moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,024
Habarini wakuu
Kuna binti nipo kwenye uhusiano nae kwa muda kidogo but simwelewi kabisa .
Kwanza jina lake la ukoo ni massawe ,nahis anatokea machame,hivi kuna mwanamke asiyependa hela? Maana kila nikimpatia hela anakataa but papuchi anaileta kama kawa,
Kwahiyo basi nataka mnijuze kama ukoo wa massawe wanatokea machame,
Pili ,ana lengo gani na mimi kwa sababu jinsi vyuma vilivyokaza bint kukataa hela ni vigumu,nilijaribu kumuuliza kwa nini anakataa akanijibu "basi tu "
Najua humu ndani kuna wanasaikolojia ,
By msukuma ndani ya Soweto moshi
Kuna binti nipo kwenye uhusiano nae kwa muda kidogo but simwelewi kabisa .
Kwanza jina lake la ukoo ni massawe ,nahis anatokea machame,hivi kuna mwanamke asiyependa hela? Maana kila nikimpatia hela anakataa but papuchi anaileta kama kawa,
Kwahiyo basi nataka mnijuze kama ukoo wa massawe wanatokea machame,
Pili ,ana lengo gani na mimi kwa sababu jinsi vyuma vilivyokaza bint kukataa hela ni vigumu,nilijaribu kumuuliza kwa nini anakataa akanijibu "basi tu "
Najua humu ndani kuna wanasaikolojia ,
By msukuma ndani ya Soweto moshi