Hawa panya hatari sana, wanataka hata kumla paka
Mkuu usijali sana. Watakapomla Paka wataanza kujila wenyewe
Hawa panya hatari sana, wanataka hata kumla paka
Wanajua kabisa wakiinga kwenye MTEGO wa kuwataja wata OPEN A PANDORA BOX!
Kati yao (CCM) hakuna aliye salama. Kama wanashindwa kuwataja wabunge wa CDM wanaotuhumiwa kula rushwa, kweli wataweza kuwataja WENZAO WA CCM. (ref kesi ya TL na wabunge wala rushwa).
Mh! Mbona sumu ya panya rahisi tu tumpe Indocid!
Beti Moja:
Panya hawakamatani, na pia hawatajani,
Ati nani kala nini, kala wapi na kwanini,
Panya daima makini, watajane kiwe nini?
Wanapokula ghalani, panya hula na yamini!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Chikawe ni lazima atatetea ufisadi kwani yeye ni mmoja wao; juzi juzi amenunua nyumba kule Lushoto kwa pesa za wizi na kama anabisha aeleze hizo $ 800,000 alizolipa alizipata wapi?
Hawa panya hatari sana, wanataka hata kumla paka