Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Lowassa ni chaguo la Wakristo!Masaburi
Lowassa ni chaguo la Wakristo!Masaburi
Lowassa ni chaguo la Wakristo!
Lowassa ni chaguo la Wakristo!
Taratibu mkuu,kidonge ya wapi hiyo?Walionunuliwa wote ***** zao wazandik wanafk njaaaa mtindo mmmoja watakuja kufirwah
Taratibu mkuu,kidonge ya wapi hiyo?
Zemarcopolo ujumbe wangu umefika unakotakiwa, hayo yote unayouliza jawabu lake ni moja kuondoa vichwa vya mafisadi ndani ya Uongozi wa Chama kwanza ili kuweka njia huko mbele ya kuwapeleka kwenye sheria sio kazi ya CCM kuwapeleka kwenye Sheria ni kazi ya Serikali. Kuingia Msituni ni one of the options iwapo watawala hawataki kusikia! - William
Ni Malecela halafu unadhani ataacha kuwa concerned?Manywele hatishwi hivyo tena nyuma ya laptop lol!
Atafanikiwa?Ni Malecela halafu unadhani ataacha kuwa concerned?
Ni CCM hao,lazima EL yumo humu na watu wake wanafuatilia kwa karibu,unadhani mbio za urais mchezo.
Kipindi hii tutaona na kusikia mengi sana,mjitayarishe tu.
CCM this is my promise to you, siku Lowassa akipitishwa kugombea Urais nitachukua Bunduki na kuingia msituni and I mean it not in my watch, nilipooona maisha yamekua magumu bongo nilikimbilia Ubaharia, na nilipooona hamsikii vilio vya wananchi nilishiriki kuanzisha kiboko yenu JF, now I am ready kuingia Msituni maana enough is enough!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
William @...NYC,USA: Mutuz Le Baharia!
Nilichoandika ni mawazo ya wakristo wengi walio ndani ya CCM. Kuna mijadala kibao imeshaibuliwa kuhusu hili suala la udini. Am not a christian but naona Lowasa deserves kuwawakilisha kwenye urais 2015Inaonesha kabisa kwamba, elimu yako, imani yako na mazingira yako hayajakusaidia upevuke na kuondokana na mawazo ya kipuuzi kama hayo uliyoandika hapo juu. Perhaps, kuimba nyimbo za mapambio kutakuvusha na kukupevusha to another level... go figure!!!
Sidhani mkuu,labda wavunje chama...Atafanikiwa?
Nilichoandika ni mawazo ya wakristo wengi walio ndani ya CCM. Kuna mijadala kibao imeshaibuliwa kuhusu hili suala la udini. Am not a christian but naona Lowasa deserves kuwawakilisha kwenye urais 2015
William, sio kila anaemsupport EL kapewa pilau!.Wale mliopewa pilau na mafisadi poleni sana mnajionyesha kwa maneno yenu! Duh! Njaa sio mchezo! - William