Ana risasi za kutosha....Ukiwa na ligi na zitto uwe na takwimu za kutosha sasa kwa huyu kiongozi wetu nina mashaka naye na takwimu zake. Msema kweli mpenzi wa Mungu. Mara zote Zitto ni Mkweli.
Wakati vijana wa 'kiumeni' wanaongea funga mdomo! wengine ndo wastaafu wa kesho na uhakika wa pesheni ndio hivyo tena! tulia kabisa!Zito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza
Yaani mwekundu ndiye umetoa comments hizi??Hakuna kitu kinamuuma mkuu akipingwa
Angalau huyu Magufuli hawezi kumfukuza..Huyu huyu CAG anayeteuliwa na Magufuri leo mnaiman nae?
Kumfukuzua ndio nn?Angalau huyu Magufuli hawezi kumfukuzua...
Una elewa nn maana ya kamati kuu,angekuwa ana wajumbe chama kingefutiliwa mbali.Hapo kwenye kikao cha kamati kuu nimekataa, Wajumbe anawatoa wapi tena jamani!!
Mkuu that's beside the point, swali ni kwamba ukiwa na -10 ukajumlisha na 10 utabakiwa na 0, ukionekana baadae una 5 ukasema umekopa kuna dhambi gani?.....tatizo ni unapolazimisha watu wenye macho kuwa 5 imebaki kwenye / ni sehemu ya hiyo calculation... Tuliosoma kemia hatutakiwi kudanganyi kwa style hiyo!Zito hujui kuwa bajeti ya serikali mapato yake hutokana na makusanyo ya ndani na mapato ya Nje?
Kosa la rais kutekeleza kwa pesa za kukopa si kuvunja Sheria. Uchumi wa Nchi yetu bado haujafikia hatua ya kujitosheleza kulipia bajeti yote.
Kauli ya Mhe rais kuhusu kuongezeka kwa makusanyo ya ndani ni kweli acha kupotosha takwimu za serikali.
Naamini sasa umebaki unalia kama debe tupu huku ukidhani utaendelea kuwadanganya watanzania hutaweza
Ila swali la msingi ni kwa nini Zitto hakamatwi kwa uchochezi?Maoni ya Zitto nimeyapenda,iitishwe audit ya CAG tupewe ukweli
Kuna mtu atakuwa amevimba kwa hasira ........... Naona Zitto hakuelewa kile Kabudi alichoagizwa kukifanya!!Maoni ya Zitto nimeyapenda,iitishwe audit ya CAG tupewe ukweli
Teh teh! Nilimaanisha kumfukuza! Kiswahili ni lugha yangu ya nne baada ya kisukuma, kitigrinya na kiingereza.Kumfukuzua ndio nn?
Huyu CAG hajateuliwa na JPM, amemkuta kama alivyomkuta Benno NduluHuyu huyu CAG anayeteuliwa na Magufuri leo mnaiman nae?