Kuiita "Pesa" hela ni kuikosea adabu itakuadhibu vibaya sana

Mkuu inawezekena Ni elimu duni tuliyonayoo. Kwa kuanzia tunaomba kujua tofauti Kati ya pesa,fedha na hela.. tuanzie hapo
 
Heller ni jina lililotumika na wajerumani kwenye sarafu zao zilizotumika Tanganyika na makoloni yake miaka hiyo wakitawala, hivyo waswahili tukamaanisha fedha yoyote ni hela, hivyo hawajakosea hakuna tofauti kati ya fedha na hela!!!
1689701715584.png
 
Hela ikienda jua hairudi kula bia na maku ila jenga wekeza nunua na viwanja mbele hutajutia sana..
 
Heller ni jina lililotumika na wajerumani kwenye sarafu zao zilizotumika Tanganyika na makoloni yake miaka hiyo wakitawala, hivyo waswahili tukamaanisha fedha yoyote ni hela, hivyo hawajakosea hakuna tofauti kati ya fedha na hela!!! View attachment 2692309
Nmekuelew sana hapo hii kitu na mm nimewah kuipitia kidog katika usomaji wangu Wala hujakosea mkuu nilitaka kuelewa zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom