FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 328
Ni kweli CDM miaka yote hiyo na wanapata ruzuku hata ofisi ya udongo tu inawatoa jasho
Kwa kuwa bado watanzania wana uelewa wa kutosha kuhusu viwanjaNi uongo...bado mtoto hawezi kujua jinsi tulivyokatwa pesa zetu gesti, au tunapouza pamba ili zikajenge viwanja hivyo. Ni mali ya watanzania wote kipindi CCM imeshika hatamu
Hata mimi nawashangaa! Wanao wabunge wasomi wanaoweza kufanya itafiti wa ujenzi wa viwanja vyote na kuvimilikisha halmashauri za wilaya/miji/manisipaa na majiji husika ili viwe vitega uchumi kwa manufaa ya wananchi wote.kwanini Chadema hawaei kuchallenge hii ishu mahakamani?
siongelei kuhusu chama nmesema zirudi zilitakiwa kurudi serikalin maana zilipatikana kwa kodi za wananchi wote vyama vilitakiwa vitafute mali zao wenyewna ukumbuke kuwa! baada ya kuruhusu vyama vingi hakuna aliyesema kuwa baadhi ya wanachama wa ccm waondoke kuunda vyama vingine! no no no.. waliondoka kwa kujitakiwa wao . so hawana haki ya kudai vya ccm! kama wanataka wende huko huko ccm watumie pamoja
Wanao dai si wanachama wa chama chochote bali ni RAIA wa kawaida tu.na ukumbuke kuwa! baada ya kuruhusu vyama vingi hakuna aliyesema kuwa baadhi ya wanachama wa ccm waondoke kuunda vyama vingine! no no no.. waliondoka kwa kujitakiwa wao . so hawana haki ya kudai vya ccm! kama wanataka wende huko huko ccm watumie pamoja
Wa challenge nini sasa. Mwanzoni chama kilikuwa ni ccm. Chama hicho kiliweza kumiliki Mali na vitu mbalimbali. Ilipotokea kuna ombwe la vyama vingi vipya viliruhusiwa kujianzisha. Si kwamba eti Mali iliyokuwa inamilikiwa na ccm kipindi hicho eti iligeuka kuwa ya Taifa/serikali Hapana. Ilibaki kuwa ni Mali ya ccm. So ni ujinga kuwaza eti chadema kika challengekwanini Chadema hawaei kuchallenge hii ishu mahakamani?
kipindi cha chama kimojaa kulikuwa hakuna tofauti ya kati ya serikali na chama. na kuna taarifa kuwa wafanyakazi walikatwa pesa kwenda kujenga viwanja.Wa challenge nini sasa. Mwanzoni chama kilikuwa ni ccm. Chama hicho kiliweza kumiliki Mali na vitu mbalimbali. Ilipotokea kuna ombwe la vyama vingi vipya viliruhusiwa kujianzisha. Si kwamba eti Mali iliyokuwa inamilikiwa na ccm kipindi hicho eti iligeuka kuwa ya Taifa/serikali Hapana. Ilibaki kuwa ni Mali ya ccm. So ni ujinga kuwaza eti chadema kika challenge