pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
'Atakaejaribu kuharibu uhai wangu afahamu hatakuwa salama kabisa, hadi panya ndani ya nyumba yake hawatasalimika' By; Zitto Zuberi Kabwe. (Mbunge)
Wanashushia na balimi za fedha ya Nia njemaNgoja Lumumba buku7 waje wapo wanapata cha mchana!
Sure mkuu. Zitto yupo vizuri sana up stairs. Huwezi kubishana naye kama hujajipanga. Natamani kama pangekuwa na mdahalo kati yake na mkulu kuhusu hii issue, halafu uwe liveUkiwa na ligi na zitto uwe na takwimu za kutosha sasa kwa huyu kiongozi wetu nina mashaka naye na takwimu zake. Msema kweli mpenzi wa Mungu. Mara zote Zitto ni Mkweli.
. Hapo tungemaliza ubishi kiroho safi.Kweli kabisa! Point yako nimeipenda! Tuache mambo ya ushabiki. Tuangalie hoja.Jaman kuna maoni mengine ni kama vile watu wanaleta upinzan wa simba na yanga katika masuala muhim.Zitto anaongea vitu vya msingi.uwe chadema ,cuf ,nccr au hauna chama lakin unaipenda nchi hatuna budi kumuunga mkono.
Zito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza
Ila uteuzi wa CAG uko chni ya nan?Huyu CAG hajateuliwa na JPM, amemkuta kama alivyomkuta Benno Ndulu
Zitto yuko sahihi, na amejibu sahihi kabisa. amefanya vizuri kutoogopa vitisho. maana tatizo la JPM huwa hawezi kabisa kujenga hoja bila vitisho kwa wale wanaompinga au kumkosoa, au kujionesha kwamba yeye yuko sahihi asilimia miamoja na kuomba watu wamwombee. Zitto amekaa kwenye kamati ya bunge ya hesabu za mashirika, anajua anachoongea. Bravo Zitto!! Japokuwa sipendi sana siasa zako, lakini kwa hili nakuunga mkono bila chenga!Anaandika kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe
Taarifa yetu kuhusu ' kupikwa ' Kwa takwimu za Pato la Taifa tutaitoa mara baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Act Wazalendo kitakachoketi 28/10/2017. Sheria ya Takwimu aliyotaja Rais kutaka itumike kuziba watu midomo haizuii tafsiri za Takwimu zinazotolewa na Serikali.
Tunatumia takwimu za Serikali kuonyesha kuwa Serikali inadanganya Kwa kutokusema ukweli wote wa uhalisia wa uchumi na kuporomoka Kwa mapato. Ni sawa na mtu anayesema Glasi ni ' half empty or half full ' kwani anasema kitu kile kile.
Kwa mfano, Rais anaposema kuwa Serikali inatekeleza miradi mikubwa Kwa kutumia ongezeko la kodi anakuwa anadanganya Wananchi na anafanya hivyo akijua anadanganya. Rais anajua kuwa Deni la Taifa limeongezeka Kwa TZS 6.5trn katika miaka yake miwili ya urais. ( Deni la Nje limeongezeka Kwa US$1.5bn ( TZS 4.5trn) kati ya July 2016-July 2017. Deni la ndani limeongezeka Kwa TZS 2trn katika kipindi hicho.
Soma . http://www.bot.go.tz/Publications/MonthlyEconomicReviews/MER August 2017 Final.pdf ).
Pia Rais anajua kuwa Serikali inatumia, bila kufuata sheria, Fedha za Mashirika ya Umma zilizopo Benki Kuu kulipia baadhi ya Miradi yake. Kukiuka sheria za Fedha ni kosa la jinai na wakati mwengine kosa la kikatiba kwani Katiba imeweka utaratibu wa masuala ya Fedha za Umma.
Kodi inayokusanywa na TRA inaweza kulipa mishahara na kuhudumia Deni la Taifa tu. Kwanini Rais wetu hasemi kuwa tunakopa? Kukopa sio dhambi, kwanini aaminishe watu kuwa anatekeleza miradi Kwa kuwa kodi zimeongezeka? Kama Rais anaamini kuwa Mapato hayajaporomoka, aruhusu ukaguzi maalumu wa CAG kwenye Mapato ya July na Agosti 2017 na ukaguzi huo uwekwe wazi Kwa umma.
Rais akifanya hivyo NITAWAJIBIKA
Duh,huo mkwala nouma'Atakaejaribu kuharibu uhai wangu afahamu hatakuwa salama kabisa, hadi panya ndani ya nyumba yake hawatasalimika' By; Zitto Zuberi Kabwe. (Mbunge)
Zito hajasema kukopa ni Dhambi, amesema kukopa lazima ipitishwe na Bunge na hio ndio sheria, sio kukopa kisiri halafu ukadanganyaZito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza
Kitengo kinachopopoaIla swali la msingi ni kwa nini Zitto hakamatwi kwa uchochezi?
Naomba nisaidiwe hapo, huyu jamaa hajawahi kulala Polisi na wala hana hata kesi moja mahakamani.
Hiki ni kitengo.
Umemuelewa?Zito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza
'Atakaejaribu kuharibu uhai wangu afahamu hatakuwa salama kabisa, hadi panya ndani ya nyumba yake hawatasalimika' By; Zitto Zuberi Kabwe. (Mbunge)










Hujamwelewa Zitto. Serikali inatumia fedha za mashirika zilizowekwa benki kuu, kinyume cha utaratibu. hiyo ndiyo hoja yenyewe.Zito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza