Wakuu kwema?
Niende kwenye mada husika, nataka niagize TV kutoka China, nataka zile kubwa kuanzia 65" kuendelea smart ambazo kwa hapa Bongo naona Kama ziko expensive hivi.
Vipi logistics zake? Bei yake? Usalama wake? Na anything relating to this? Thanks in advance.
Niende kwenye mada husika, nataka niagize TV kutoka China, nataka zile kubwa kuanzia 65" kuendelea smart ambazo kwa hapa Bongo naona Kama ziko expensive hivi.
Vipi logistics zake? Bei yake? Usalama wake? Na anything relating to this? Thanks in advance.