Daa kumbeAna aibu na hela ya man. Subiri mpaka utakapoombwa..
Na kama unataka kumnunulia zawadi don't make it sooo obvious umejikoki eti tunaenda let's say duka la nguo kutafuta zawadi.. just make it kama by the way...
Kama sio aibu basi kuna mwingine anakupambanisha nae,isije tokea siku akakulia buyu,hakutaki ukaanza kusema mbovu kisa ulitumia pesa zako mkiwa pamoja.
Jibu anatokea Machame..?Binadamu hatunaga jema...mkiombwa tatizo,mkitoa wakakataa tatizo
Wewe unatakaje?
Muda wote unawaza siasa?Huu ni moja ya ushahidi na muendelezo wa kauli za kibaguzi na kuudhi dhidi yetu Wachagga.
Wachagga tulibaguliwa kwa kificho, ila sasa hivi tunabaguliwa hadharani na kauli za kikabila na kejeli dhidi yetu zimeshika hatamu.
Wachagga tuna makosa gani kwenye nchi yetu?
Kama ni kazi tunafanya, na sheria tunafuata kama wengine ila ndugu zangu, ni nini shida?
Hivi kweli Wachagga hatuna jema la kusemwa?
Huu ubaguzi kejeli zenu hazina maana, na siyo nzuri.
Kila kitu kibaya ni sisi!!!!
Mungu wetu yupo, na atatupigania, na tutasali, tutafanya kazi, na tutazidi kufanikiwa, na tutashinda.
Joanah umesema neno by the way unakaa na kasichana mwezi Wa kwanza ,pili,tatu ujajua original yake nalo ni tatizo kubwaBinadamu hatunaga jema...mkiombwa tatizo,mkitoa wakakataa tatizo
Wewe unatakaje?
yaaani wanaume wa kitanzania ni kwimwi[emoji1] [emoji1] [emoji1] unaweza kuta anakuona hali yako we ndo wahitaji huo msaada ndo maana hapokeiBinadamu hatunaga jema...mkiombwa tatizo,mkitoa wakakataa tatizo
Wewe unatakaje?
Massawe wapo wa maeneo tofauti kuna Rombo, Moshi Vijijini, Machame Kibosho sasa muulize huyo wako ni wa maeneo gani? Kisha rudi nikushauriHabarini wakuu
Kuna binti nipo kwenye uhusiano nae kwa muda kidogo but simwelewi kabisa .
Kwanza jina lake la ukoo ni massawe ,nahis anatokea machame,hivi kuna mwanamke asiyependa hela? Maana kila nikimpatia hela anakataa but papuchi anaileta kama kawa,
Kwahiyo basi nataka mnijuze kama ukoo wa massawe wanatokea machame,
Pili ,ana lengo gani na mimi kwa sababu jinsi vyuma vilivyokaza bint kukataa hela ni vigumu,nilijaribu kumuuliza kwa nini anakataa akanijibu "basi tu "
Najua humu ndani kuna wanasaikolojia ,
By msukuma ndani ya Soweto moshi
Shayo uko poa ni wewe mwenyeweAah ok, vipi kuhusu ukoo wa shayo?
Kibosho