Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kuhusu Mwakyembe na Mwandosya this can be true kabisa!

Kama aliweza kuchakachua ripoti ya kamati ya bunge ya Richmond ili kuwalinda watu anaowajua serikalini, ni nini kitatufanya tusiamini kuwa hata hii barua inayosemekana kuwa aliipeleka polisi haijachakachuliwa?

Halafu barua yenyewe ukiisoma imekaa kimahokamahoka utadhani ni scipt ya picha ya kinaijeria ya kishirikina. Inaonekana huyu Dr.Mwakyembe ni bingwa wa kuangalia movie za kishirikina za wanaijeria.
 
Nilikaona kale kabinti Cesilia kalikopelekwa India kwa jitihada na michango ya watu kakiwa kamerudishwa baada ya matibabu kushindikana kwa kuwa kamechelewa kugundulika tatizo lake. Akina Mwakyembe, Mwandosya, Maghufuli, wanapelekwa haraka kwa hati za dharura na gharama zote kabisa zikitolewa na serikali. Ni kweli alivyosema Nape juzi. Tanzania ina wenyewe. Na wenyewe ni akina Mwakyembe, Mwandosya,......Sio akina Secilia!
 
nilikaona kale kabinti cesilia kalikopelekwa india kwa jitihada na michango ya watu kakiwa kamerudishwa baada ya matibabu kushindikana kwa kuwa kamechelewa kugundulika tatizo lake. Akina mwakyembe, mwandosya, maghufuli, wanapelekwa haraka kwa hati za dharura na gharama zote kabisa zikitolewa na serikali. Ni kweli alivyosema nape juzi. Tanzania ina wenyewe. Na wenyewe ni akina mwakyembe, mwandosya,......sio akina secilia!
m***nge wee!tena mchawi kabisa wee!uko tayari kuona roho ya mtu inapotea sababu ya siasa?mk****du kweli wewe.
 
Inteligensia ipo kwa ajili ya maandamano ya chadema tu......................watu wanaliibia taifa (kupitia kagoda, meremeta, tangold, doewans na upumbavu mwingine wote)inteligensia ipo, watu wanahujumu uchumi inteligensia ipo tuu, maal shababu wana kodiwa na mafisadi wa ccm kua\ngamiza watz inteligensia ipo tu................sasa huu si upumbavu wa watz........bora watu km akina dr.slaa wangeachiwa hicho kitengo wangefanya kwa ufanisi wa zaidi ya 90% kuliko usani na uccm huu wa sasa wenye ufanisi wa chini ya 2%.....................nchi imeoza inanuka rushwa....
 
Nani anamkumbuka Horance Kolimba?? alikuwa chama gani na alikufa wakati gani na tukio zima??
 
Maskini Mwakyembe 2nakuombea
Watashindwa wote kwa jina la yesu
Dr Slaa wasahau walijaribu wakashindwa hatataweza tena,makanisa yote yako mbele yake wamalizen wakristo ndo muende kwa x padri we2
Hv unajua cheo cha padri na mafunzo wanayopata co hvyo iz ufikirivo
HATUTISHIKI
MUNGU YU MBELE YA DR SLAA,MWAKYEMBE,MEMBE,MWANDOSYA,NA KILANGO AFU ZEY A OL CHRISTIAN
DAMU YA YESU ILIYOMWAGIKA MSALABAN ITAWAONGOZA
Na pepo la kuwaua litashinda kwa jina la Yesu
Glory b 2ze father,n 2ze son n 2ze holy spirity
B blecd.

LITASHINDWA,em rekebisha kdg,nna hasira
 
Nilikaona kale kabinti Cesilia kalikopelekwa India kwa jitihada na michango ya watu kakiwa kamerudishwa baada ya matibabu kushindikana kwa kuwa kamechelewa kugundulika tatizo lake. Akina Mwakyembe, Mwandosya, Maghufuli, wanapelekwa haraka kwa hati za dharura na gharama zote kabisa zikitolewa na serikali. Ni kweli alivyosema Nape juzi. Tanzania ina wenyewe. Na wenyewe ni akina Mwakyembe, Mwandosya,......Sio akina Secilia!

Mkuu are u serious kale kabinti kamerudi na matibabu yameshindikana? Ina maana kanasubiri kufa tu sasa and she knows that right!!!!! duh! inasikitisha sana maana tungekuwa japo na hospitali moja kubwa ya haja pengine kangepata matibabu mapema!!!!!!!!! She should be blessed!
 
Amina! Ndugu yangu huyu anaonyesha si mtu kabisa na Mungu amlipe yeye basi! Alafu atambue kyela na rungwe si mbeya mjini ya wasafa... So achunge mdomo. Mungu ni mwema sana atamrudisha salama baba, kaka na mb wetu salama ili aje aendelee kututumikia nasi tusaidiane naye kuindeleza Kyela yetu na Tanganyika.
PENYE RED:
Ina sikitisha sana kama binadamu mwenye akili timamu unaweza mtakia mwenzako kifo. Mungu akurudishie hayo maombi yako MARA SABA. mtu yupo hai unamwambia RIP DR. Mungu akusamehe na kukupa haki yako kama nilivyoomba.

Bado DR na Prof tunawahitaji Mbeya na Tanzania nzima
 
Nilikaona kale kabinti Cesilia kalikopelekwa India kwa jitihada na michango ya watu kakiwa kamerudishwa baada ya matibabu kushindikana kwa kuwa kamechelewa kugundulika tatizo lake. Akina Mwakyembe, Mwandosya, Maghufuli, wanapelekwa haraka kwa hati za dharura na gharama zote kabisa zikitolewa na serikali. Ni kweli alivyosema Nape juzi. Tanzania ina wenyewe. Na wenyewe ni akina Mwakyembe, Mwandosya,......Sio akina Secilia!
Uthinker mwingine bwana! Taabu tupu!!
Where do you draw the collateral?
Mbona Mwalimu alipelekwa St Thomas na bado alikufa?
Halafu kwa mantiki ya argument yako basi watanzania wote wakitibiwe nje , au sivyo?
Great thinker indeed!!
 
alamsiki kaka, kilichokufanya ukaficha madudu ya serikali wakati unailipua richmond ndo matokeo yake haya kumbuka wenzio walisema 'hatukukutana barabarani' we kaa na uzalendo wako wa kinafki na huo ndio mshahara wake, alamsiki mkuu.


Tatizo lako ujinga umekujaa
 
Makubwa haya,kumbe ile skendo ya richmond kuna ukweli ulifichwa kumuangusha mmasai?hebu mwenye tetesi atudosolee kidogo jamani tupate kujua.
 
Makubwa haya,kumbe ile skendo ya richmond kuna ukweli ulifichwa kumuangusha mmasai?hebu mwenye tetesi atudosolee kidogo jamani tupate kujua.

Rekebisha maandishi yako Lowassa Edward si Mmasai!
 
Unafiki wake unampönza. Mungu ameshaanza kumhukumu hapahapa duniani.

Hakuna sumu wala nini, ni madhara ya unafiki wake.

Mzee mambo vp? unachokisema ni kweli kabisa tatizo hao akina mwakyembe na mwenzake wamejaa unafki ndo unao watesa sasa na utawamaliza.
 
Stori za kupikwa bwana!!! Huyo mganga ana dawa huko Selous ya kuogopewa zaidi ya mungu? Labda uranium poisons Mwakyembe ni msanii tangu alipoichunguza Richmond bila ya kudeclare yeye mwenyewe mwanahisa katika kampuni ya ufuaji umeme wa upepo mie nimetokea kutomwamini kabisa mwanasiasa huyu. Labda tu ameathirika na dawa fulani (kwani Exfoliative Dermatisis) sometimes inasababishwa na dawa ikikudhuru (medicine allergy) but hili la conspiracy kutaka kumuua mh naona kama ni hadithi za kusadikika.

Kweli kabisa! tena alijitoa kwenye hiyo kampuni ya kufua umeme kimy kimya, alipokuwa kwenye timu ya Richmond haku-declare interest. Jamaa noma sana kwa unafiki! Na ilibidi awashughulikie wenzie akina RA kwa kuwa wote walikuwa wanagombea ule mradi wa kufua umeme kwa upepo kule Singida. Wanafiki bwana! Sie tunamuombe apone arudi salama, na this week atarudi home take my words. Suala la sumu halipo ni uzushi na kutafuta symphathy kwa watanzania! Mwakyembe, Sitta, Nape, Mwambalaswa, Kilango, Stella Manyanya ni wanafiki wakubwa!
 
Mwakyembe anatafuta sympathy na cheap popularity...nimemshauri akafanye CD4 T cells count!

Umejuaje...? umenena mkuu! watu oh sumu...oh mafisadi! Jamaa ana matatizo hayo long time, sasa yamejichomoza kwa kasi eti oh wanataka kummaliza. Maskini Watz kwa kuingizwa mkenge? Mwakyembe, mkewe na mtoto wao wote afya mgogoro! Cha muhimu alinde CD4 zake mbona wengi tu tunaishi kwa matumaini jamani na hatujasema kama tumelishwa sumu? God Forbid!
 
Back
Top Bottom