe amekataa misikiti 200 kujengwa nchini kwake. Yaani dini ni kirusi kikubwa mno kimlacho sema akiwemo humo humwambii Mana hawezi ona , yaani haamnbiliki na watu wanaambukizana chuki kuwa Hawa hawafai Mana wanamuabudu kwa njia isiyo sahihi Bali wao ndio walio kwenye njia sahihi utadhani waliambiwa. Na bado badala ya kukaa kimyaa wanaleta chuki Hadi ya kutaka kuwaua wengine na wanalazimisha wengine waifuate njia yao.
Very sad.