Ndugu zangu,ni kweli watu ambao majina yao yanaanza na JM wana hulka sana na siasa? Mfano.
1)Julius Malema.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana afrika kusini aliyemsaidia zuma kuingia madarakani.
2)James Millya
mwenyekiti uvccm arusha anayemsaidia lowasa kuingia ikulu
3)John Mnyika
mmpanaji,mwanaharakati,waziri kivuli wa nishati,mmbunge wa ubungo,mwenyekiti mstaafu vijana cdm nk.
4)James Mbatia
mwenyekiti nccr mageuzi,mbunge mstaafu,na alikuwa mgombea ubunge kawe!
5)John Mrema.
Aligombea ubunge via cdm huko vunjo,na ni katibu mambo ya bunge chadema!
6)John Malecela.
Wote mnamjua
7)Jakaya Mrisho
mheshimiwa sana dr JM, raisi wa tanzania!
8)e.t.c(end of thinking capacity)
Je,kuna ukweli wowote?
1)Julius Malema.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana afrika kusini aliyemsaidia zuma kuingia madarakani.
2)James Millya
mwenyekiti uvccm arusha anayemsaidia lowasa kuingia ikulu
3)John Mnyika
mmpanaji,mwanaharakati,waziri kivuli wa nishati,mmbunge wa ubungo,mwenyekiti mstaafu vijana cdm nk.
4)James Mbatia
mwenyekiti nccr mageuzi,mbunge mstaafu,na alikuwa mgombea ubunge kawe!
5)John Mrema.
Aligombea ubunge via cdm huko vunjo,na ni katibu mambo ya bunge chadema!
6)John Malecela.
Wote mnamjua
7)Jakaya Mrisho
mheshimiwa sana dr JM, raisi wa tanzania!
8)e.t.c(end of thinking capacity)
Je,kuna ukweli wowote?