Kuhusu Joseph Mungai

Kuhusu Joseph Mungai

Katika mawaziri walioboronga wizara ya elimu huyu jamaa alizidi mno nakumbuka aliunganisha Physics na Chemistry likawa somo moja

Hii kali ya mwaka. Sasa kilitokea nini baada ya kuunganisha PHYSICS NA CHEMISTRY?.
 
Ni rimwanakijiji hilo limehamishia huko kwenye Snow day!

aisee i hate rimwanakijiji....

hehehehe...mwulize mwanakijiji kuhusu rafiki yake Mpilipili na sakata la Butimba...? that was classic....
 
aisee i hate rimwanakijiji....

hehehehe...mwulize mwanakijiji kuhusu rafiki yake Mpilipili na sakata la Butimba...? that was classic....


what is Butimba kwanza alafu ndiyo nitamuuliza...alafu dont hate rimwanakijiji maana rimwanakijiji ni ricuzin langu...
 
Yaani Mungai na sura lake baya namna ile anapata totozi na tena kuku wa kienyeji ?

Mi namfahamu tangu 1970 alikuwa Handsome boy enzi hizo hakuna kipara wala nini.
Mashavu na Dimpozi vyote vilukuwa Swanu kabisa.

Ndo hivo tena Kesha.
 
Kulikuwa na Mungai hapo Uganda ambaye na yeye alihamia huko mara baada ya vita ya Amini...Sasa sijui kama they are related or not lakini Mungai huyo niliyekuwa nikimfahamu keshafariki dunia.
 
Sikuwa mkubwa nyakati hizo nilikuwa na miaka 7 tu.
Nilimwona wakati akipiga Kampeni za Ubunge kwa mara ya kwanza huku kauramba shati la Haki ya Mungu( Lile lisilo na kola)



That makes you 45 years old now...maana kama ulikuwa 7 years 1970 do the math.
 
Back
Top Bottom