Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Rais Magufuli amekuwa mstari wa mbele katika kuitangaza na kuikuza lugha ya kiswahili iwe lugha ya kimataifa. Lakini wakati huo huo yeye mwenyewe ndiyo amekuwa mstari wa mbele katika kuikuza lugha ya kiingereza kwa kutumia kile kinachoitwa kiswaenglish!
Ni vigumu sana unapomsikiliza Rais Magufuli akihutubia kumsikia akiongea sentensi moja bila kuchanganya lugha ya kiswahili na kiingereza
Je kwa kuchanganya lugha mbili za kiswahili na kiingereza, katika hotuba zake ndiyo tutakuwa tunakikuza kiswahili??
Je kwa kutenda hivyo si tunakuwa tunakienzi na kudumisha lugha ya mabeberu ya kiingereza??
Hilo ni swali tu wadau, ningependa nijibiwe
Ni vigumu sana unapomsikiliza Rais Magufuli akihutubia kumsikia akiongea sentensi moja bila kuchanganya lugha ya kiswahili na kiingereza
Je kwa kuchanganya lugha mbili za kiswahili na kiingereza, katika hotuba zake ndiyo tutakuwa tunakikuza kiswahili??
Je kwa kutenda hivyo si tunakuwa tunakienzi na kudumisha lugha ya mabeberu ya kiingereza??
Hilo ni swali tu wadau, ningependa nijibiwe