Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

Sisi tumeshachoka na haya mambo yenu tunasubiri 2020 tuu tumpige risasi kwenye sanduku la kura....imetosha kuongozwa na baba jesca...na kama ikitokea nchi inasajiri wananchi ntakwenda huko
Fikiri vzr Kabla hujaandika hii
Sanduku la Kura litakalosimamiwa na KAILIMA kweli unaamini ataondoka? hivi unajuwa kwanini dab haondolewi Dar
 
Duh,bwana yule akisoma hivi tena atazidi kuchanganyikiwa,mkuu zitto mpe break kidogo
 
Sisi tumeshachoka na haya mambo yenu tunasubiri 2020 tuu tumpige risasi kwenye sanduku la kura....imetosha kuongozwa na baba jesca...na kama ikitokea nchi inasajiri wananchi ntakwenda huko
Maneno ya mkosaji. 2020 ni Zaidi ya 75% MAGUFULI TENA. Iringa, Mbeya, Arusha, Arumeru, Dar yote itakuwa mali ya CCM, kama unanielewa ninachomaanisha. Kiama chenu kinakuja na mtaishia kulia lia tu na ole mjifanye mnaleta fyokofyoko za kuandamana, sisi huwa hatujaribiwi.
 
Kuna watu ni wapumbavu, mapepo, majini, majizi, kenge kengeza na mashetwani kabisa.
Mtu anasimama jukwaani kutuambia tuwe wazalendo, msema kweli mpenzi wa Mungu, niombeeni.... Huku anafanya ufirauni wa hali ya juu, dhambi juu ya dhambi.

Mm sasa hivi ili mradi nikipata mwanya wa kupiga dili napiga tena zaidi ya hapo mwanzo, maana anayeniambia niwe mzalendo yeye yuko kinyume maili milioni moja. They speak what they dont mean and mean what they dont speak.
Shit
 
Zitto azibe tu lile pengo la Lissu japo kwa asilimia 20%
 
Ni kwanini ccm mna tabia ya kujibu hoja bila kuweka data? Zitto kaja na data anazoziamini ambazo zinapinga data zilizotolewa na serikali, ni kwanini basi badala ya kutaja mlolongo wa miradi msiseme juu ya madeni ya nje na ndani mmeyalipa kwa kiwango gani kutokana na makusanyo yenu?
Kama kweli kwa uhalisia wa ukusanyaji mnaotamba kuwa nao lipeni madeni ya walimu na pensheni za wastaafu basi kwa kasi hiyohiyo ya ukusanyaji!
Hiyo miradi si ipo kibajeti au kuna ya dharura?
Zitto might be right kama majibu ndiyo yale ya jana!
Hoa hutawaweza wanatumia miguu kufikiri
 
Muda si mrefu ataitwa na Mambosasa kuhojiwa kwa uchochezi.
Magufuli hana uwezo wa kujibu nondo hii
 
Ukiwa na ligi na zitto uwe na takwimu za kutosha sasa kwa huyu kiongozi wetu nina mashaka naye na takwimu zake. Msema kweli mpenzi wa Mungu. Mara zote Zitto ni Mkweli.
Siku zote zitto uwa mwongo na haelewi alisemalo ivyo msameheni haelewi tusonge Mbele Raisi wetu mchapa kazi muache zitto aendelee kuongwa kama mdada was kimboka
 
Napompendeaga Zitto ni hapo tu, sio mtu wa mipasho na vidole juu kama yule kibwenzi na kidole chake juu cha msisitizo... Zitto huwa anaweka hoja mezani then anakaa kimya, wenye utindio wa ubongo kama baba yao wanaishia kwenye mipasho
Wenye utindio wa ubongo kama zitto na wew na mama yako
 
Back
Top Bottom