Geld= HellerHela ~ Heller
Gute nacht mein BruderGeld= Heller
Na mm mnisaidie Kwa hiloMkuu inawezekena Ni elimu duni tuliyonayoo. Kwa kuanzia tunaomba kujua tofauti Kati ya pesa,fedha na hela.. tuanzie hapo
Nmekuelew sana hapo hii kitu na mm nimewah kuipitia kidog katika usomaji wangu Wala hujakosea mkuu nilitaka kuelewa zaidiHeller ni jina lililotumika na wajerumani kwenye sarafu zao zilizotumika Tanganyika na makoloni yake miaka hiyo wakitawala, hivyo waswahili tukamaanisha fedha yoyote ni hela, hivyo hawajakosea hakuna tofauti kati ya fedha na hela!!! View attachment 2692309
Danke schonGute nacht mein Bruder