Hii ni habari njema sana.
Shillingi ya Tanzania imeimarika sana dhidi ya shillingi ya Kenya. Miezi michache iliyopita shilingi moja ya kKenya ilikuwa ikibadilishwa kwa shillingi 22 ya Kitanzania.
Leo hii shillingi moja ya Kenya inabadilishwa kwa shillingi 15.52 ya Kitanzania. Hii ni hatua kubwa sana na ni neema kwa Watanzania. Sasa tuje kwenye athari yake kwa bidhaa za Kitanzania.
Leo hii sementi inayotoka Kenya na wengi tayari wamefungua godowns hapa Mwanza inauzwa mpaka shillingi 17,000 kwa mfuko fedha za Kitanzania na wakati sementi ya Tanzania inauzwa mpaka shillingi 24,000 kwa mfuko fedha za Kitanzania. Mwanza Huduma ndiye msambazaji mkuu wa sementi ya Tanzania Kanda ya Ziwa na wengineo wengi.
Biashara ya sementi ya Tanzania sasa imedoda kwake. Jinsi fedha ya Tanzania inavyozidi kuimarika bidhaa za Tanzania zitakosa wateja kwa sababu ya bei kubwa. Wenye viwanda vya Tanzania, Serikali, TRA angalieni suala hili kwa ajili ya kupunguza kodi ili bidhaa za Tanzania ziuzike.
Njoo Mwanza Sementi ya Kenya ndo inayotawala kwa sasa pamoja na kuwa haina ubora kwa ya Tanzania lakini mteja anaangalia sana tofauti ya bei.
Shillingi ya Tanzania imeimarika sana dhidi ya shillingi ya Kenya. Miezi michache iliyopita shilingi moja ya kKenya ilikuwa ikibadilishwa kwa shillingi 22 ya Kitanzania.
Leo hii shillingi moja ya Kenya inabadilishwa kwa shillingi 15.52 ya Kitanzania. Hii ni hatua kubwa sana na ni neema kwa Watanzania. Sasa tuje kwenye athari yake kwa bidhaa za Kitanzania.
Leo hii sementi inayotoka Kenya na wengi tayari wamefungua godowns hapa Mwanza inauzwa mpaka shillingi 17,000 kwa mfuko fedha za Kitanzania na wakati sementi ya Tanzania inauzwa mpaka shillingi 24,000 kwa mfuko fedha za Kitanzania. Mwanza Huduma ndiye msambazaji mkuu wa sementi ya Tanzania Kanda ya Ziwa na wengineo wengi.
Biashara ya sementi ya Tanzania sasa imedoda kwake. Jinsi fedha ya Tanzania inavyozidi kuimarika bidhaa za Tanzania zitakosa wateja kwa sababu ya bei kubwa. Wenye viwanda vya Tanzania, Serikali, TRA angalieni suala hili kwa ajili ya kupunguza kodi ili bidhaa za Tanzania ziuzike.
Njoo Mwanza Sementi ya Kenya ndo inayotawala kwa sasa pamoja na kuwa haina ubora kwa ya Tanzania lakini mteja anaangalia sana tofauti ya bei.