Siku kadhaa kulikuwepo na ubishani mkali sana humu 'ukumbini' kuhusu ufaha wa lugha ya kiingereza kwa Mheshimiwa Rais.
Mimi nawamegea hii niliyokutana nayo leo LIVE kwenye mkutano wa wawekezaji wa VIETNAM na Tanzania (Business Forum) kwenye Ukumbe wa mikutano wa Mwalimu Nyerere (nilihudhuria!).
Ujumbe wa Vietnam uliongozwa na Rais wao Trương Tấn Sang.Kwa upande wa TZ kiongozi mkuu alikuwa ni PM na waziri wa viwanda Mhe.Mwijage.Shughuli za ufunguzi zikaanza kwa Kimombo,Mhe.Waziri wa viwanda=Kimombo,PM= Kimombo,MC=kimombo,Dr.wa IPP Ltd= Kimonbo.
Sasa ikafika zamu ya H.E Rais wa Vietnam!Akaanza kuhutubia kwa Ki-Vietnam,wasaidizi wake nao lugha yao,wauliza maswali nao kivietnam isipokuwa MD wa Halotel Tz ambaye alisoma hotuba yake kwa kiingereza na haikueleweka vizuri kwa sababu hajakulia kwenye kizungu.
HADITHI HII INATUFUNDISHA NINI?
Mimi nawamegea hii niliyokutana nayo leo LIVE kwenye mkutano wa wawekezaji wa VIETNAM na Tanzania (Business Forum) kwenye Ukumbe wa mikutano wa Mwalimu Nyerere (nilihudhuria!).
Ujumbe wa Vietnam uliongozwa na Rais wao Trương Tấn Sang.Kwa upande wa TZ kiongozi mkuu alikuwa ni PM na waziri wa viwanda Mhe.Mwijage.Shughuli za ufunguzi zikaanza kwa Kimombo,Mhe.Waziri wa viwanda=Kimombo,PM= Kimombo,MC=kimombo,Dr.wa IPP Ltd= Kimonbo.
Sasa ikafika zamu ya H.E Rais wa Vietnam!Akaanza kuhutubia kwa Ki-Vietnam,wasaidizi wake nao lugha yao,wauliza maswali nao kivietnam isipokuwa MD wa Halotel Tz ambaye alisoma hotuba yake kwa kiingereza na haikueleweka vizuri kwa sababu hajakulia kwenye kizungu.
HADITHI HII INATUFUNDISHA NINI?