Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,999
- 6,630
Ni heri ya upagani kuliko kuamini kwenye kuchinjana. Huo ni ukichaa
Kwahiyo umekubali ukristo sio dini, bali ni upagani!
Ni heri ya upagani kuliko kuamini kwenye kuchinjana. Huo ni ukichaa
Wee kweli ndiyo umedanganyika mazima.
Nani aliyekuambia uislam ni dini, ile ni mpango au chombo cha kueneza tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Ndiyo maana kutwa lucha mnaimba maluwe luwe kwa lugha yao ya kiarabu, majina lazima muitwe ya kiarabu, mavazi yenu lazima yawe ya kiarabu, majengo yenu ya ibada lazima yawe ya kiarabu, chakula chenu ndiyo maana lazima kiwe cha mahadhi ya kiarabu, muziki wenu wa kuabudu (kaswida) lazima iwe na miondoko ya waarabu.
Mengine, ibada yenu ya sanamu lazima mkaifanyie kwenye jiwe lililoko uarabuni, kitabu chenu kikuu cha uislam, kimeandikwa kwa kiarabu, nk nk Yaani nyie ni wahanga wa mfumo wa desturi na mila za kiarabu.
Nikweli mkuu, ukristo ni upagani. Dini ni moja tu, Uislam. Karibu sana mkuuWe jamaa jau sana
Hii ya Muuaji Muddy inaendeleza mauaji ni Dini ya Kimapepo.Nyie wote ni wapagani mkuu, ukristo, budha wote ni wapagani.
Dini ni moja tu, Uislamu.....zingine ni upagani
Hawa hawawezi kusema ukweli. Ni waongo sana. Maisha yao yapo hivyo.Unaongopa sheikh
Kuwa mkweli tu
Nikweli mkuu, ukristo ni upagani. Dini ni moja tu, Uislam. Karibu sana mkuu
Masharti gani?Ndiyo maana Mchina ameweka masharti magumu dhidi ya dini hiyo
ETi ukisusa kumuamini Allah unachinjwa! Huo ni ukichaa.Kwahiyo umekubali ukristo sio dini, bali ni upagani!
Hebu weka aya ya Quran inayosema hivyo!?.. maana naona porojo tuMAANA YA MURTADI
Murtadi ni mtu ambaye alikuwa Muislamu kwa hiari, kisha akaamua kutoka kwenye Uislamu kwa kauli au vitendo vya wazi.
ONYO:Hii video inatisha,Murtadi akichinjwa kwa jina la Allah
HADITH KUHUSU MURTADI
Hadith za Mtume Muhammad (S.A.W) zinaeleza kwa uwazi kuhusu adhabu ya mtu anayeacha dini ya Kiislamu.
Hadith kuu:
a)
Hadithi hii ni sahihi na ndiyo msingi wa hukumu ya kifo kwa murtadi katika fiqh ya Kiislamu. Inahusiana na mtu anayepinga waziwazi dini na kuchochea uasi au fitna.
b)
Imepokewa pia kuwa Mtume (S.A.W) aliwahi kutoa hukumu ya kifo kwa watu waliokuwa Waislamu kisha wakatenda ukafiri kwa makusudi na kujiunga na maadui wa Uislamu.
HUKUMU YA FIQH KUHUSU MURTADI
Wanazuoni wa Kiislamu (fuqaha) wamekubaliana kuwa:
- Murtadi wa wazi (anayepinga na kuchochea): anapewa nafasi ya kutubu. Akikataa, anauliwa kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu.
- Murtadi wa ndani (asiyeleta fitna): baadhi ya wanazuoni wa kisasa wanapendekeza aachwe kwa Allah aendelee kuadhibu.
NCHI ZINAZOTEKELEZA HUKUMU HII
Sheria ya adhabu kwa murtadi kwa msingi wa Hadith hutekelezwa katika baadhi ya nchi zenye mfumo wa Shariah kama:
- Saudi Arabia
- Iran
- Sudan
- Afghanistan
Qur’an inazungumzia urtidad (kuacha Uislamu) kama kosa kubwa lenye athari za akhera. Hadith sahihi inatoa amri ya kifo kwa murtadi wa wazi. Hii ndiyo msingi unaotumiwa katika fiqh za baadhi ya madhehebu za Kiislamu.
Hakuna asiyeitaka hadithi utaratibu wetu weka aya kwanza hadithi ndio nyongeza yake Sasa wewe unatuwekea hadithi TU, andika hapa aya mtu akiritadi anachinjwa, halafu tuidadavue aya yenyewe kupitia Quran yenyewe kipindi aya inashuka mpaka hadithiHizo Hadith alizoweka ni za uongo?
Waislamu mkibanwa mansingizia hamtaki hadithi
Hao wanaochinja wenzao hapo Tena kwa jina la Allah unataka kusema hawaujui uislamu kuliko wewe waliyekuletea kwa jahazi ?
View attachment 3333618
Badala ya kujenga shule ama viwanda wanawajengea misikiti , hata viwanda hakuna.Uislamu ni kama sayansi eti, watu hawauchagui. Ina maana wazee wetu witishwa kuingia huko.
Mi sipendi sheria nyingi za kiislamu na mapkeo baadhi ni ya kukuza uarabu. Mfano kuaminishwa kanzu ni vazi takatifu wakati kanzu ni kitambaa tu kama kitambaa vingine na warabu walivaa hivyo hata kabla .uislam haujawepo. wahindi na wayahudi wote wanavaa.
Kusema kiarabu ndio lugha ya Mungu na qurani isisomwe kwa lugha zetu. Hii ni sheria isiyo na mashiko. Mungu hana lugha wala hana umbo kama letu. Hafanani na kitu cho chote vipi kugha ya warabu ifanane na ya Mungu ?
Ukianza kusema Mungu anaongea unamvisha umbo la binadamu. Hivyo itabidi umpe masikio na macho na akili.
Misikiti hakunaga kuuliza swali hivyo ukienda we sikilizaga tu hata kama kitu havi make sense.
Nahuzunika sana familia zetu za waswahili waliopokea dini na zimedumaa sana kuuchumi na maarifa, warabu wamedumaza sana ndugu zetu. Ni bora wakiristo huwa wanajadili jinsi dini ilivyowadumaza waislsmu wapo usingizini.
Kwahiyo hadithi iliyowekwa ni batili ?Hebu weka aya ya Quran inayosema hivyo!?.. maana naona porojo tu
Duh,Kuingia bure ,kutoka unaacha kichwa
Mimi,MBS na wengine wengi tu hatuzitambui hadithi, hadithi ni kama biblia tu,ziliandikwa miaka 200 baada ya kifo cha mtume,ni uwongoKwahiyo hadithi iliyowekwa ni batili ?
Usifananishe biblia na ujinga wenuMimi,MBS na wengine wengi tu hatuzitambui hadithi, hadithi ni kama biblia tu,ziliandikwa miaka 200 baada ya kifo cha mtume,ni uwongo