Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,717
- 2,594
kwanini Chadema hawaei kuchallenge hii ishu mahakamani?
Huo muda si wangeanza kujenga vingine vya kisasa zaidi hata kwa kutumia external financing. Ukidai hivyo chakavu ni kupoteza muda. Ipo mikoa mipya na wilaya mpya ambazo hakuna viwanja. Pamoja na kutazama michezo mingine kuogelea, tennis, kikapu, magongo ebu tokeni nje ya boksi tusongembele.