Majibu ya hovyo kabisa kutoka kwa bibi yetu huyu kumbe mtu akizeeka aweza kuwa zuzuUkiwa mwanachama wa kilabu cha mbege kilabu ikiboreshwa na wewe ukihamia kilabu ya viroba unadai mabenchi ya kilabu chako cha zamani kuwa ni yako pia?
Nyie ndiyo wale mnapangishwa kwenye nyumba ukikaa miaka mingi siku ukihamishwa unadai share.
Ulitaka viwanja vijengwe na nani kama si wananchi?
Punguani wahed
Mbona wewe unaishi geto wasicha sita chumba kimoja, aibu.Chadema imewashinda hata kujenga ofisi yao tu,
Kazi kujifanya wanajua kila kitu kuhusu Mali za wengine!!
Shame on you
Asante Mkuu kwa kusema ukweli lakini nauhakika hata hao kina pole pole ukweli anaujua kupitia kwenye mafail na historia kutoka kwa wazee. Wamepora Mali ya watanzania na kujimilikishaHuyu slow slow alikua hajazaliwa na kama alikua amezaliwa basi alikua ni malaika kwa maana alikua anayonya kwa mama yake hivo hajui baya lipi na jema ni lipi akiamka kucheza, kula, kwenda shule na kulala na nadhani pia hajui historia ya viwanja hivi, arudi katika mafaili ya miji husika akaone jinsi umiliki ulivyofanyika hivi viwanja vya mkwakwani, jamhuri Dom, jamhuri Moro, Amri Abeid Arusha, vita Tabora, Nyamagana Mwanza na Karume Dar vilikua ni viwanja vya miji husika na ligi za mpira wa miguu wakati huo zilifanyika katika viwanja hivyo, wakati wa sherehe za TANU/CCM wakati wa chama kimoja ndipo vilipokarabatiwa na kwa wakati ule ilikua ni ngumu kutofautisha chama na serikali wananchi wote tulichangishwa kwa ujenzi wa viwanja hivi, sina hakika kama anafahamu kua
KATIBU WA CCM MKOA NDIE PIA ALIKUA MKUU WA MKOA KWA HIYO ILIYOKUA MALI YA SERIKALI ILIHAMISHIWA KWENYE CHAMA.
Nakumbuka katika maeneo mengi wakati wa ujenzi wa viwanja hivi mfano Songea bei ya bidhaa kama sukari, mafuta ya taa, petrol n.k iliongezwa kama kodi ya ujenzi wa uwanja wa majimaji na hii ilifanyika maeneo mengi hivo mr. Slow slow jifunze historia ya chama ilikotoka sisi wengine tunaoelewa BAADHI YA MAMBO unapoongea tunacheka na kuona kama vile unafanya maigizo.
Viwanja vya Nyamagana na vita Tabora vilipona kuckuliwa sababu ya ufinyu wa eneo wakati sherehe zilipoenda katika miji hiyo ikabidi kutafuta maeneo mapya na ndio sababu utaona viwanja vya kirumba na Ali Hassan Mwinyi ni vikubwa sana kuliko hivi vingine kwa sababu yalitafutwa maeneo mapya na uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ulikua ukiitwa uwanja wa Taifa kabla ya kuchukuliwa na ccm
Majibu ya hovyo kabisa kutoka kwa bibi yetu huyu kumbe mtu akizeeka aweza kuwa zuzu
We bibi ukweli unaujua kwenye nafsi yako lakin kinywa chako kisema uongo. Mmepora Mali za watanzania iko siku mtazirudishaHukuupenda ukweli lazima uuone hovyo.
Viwanja ni vya CCM na vitabaki kuwa vya CCM.
Una pesa jenga vyako au anzisha kampeni ya kujenga viwanja vya chadema, unashindwa nini?
Heee! Unanshangaza kulilia mali zisizo kuhusu.
We bibi ukweli unaujua kwenye nafsi yako lakin kinywa chako kisema uongo. Mmepora Mali za watanzania iko siku mtazirudisha
Shem on u. Umezaliwa Leo?soma sentensi yako ya kwanza kama utaielewa!
Wewe punguani kweli kweli, hebu weka ushahidi hapa kuwa hivyo viwanja havijawahi kuwa vya CCM.
Eti mmepora mali, waliopora mali huwajuwi?
Mbowe kwanini kanyang'anywa Billicanas na kimya halalamiki?
Na siku Magufuli atakapoamua muelezee yale mahekalu ya vijijini kule Kilimanjaro mliyajengaje, ndiyo mtaelewa ni nani waporaji.
Imeripotiwa Kuna waalimu WA shule ya Chama hawajalipwa mishahara miezi kadhaa sasa! Taarifa.Chadema imewashinda hata kujenga ofisi yao tu,
Kazi kujifanya wanajua kila kitu kuhusu Mali za wengine!!
Shame on you
Nyie ruzuku ya Bilioni ngapi mpaka sasa mmejenga Majengo mangapi??In short CCM hamna right ya kuhodhi majengo tuliyoyatolea jasho tena unakatwa kwa lazima.Leo mnakuja mnajisifu ati Majengo yetu,hamna hata haya Mmezoea kuiba tu.Subirini aje Rais wa Watanzania Mwenye uchunguzi na Taifa ndipo utajua kama.majengo ya CCM au ya Serikali.Acha kuhalalisha maovu ya chama chako, majengo yapi? Haya ruzuku 800m mnashindwa kununua nyumba kinondoni, ilala au sinza 300m?? Mnaendelea kupanga? Hela zinaenda wapi? Haya endeleeni kulalamika
Hawana Kiwanja,shule wala majengo majangili yaliyozoea kukwapua tu.Hivyo viwanja vilichangiwa na watanzania wote hadi watoto wa shule walichangia.
Mimi nilichangia ujenzi wa CCM Kirumba nikiwa shule ya msingi. Ilikuwa lazima kila mtanzanua kuchangia.
CCM walitakiwa tu kutenda haki. Viwanja hivyo viwe chini ya halmashauri/ manispaa.
Taja majengo yalitojengwa na wananchi CCM wamehodhi.Nyie ruzuku ya Bilioni ngapi mpaka sasa mmejenga Majengo mangapi??In short CCM hamna right ya kuhodhi majengo tuliyoyatolea jasho tena unakatwa kwa lazima.Leo mnakuja mnajisifu ati Majengo yetu,hamna hata haya Mmezoea kuiba tu.Subirini aje Rais wa Watanzania Mwenye uchunguzi na Taifa ndipo utajua kama.majengo ya CCM au ya Serikali.
CCM wao wamejenga ofisi yao wapi?Chadema imewashinda hata kujenga ofisi yao tu,
Kazi kujifanya wanajua kila kitu kuhusu Mali za wengine!!
Shame on you