Duu kadi hapana ila umenipa wazo ,ntafungua account nyingine niweke kiasikwani ni kwamba kila mwanamke anapaswa kuomba hela au kupokea hela awapo kwenye mahusiano.....
Usimpimie. .....mwachie kadi yako ya Bank atumie pale anapohitaji....
Et jogoli umenikumbusha mwanza,nimekulia mwanza kwahiyo najua kisukuma na mila zaidi zako,
Duu kadi hapana ila umenipa wazo ,ntafungua account nyingine niweke kiasi
Aisee umenitia simanziHuu ni moja ya ushahidi na muendelezo wa kauli za kibaguzi na kuudhi dhidi yetu Wachagga.
Wachagga tulibaguliwa kwa kificho, ila sasa hivi tunabaguliwa hadharani na kauli za kikabila na kejeli dhidi yetu zimeshika hatamu.
Wachagga tuna makosa gani kwenye nchi yetu?
Kama ni kazi tunafanya, na sheria tunafuata kama wengine ila ndugu zangu, ni nini shida?
Hivi kweli Wachagga hatuna jema la kusemwa?
Huu ubaguzi kejeli zenu hazina maana, na siyo nzuri.
Kila kitu kibaya ni sisi!!!!
Mungu wetu yupo, na atatupigania, na tutasali, tutafanya kazi, na tutazidi kufanikiwa, na tutashinda.
Yaah,itabidi nitenge budget ,200,000Tsh per month is enough for her
Aisee umenitia simanzi
Ni wajibu wangu kuhudumia
Ana aibu na hela ya man. Subiri mpaka utakapoombwa..Daa asante kwa ushauri,ni kweli zawadi za kawaida anachukua,ila kwenye pasaka nilimwambia achague nguo nimlipie akagoma
Habarini wakuu
Kuna binti nipo kwenye uhusiano nae kwa muda kidogo but simwelewi kabisa .
Kwanza jina lake la ukoo ni massawe ,nahis anatokea machame,hivi kuna mwanamke asiyependa hela? Maana kila nikimpatia hela anakataa but papuchi anaileta kama kawa,
Kwahiyo basi nataka mnijuze kama ukoo wa massawe wanatokea machame,
Pili ,ana lengo gani na mimi kwa sababu jinsi vyuma vilivyokaza bint kukataa hela ni vigumu,nilijaribu kumuuliza kwa nini anakataa akanijibu "basi tu "
Najua humu ndani kuna wanasaikolojia ,
By msukuma ndani ya Soweto moshi