Kuhusu ACT - Wazalendo kuunga mkono Serikali, acha leo niteme nyongo

(Tunafanya Siasa tusiyoijua)

Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi ambapo bendera za chama cha ACT zilionekana zikipepea uwanja wa Aman kuashiria USHIRIKI wao katika sherehe zile za kuadhimisha mapinduzi matukufu.

Ninaiita Nongwa kwa sababu ushiriki wao haukuandikwa au kupokelewa wala kutafsiriwa vizuri na wenzao wa Chadema.
Hii ndio ilinipa wasiwasi na kujiuliza, hivi hii fani ya Siasa tunayojinasibu kuishiriki tunaijua kweli au ni wahanga tu wa mkumbo bila kujua maana, athari wala hatima yetu kwa kufuata tusilolijua.

ACT ni chama huru cha Siasa kilicho na Sera zake, katiba yake, Itikadi zake, vikao vyake, maamuzi yake, malengo yake na viongozi wake kama ilivyo kwa vyama vingine vya Siasa ikiwemo Chadema.

Lakini zaidi kwa sasa ACT sio tu chama cha Siasa cha Upinzani, bali pia ni sehemu ya serikali kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ikishiriki kuongoza nchi na kuendesha serikali kwa kuwa sehemu ya serikali hiyo ya Umoja wa kitaifa, na ushahidi wa hilo ni ukweli kwamba baadhi ya mawaziri wa serikali ya Zanzibar wametoka ACT-Wazalendo.

Sasa katika mantiki hiyo hivi ni vipi unaweza kutarajia au hata kuwaza tu kwamba eti ACT wasishiriki shughuli za kiserikali ilhali na wao ni sehemu ya hiyo serikali? Tena shughuli zenyewe ni maazimisho tu ya kumbukizi za kihistoria?

Hivi ni kwa sababu ACT kashiriki sherehe za mapinduzi leo tumuite majina ya kihuni, mara chama cha michongo, mara ooooh kiongozi wao fulani msaliti, hii hapana!

ACT ni sehemu ya serikali, hivi unatarajia viongozi wake washupaze mishipa ya shingo kupinga na kulaani kila linalofanywa na serikali hata kama ni zuri? hii pia HAPANA.

Tamko la kiongozi wa ACT kwamba wataiunga mkono serikali katika juhudi zake za kusimamia miradi ya kimaendeleo, ni tamko mujarabu kabisa na ndicho hasa wanachotakiwa kukifanya kwa sasa lakini bila kusahau kofia yao ya Upinzani kwa kukosoa na kuelekeza penye umuhimu wa kufanya hivyo.

Naomba niwakumbushe wenzangu wa Chadema, kuwa chama cha Upinzani haimaanishi Sasa kuwa na kibali cha kulaani na kupinga kila kinachofanywa au kusemwa na serikali, kama kinachotakiwa kufanywa kikifanyika kwa faida ya taifa kwanini basi pia usitoe tamko la kuunga mkono mwenendo huo mzuri ili kuchochea mazuri mengine kufanyika?

Yaani namaanisha mwanao ni mtundu sana na kila leo unamchapa kwa utundu wake, hivi siku akifanya lolote zuri basi kwa nini usimpigie makofi kumpongeza ili kumjengea kijiamini na kutenda uyapendayo? Sijui naeleweka!?

Kikatiba, kazi ya chama cha Upinzani ni pamoja na kuikosoa na kuishauri serikali, tunaelewa kukosoa tu, vipi serikali ikifanya vizuri, hatupaswi kuipa kongole ili iendelee kufanya vizuri?

ACT katoka ubavuni mwa Chadema, haileti taswira nzuri kwa Chadema kupoteza muda kumuandama ACT na viongozi wake ilhali kila mmoja ana shughuli zake za kufanya, ebu kwa sasa kila mtu ashinde MECHI zake halafu mwisho wa msimu tutahesabu mwenye alama nyingi.

View attachment 2092469
Kama umeshamaliza kutema hiyo nyongo, wahi sasa ukapige mswaki, oga, kula chakula cha mchana! Halafu nenda ukapumzishe akili.

Baadaye usisahau kuangalia mechi ya Polisi Tanzania dhidi ya Wananchi Yanga.
 
Ukiwa kwenye serekali ndio huwezi kuipinga? Ruto ni makamu wa rais hapo Kenya na anampinga rais wake wazi wazi. Hilo moja.

Aina ya siasa afanyazo Zito kama atapata uungwaji mkono wa wapinzani huku bara basi ni kidogo mno, ama apate support fulani ya wanaccm wasiokubali kushindwa na kuona fedheha ya kushidwa na cdm. Mfano mrahisi toka amefariki Magufuli ACT wameshiriki chaguzi zote za marudio, ukiacha kura chache walizopata kwenye chaguzi za huku bara,bado hamasa iliyokuwepo ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana, kwani wananchi wameona ni ccm na mshirika wake ndio wako kwenye huo uchaguzi.

Cdm imefanikiwa kujenga wafuasi wake kuwa na imani kwake, hakuna uwezekano tena wa kuwabadilisha hata kama cdm ikifutwa, sana sana wafuasi wake ambao ni maelfu kwa maelfu hawatapiga kura,na hilo litapelekea chaguzi kuendelea kudoda.
Zitto alikuwa hivyo hivyo lakini alipounganisha chama na Zanzibar amefumbuka macho na kuona siasa hasa za Tanzania vipi zinatakiwa ziendeshwe., Maalim Seif alikuwa mwanasiasa ambaye karibu 90% alifanikiwa kisiasa, leo hakuna mzanzibari mahali asiyejielewa ni kutokana na juhudi zake kisiasa chadema walijifunza siasa toka zanzibar, lakini kuna mahalai wamekuwa wakiachwa pande kubwa sana kutokana na ujuaji wao na sasa ndio inawa-cost.

Naamini Zitto atakuwa mwanasiasa mkubwa zaid huko tanganyika baada ya anguko la chadema linavyoendelea hivi sasa., Ni ujinga wa hali ya juu kwa nchi kama Tanzania kutegemea utawaongoza wananchi kupitia youtube na twitter kama anavyofanya yule mtu belgium na canada., maalim alipata madhila mengi sana lakini alirudi zanzibar kuungana na wananchi liwalo na liwe.,

Chadema wanataka wapewe nchi kwenye kisahani cha chai., Chama kishakufa mwenyekiti wao yuko ndani wameshindwa kutoka huko waliko kuja kumsaidia mwenyekiti wao wa juu zaidi kwenye chama ni ishara kwamba Chadema imefeli kwenye mapambano.

Zitto ni ginious,

Sio kila wakati unakaa mbali na adui yako., inabidi ukae naye umzoee kutimiza malengo yako ndivyo ilivyo kwenye siasa., Chadema wana theory za kizamani sana ambazo sasa zimepitwa na wakati, bado wanaamini kushika dola kutokana na hali waliyonayo tunasema ni ujinga uliopindukia.,

Zitto alikuwa hivyo hivyo lakini alipounganisha chama na Zanzibar amefumbuka macho na kuona siasa hasa za Tanzania vipi zinatakiwa ziendeshwe., Maalim Seif alikuwa mwanasiasa ambaye karibu 90% alifanikiwa kisiasa, leo hakuna mzanzibari mahali asiyejielewa ni kutokana na juhudi zake kisiasa chadema walijifunza siasa toka zanzibar, lakini kuna mahalai wamekuwa wakiachwa pande kubwa sana kutokana na ujuaji wao na sasa ndio inawa-cost.

Naamini Zitto atakuwa mwanasiasa mkubwa zaid huko tanganyika baada ya anguko la chadema linavyoendelea hivi sasa., Ni ujinga wa hali ya juu kwa nchi kama Tanzania kutegemea utawaongoza wananchi kupitia youtube na twitter kama anavyofanya yule mtu belgium na canada., maalim alipata madhila mengi sana lakini alirudi zanzibar kuungana na wananchi liwalo na liwe.,

Chadema wanataka wapewe nchi kwenye kisahani cha chai., Chama kishakufa mwenyekiti wao yuko ndani wameshindwa kutoka huko waliko kuja kumsaidia mwenyekiti wao wa juu zaidi kwenye chama ni ishara kwamba Chadema imefeli kwenye mapambano.

Zitto ni ginious,
Ukiwa kwenye serekali ndio huwezi kuipinga? Ruto ni makamu wa rais hapo Kenya na anampinga rais wake wazi wazi. Hilo moja.

Aina ya siasa afanyazo Zito kama atapata uungwaji mkono wa wapinzani huku bara basi ni kidogo mno, ama apate support fulani ya wanaccm wasiokubali kushindwa na kuona fedheha ya kushidwa na cdm. Mfano mrahisi toka amefariki Magufuli ACT wameshiriki chaguzi zote za marudio, ukiacha kura chache walizopata kwenye chaguzi za huku bara,bado hamasa iliyokuwepo ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana, kwani wananchi wameona ni ccm na mshirika wake ndio wako kwenye huo uchaguzi. Huko Zanzibar hasa Pemba ndiko ACT ilipo na nguvu,na sio kwa sababu ya siasa za ACT, bali kivuli cha Maalim Seif na uadui wa jadi wa watu wa huko dhidi ya ccm.

Katika kitu cdm wamefanikiwa huku bara ni kujenga imani kwa wafuasi wake ambao huwabadikishi kirahisi. Cdm ina baa ya uhakika ya wapiga kura huku bara ambao sio rahisi ccm au Zito na chama chake kuwapata hata cdm ikifutwa. Mfano mrahisi wakati wa uchaguzi mkuu, Magufuli na ccm wakijiaminisha wamemaliza cdm, walichokiona kwenye kampeni, na matokeo yaliyokuwa kwenye box la kura, ukiachia wapiga kura wachache waliojitokeza, ilikuwa ni aibu na fedheha kwa ccm. Nadhani uliona afya ya Magufuli ilivyopata mgogoro wakati wa kampeni, na msongo wa mawazo aliopata baada ya matokeo. Hadi anafariki Magufuli hakuwahi kurudi kuwa normal. Hao cdm mnaojiaminisha kuwa wamekufa, wakirudi tena kwenye siasa za majukwaani ni dakika tu kuwavuga CCM. Hapo ndio utaona tena vyombo vya dola vikiagizwa kuibeba CCM.
 
Sio kila wakati unakaa mbali na adui yako., inabidi ukae naye umzoee kutimiza malengo yako ndivyo ilivyo kwenye siasa., Chadema wana theory za kizamani sana ambazo sasa zimepitwa na wakati, bado wanaamini kushika dola kutokana na hali waliyonayo tunasema ni ujinga uliopindukia.,

Zitto alikuwa hivyo hivyo lakini alipounganisha chama na Zanzibar amefumbuka macho na kuona siasa hasa za Tanzania vipi zinatakiwa ziendeshwe., Maalim Seif alikuwa mwanasiasa ambaye karibu 90% alifanikiwa kisiasa, leo hakuna mzanzibari mahali asiyejielewa ni kutokana na juhudi zake kisiasa chadema walijifunza siasa toka zanzibar, lakini kuna mahalai wamekuwa wakiachwa pande kubwa sana kutokana na ujuaji wao na sasa ndio inawa-cost.

Naamini Zitto atakuwa mwanasiasa mkubwa zaid huko tanganyika baada ya anguko la chadema linavyoendelea hivi sasa., Ni ujinga wa hali ya juu kwa nchi kama Tanzania kutegemea utawaongoza wananchi kupitia youtube na twitter kama anavyofanya yule mtu belgium na canada., maalim alipata madhila mengi sana lakini alirudi zanzibar kuungana na wananchi liwalo na liwe.,

Chadema wanataka wapewe nchi kwenye kisahani cha chai., Chama kishakufa mwenyekiti wao yuko ndani wameshindwa kutoka huko waliko kuja kumsaidia mwenyekiti wao wa juu zaidi kwenye chama ni ishara kwamba Chadema imefeli kwenye mapambano.

Zitto ni ginious,
Ndio siyo sawa kupinga kila kitu na sidhani kama Chadema wanapinga kila kitu siyo kweli. Serikali inahamasisha watu kuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa uviko19, Chadema wameunga mkono, tunamuona Sugu akihamasisha watu kuchanjwa.
Unashauri Tundu Lisu arudi afanyie siasa hapa,ni sawa uwepo wake hapa utakuwa na impact kubwa, lakini siyo kupuuza hofu ya kiusalama dhidi ya waliotaka kumuua mchana kweupe, mpaka leo bado yupo IGP yuleyule aliyekuwepo wakati anashambuliwa, na hakuna aliyekamatwa mpaka Sasa.Unawekaje rehani maisha yako kwa walinda usalama wa design hiyo! Hasara ya kupoteza maisha siyo sifa ya maana kwa kujiweka kwenye mazingira ya hatarishi kijinga.
Huyo Maalim Seif kapitia madhira gani yaliyotishia maisha yake? Hii kukamatwa kamatwa mbona Chadema karibu viongozi wote ndo yamekuwa maisha yao.
Chadema kuwakasirikia ACT wako sahihi kabisa,Zito anafahamika vizuri tu, kwani akiunga mkono serikali bila kusema angepungukiwa Nini?
Wenzake, mwenyekiti wao kakamatwa na kuwekwa jela kwa kesi tata,hata Zito mwenyewe anajua,halafu huyo huyo anayemwonea kiongozi wao wewe utangaze kushirikiana naye!! ACT kuwamo ndani ya serikali hakuwajengi kokote,ilianza Cuf kuingia serikalini wamefika wapi? CCM wanajua hawakubaliki popote,wanawaibia kura halafu wanawadanganyia serikali ya umoja wa kitaifa. Kwanza mara nyingi serikali za hivi huwa ni za mpito wakati mnarekebisha kasoro zilizosababisha kuwepo kwa mfumo huo wa serikali.Angalia Kenya baada ya machafuko ya 2007, waliunda serikali ya hivyo, huku waliitengeneza katiba ya kuondoa kasoro za uchaguzi, ndio sababu pamoja na NASA kuwa na wabunge wengi kwa sehemu kubwa bado haikuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.
 
Kuunda serikali gani?. ACT Wana Wizara tatu tu, na Makamu wa Kwanza wa Rais, ambaye anapangiwa kazi na Rais wa Zanzibar Mh Mwinyi. Wakati wenzao wa CCM wamekamata Wizara zote zilizobaki na nafasi ya Makamu wa pili wa Rais ambaye ana hadhi ya waziri mkuu. Nyie endeleeni kujikomba kwa serikali iliyowatandika na kuwaibia Kura kwenye uchaguzi. Ninachojiuliza wapemba waliwezaje kukubali kujiuza kwa Zitto?. Ngoja aendelee kuwalambisha miguu kwa CCM .
Hakuna muafaka hapo, kuna kujipendekeza tu.
 
(Tunafanya Siasa tusiyoijua)

Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi ambapo bendera za chama cha ACT zilionekana zikipepea uwanja wa Aman kuashiria USHIRIKI wao katika sherehe zile za kuadhimisha mapinduzi matukufu.

Ninaiita Nongwa kwa sababu ushiriki wao haukuandikwa au kupokelewa wala kutafsiriwa vizuri na wenzao wa Chadema.
Hii ndio ilinipa wasiwasi na kujiuliza, hivi hii fani ya Siasa tunayojinasibu kuishiriki tunaijua kweli au ni wahanga tu wa mkumbo bila kujua maana, athari wala hatima yetu kwa kufuata tusilolijua.

ACT ni chama huru cha Siasa kilicho na Sera zake, katiba yake, Itikadi zake, vikao vyake, maamuzi yake, malengo yake na viongozi wake kama ilivyo kwa vyama vingine vya Siasa ikiwemo Chadema.

Lakini zaidi kwa sasa ACT sio tu chama cha Siasa cha Upinzani, bali pia ni sehemu ya serikali kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ikishiriki kuongoza nchi na kuendesha serikali kwa kuwa sehemu ya serikali hiyo ya Umoja wa kitaifa, na ushahidi wa hilo ni ukweli kwamba baadhi ya mawaziri wa serikali ya Zanzibar wametoka ACT-Wazalendo.

Sasa katika mantiki hiyo hivi ni vipi unaweza kutarajia au hata kuwaza tu kwamba eti ACT wasishiriki shughuli za kiserikali ilhali na wao ni sehemu ya hiyo serikali? Tena shughuli zenyewe ni maazimisho tu ya kumbukizi za kihistoria?

Hivi ni kwa sababu ACT kashiriki sherehe za mapinduzi leo tumuite majina ya kihuni, mara chama cha michongo, mara ooooh kiongozi wao fulani msaliti, hii hapana!

ACT ni sehemu ya serikali, hivi unatarajia viongozi wake washupaze mishipa ya shingo kupinga na kulaani kila linalofanywa na serikali hata kama ni zuri? hii pia HAPANA.

Tamko la kiongozi wa ACT kwamba wataiunga mkono serikali katika juhudi zake za kusimamia miradi ya kimaendeleo, ni tamko mujarabu kabisa na ndicho hasa wanachotakiwa kukifanya kwa sasa lakini bila kusahau kofia yao ya Upinzani kwa kukosoa na kuelekeza penye umuhimu wa kufanya hivyo.

Naomba niwakumbushe wenzangu wa Chadema, kuwa chama cha Upinzani haimaanishi Sasa kuwa na kibali cha kulaani na kupinga kila kinachofanywa au kusemwa na serikali, kama kinachotakiwa kufanywa kikifanyika kwa faida ya taifa kwanini basi pia usitoe tamko la kuunga mkono mwenendo huo mzuri ili kuchochea mazuri mengine kufanyika?

Yaani namaanisha mwanao ni mtundu sana na kila leo unamchapa kwa utundu wake, hivi siku akifanya lolote zuri basi kwa nini usimpigie makofi kumpongeza ili kumjengea kijiamini na kutenda uyapendayo? Sijui naeleweka!?

Kikatiba, kazi ya chama cha Upinzani ni pamoja na kuikosoa na kuishauri serikali, tunaelewa kukosoa tu, vipi serikali ikifanya vizuri, hatupaswi kuipa kongole ili iendelee kufanya vizuri?

ACT katoka ubavuni mwa Chadema, haileti taswira nzuri kwa Chadema kupoteza muda kumuandama ACT na viongozi wake ilhali kila mmoja ana shughuli zake za kufanya, ebu kwa sasa kila mtu ashinde MECHI zake halafu mwisho wa msimu tutahesabu mwenye alama nyingi.

View attachment 2092469
Umenikumbusha miaka ya 1980s Denis Healy wa chama cha Labour Uingereza aliposimama Bungeni na kusema kwa mara ya kwanza amewagundua Wabunge wa Conservative wamesema ukweli Bungeni bila kukusudia!! (kwa maana kuwa si kawaida yao!!)
 
Ndio siyo sawa kupinga kila kitu na sidhani kama Chadema wanapinga kila kitu siyo kweli. Serikali inahamasisha watu kuchanjwa dhidi ya ugonjwa wa uviko19, Chadema wameunga mkono, tunamuona Sugu akihamasisha watu kuchanjwa.
Unashauri Tundu Lisu arudi afanyie siasa hapa,ni sawa uwepo wake hapa utakuwa na impact kubwa, lakini siyo kupuuza hofu ya kiusalama dhidi ya waliotaka kumuua mchana kweupe, mpaka leo bado yupo IGP yuleyule aliyekuwepo wakati anashambuliwa, na hakuna aliyekamatwa mpaka Sasa.Unawekaje rehani maisha yako kwa walinda usalama wa design hiyo! Hasara ya kupoteza maisha siyo sifa ya maana kwa kujiweka kwenye mazingira ya hatarishi kijinga.
Huyo Maalim Seif kapitia madhira gani yaliyotishia maisha yake? Hii kukamatwa kamatwa mbona Chadema karibu viongozi wote ndo yamekuwa maisha yao.
Chadema kuwakasirikia ACT wako sahihi kabisa,Zito anafahamika vizuri tu, kwani akiunga mkono serikali bila kusema angepungukiwa Nini?
Wenzake, mwenyekiti wao kakamatwa na kuwekwa jela kwa kesi tata,hata Zito mwenyewe anajua,halafu huyo huyo anayemwonea kiongozi wao wewe utangaze kushirikiana naye!! ACT kuwamo ndani ya serikali hakuwajengi kokote,ilianza Cuf kuingia serikalini wamefika wapi? CCM wanajua hawakubaliki popote,wanawaibia kura halafu wanawadanganyia serikali ya umoja wa kitaifa. Kwanza mara nyingi serikali za hivi huwa ni za mpito wakati mnarekebisha kasoro zilizosababisha kuwepo kwa mfumo huo wa serikali.Angalia Kenya baada ya machafuko ya 2007, waliunda serikali ya hivyo, huku waliitengeneza katiba ya kuondoa kasoro za uchaguzi, ndio sababu pamoja na NASA kuwa na wabunge wengi kwa sehemu kubwa bado haikuundwa serikali ya umoja wa kitaifa.
Ukiwa kwenye serekali ndio huwezi kuipinga? Ruto ni makamu wa rais hapo Kenya na anampinga rais wake wazi wazi. Hilo moja.

Aina ya siasa afanyazo Zito kama atapata uungwaji mkono wa wapinzani huku bara basi ni kidogo mno, ama apate support fulani ya wanaccm wasiokubali kushindwa na kuona fedheha ya kushidwa na cdm. Mfano mrahisi toka amefariki Magufuli ACT wameshiriki chaguzi zote za marudio, ukiacha kura chache walizopata kwenye chaguzi za huku bara,bado hamasa iliyokuwepo ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana, kwani wananchi wameona ni ccm na mshirika wake ndio wako kwenye huo uchaguzi.

Cdm imefanikiwa kujenga wafuasi wake kuwa na imani kwake, hakuna uwezekano tena wa kuwabadilisha hata kama cdm ikifutwa, sana sana wafuasi wake ambao ni maelfu kwa maelfu hawatapiga kura,na hilo litapelekea chaguzi kuendelea kudoda.



Ukiwa kwenye serekali ndio huwezi kuipinga? Ruto ni makamu wa rais hapo Kenya na anampinga rais wake wazi wazi. Hilo moja.

Aina ya siasa afanyazo Zito kama atapata uungwaji mkono wa wapinzani huku bara basi ni kidogo mno, ama apate support fulani ya wanaccm wasiokubali kushindwa na kuona fedheha ya kushidwa na cdm. Mfano mrahisi toka amefariki Magufuli ACT wameshiriki chaguzi zote za marudio, ukiacha kura chache walizopata kwenye chaguzi za huku bara,bado hamasa iliyokuwepo ya wapiga kura ilikuwa ndogo sana, kwani wananchi wameona ni ccm na mshirika wake ndio wako kwenye huo uchaguzi. Huko Zanzibar hasa Pemba ndiko ACT ilipo na nguvu,na sio kwa sababu ya siasa za ACT, bali kivuli cha Maalim Seif na uadui wa jadi wa watu wa huko dhidi ya ccm.

Katika kitu cdm wamefanikiwa huku bara ni kujenga imani kwa wafuasi wake ambao huwabadikishi kirahisi. Cdm ina baa ya uhakika ya wapiga kura huku bara ambao sio rahisi ccm au Zito na chama chake kuwapata hata cdm ikifutwa. Mfano mrahisi wakati wa uchaguzi mkuu, Magufuli na ccm wakijiaminisha wamemaliza cdm, walichokiona kwenye kampeni, na matokeo yaliyokuwa kwenye box la kura, ukiachia wapiga kura wachache waliojitokeza, ilikuwa ni aibu na fedheha kwa ccm. Nadhani uliona afya ya Magufuli ilivyopata mgogoro wakati wa kampeni, na msongo wa mawazo aliopata baada ya matokeo. Hadi anafariki Magufuli hakuwahi kurudi kuwa normal. Hao cdm mnaojiaminisha kuwa wamekufa, wakirudi tena kwenye siasa za majukwaani ni dakika tu kuwavuga CCM. Hapo ndio utaona tena vyombo vya dola vikiagizwa kuibeba CCM.
Amen, amen
 
Zito Kabwe anafikiria pesa, hafikirii Wazanzibar wengi waliopoteza maisha yao kuitafuta haki ambayo mpaka leo haijapatikana.

Zitto anatumia damu za Wazanzibari kuyafikia malengo yake binafsi ya cheo na pesa. Hajawahi kwenda kuwaaambia Wazanzibari ambao wamekuwa wakipoteza ndugu zao, wamekuwa wakipata vilema, wamekuwa wakiporwa ushindi wao, ni kwa namna gani muafaka wa sasa umehitimisha hayo.

Mwaka 2025 Wazanzibari watakufa tena, wataporwa ushindi tena, halafu Zitto ataenda kwenye muafaka tena ili kujihakikishia mapato binafsi.
 
(Tunafanya Siasa tusiyoijua)

Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi ambapo bendera za chama cha ACT zilionekana zikipepea uwanja wa Aman kuashiria USHIRIKI wao katika sherehe zile za kuadhimisha mapinduzi matukufu.

Ninaiita Nongwa kwa sababu ushiriki wao haukuandikwa au kupokelewa wala kutafsiriwa vizuri na wenzao wa Chadema.
Hii ndio ilinipa wasiwasi na kujiuliza, hivi hii fani ya Siasa tunayojinasibu kuishiriki tunaijua kweli au ni wahanga tu wa mkumbo bila kujua maana, athari wala hatima yetu kwa kufuata tusilolijua.

ACT ni chama huru cha Siasa kilicho na Sera zake, katiba yake, Itikadi zake, vikao vyake, maamuzi yake, malengo yake na viongozi wake kama ilivyo kwa vyama vingine vya Siasa ikiwemo Chadema.

Lakini zaidi kwa sasa ACT sio tu chama cha Siasa cha Upinzani, bali pia ni sehemu ya serikali kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ikishiriki kuongoza nchi na kuendesha serikali kwa kuwa sehemu ya serikali hiyo ya Umoja wa kitaifa, na ushahidi wa hilo ni ukweli kwamba baadhi ya mawaziri wa serikali ya Zanzibar wametoka ACT-Wazalendo.

Sasa katika mantiki hiyo hivi ni vipi unaweza kutarajia au hata kuwaza tu kwamba eti ACT wasishiriki shughuli za kiserikali ilhali na wao ni sehemu ya hiyo serikali? Tena shughuli zenyewe ni maazimisho tu ya kumbukizi za kihistoria?

Hivi ni kwa sababu ACT kashiriki sherehe za mapinduzi leo tumuite majina ya kihuni, mara chama cha michongo, mara ooooh kiongozi wao fulani msaliti, hii hapana!

ACT ni sehemu ya serikali, hivi unatarajia viongozi wake washupaze mishipa ya shingo kupinga na kulaani kila linalofanywa na serikali hata kama ni zuri? hii pia HAPANA.

Tamko la kiongozi wa ACT kwamba wataiunga mkono serikali katika juhudi zake za kusimamia miradi ya kimaendeleo, ni tamko mujarabu kabisa na ndicho hasa wanachotakiwa kukifanya kwa sasa lakini bila kusahau kofia yao ya Upinzani kwa kukosoa na kuelekeza penye umuhimu wa kufanya hivyo.

Naomba niwakumbushe wenzangu wa Chadema, kuwa chama cha Upinzani haimaanishi Sasa kuwa na kibali cha kulaani na kupinga kila kinachofanywa au kusemwa na serikali, kama kinachotakiwa kufanywa kikifanyika kwa faida ya taifa kwanini basi pia usitoe tamko la kuunga mkono mwenendo huo mzuri ili kuchochea mazuri mengine kufanyika?

Yaani namaanisha mwanao ni mtundu sana na kila leo unamchapa kwa utundu wake, hivi siku akifanya lolote zuri basi kwa nini usimpigie makofi kumpongeza ili kumjengea kijiamini na kutenda uyapendayo? Sijui naeleweka!?

Kikatiba, kazi ya chama cha Upinzani ni pamoja na kuikosoa na kuishauri serikali, tunaelewa kukosoa tu, vipi serikali ikifanya vizuri, hatupaswi kuipa kongole ili iendelee kufanya vizuri?

ACT katoka ubavuni mwa Chadema, haileti taswira nzuri kwa Chadema kupoteza muda kumuandama ACT na viongozi wake ilhali kila mmoja ana shughuli zake za kufanya, ebu kwa sasa kila mtu ashinde MECHI zake halafu mwisho wa msimu tutahesabu mwenye alama nyingi.

View attachment 2092469
Mimi naona Chadema wako sahihi na Act-Wazalendo wako sahihi pia - maana haiwezekani Chadema waseme au watende kile Act-Wazalendo watakachosema au kitenda na vice-versa.
 
CHADEMA ni kama unavyoona tu Taliban,Alkaida,LRA, M23, Boko Haramu, Alkaida,M4C n.k. ni vikundi mkakati vya kuharibu amani ya dunia kwa upande wa Afrika. CHADEMA wamejificha kupitia mwamvuli wa Siasa ila ukisikiliza sauti zao ni Magaidi,Matapeli na Wachochezi. Sifa kubwa ya makundi haya ni viongozi wao kuishi kwenye makasino ulaya mfano Lisu,Lema,Roma etc. Pia sifa yao nyingine kubwa ni kuwa hawana ofisi maalumu inayoweza kwenda ukawapata viongozi wake. Mara leo Sudan,mara wapo Congo,mara Kenya na sasa wanawasha moto Msumbiji. Sifa ya tatu viongozi wao kusakwa na kushikiliwa na vyombo vya dola mfano Msumbiji Ally na Tanzania Mbowe.
 
Cdm imefanikiwa kujenga wafuasi wake kuwa na imani kwake, hakuna uwezekano tena wa kuwabadilisha hata kama cdm ikfutwa, sana sana wafuasi wake ambao ni maelfu kwa maelfu hawatapiga kura,
Kumbe lengo ni cdm tu na si upinzani?
Hao wafuasi nao chenga basi
 
Kijana kutoka zambarau umekula?
Kuna takataka nyingine hii ulishawahi andika usisahau kuisoma
👇🏿
Mkumbushe. Kasahau huyo. "Birds (ACT and CCM) of the same feather fly together".
 
(Tunafanya Siasa tusiyoijua)

Nimeona na kusoma sehemu kadhaa makada na mashabiki wa chama cha Chadema wakilaani taarifa inayokinasibu chama cha ACT wazalendo kuunga mkono juhudi za serikali katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Na niliiona nongwa hii tangu siku ya sherehe za mapinduzi ambapo bendera za chama cha ACT zilionekana zikipepea uwanja wa Aman kuashiria USHIRIKI wao katika sherehe zile za kuadhimisha mapinduzi matukufu.

Ninaiita Nongwa kwa sababu ushiriki wao haukuandikwa au kupokelewa wala kutafsiriwa vizuri na wenzao wa Chadema.
Hii ndio ilinipa wasiwasi na kujiuliza, hivi hii fani ya Siasa tunayojinasibu kuishiriki tunaijua kweli au ni wahanga tu wa mkumbo bila kujua maana, athari wala hatima yetu kwa kufuata tusilolijua.

ACT ni chama huru cha Siasa kilicho na Sera zake, katiba yake, Itikadi zake, vikao vyake, maamuzi yake, malengo yake na viongozi wake kama ilivyo kwa vyama vingine vya Siasa ikiwemo Chadema.

Lakini zaidi kwa sasa ACT sio tu chama cha Siasa cha Upinzani, bali pia ni sehemu ya serikali kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ikishiriki kuongoza nchi na kuendesha serikali kwa kuwa sehemu ya serikali hiyo ya Umoja wa kitaifa, na ushahidi wa hilo ni ukweli kwamba baadhi ya mawaziri wa serikali ya Zanzibar wametoka ACT-Wazalendo.

Sasa katika mantiki hiyo hivi ni vipi unaweza kutarajia au hata kuwaza tu kwamba eti ACT wasishiriki shughuli za kiserikali ilhali na wao ni sehemu ya hiyo serikali? Tena shughuli zenyewe ni maazimisho tu ya kumbukizi za kihistoria?

Hivi ni kwa sababu ACT kashiriki sherehe za mapinduzi leo tumuite majina ya kihuni, mara chama cha michongo, mara ooooh kiongozi wao fulani msaliti, hii hapana!

ACT ni sehemu ya serikali, hivi unatarajia viongozi wake washupaze mishipa ya shingo kupinga na kulaani kila linalofanywa na serikali hata kama ni zuri? hii pia HAPANA.

Tamko la kiongozi wa ACT kwamba wataiunga mkono serikali katika juhudi zake za kusimamia miradi ya kimaendeleo, ni tamko mujarabu kabisa na ndicho hasa wanachotakiwa kukifanya kwa sasa lakini bila kusahau kofia yao ya Upinzani kwa kukosoa na kuelekeza penye umuhimu wa kufanya hivyo.

Naomba niwakumbushe wenzangu wa Chadema, kuwa chama cha Upinzani haimaanishi Sasa kuwa na kibali cha kulaani na kupinga kila kinachofanywa au kusemwa na serikali, kama kinachotakiwa kufanywa kikifanyika kwa faida ya taifa kwanini basi pia usitoe tamko la kuunga mkono mwenendo huo mzuri ili kuchochea mazuri mengine kufanyika?

Yaani namaanisha mwanao ni mtundu sana na kila leo unamchapa kwa utundu wake, hivi siku akifanya lolote zuri basi kwa nini usimpigie makofi kumpongeza ili kumjengea kijiamini na kutenda uyapendayo? Sijui naeleweka!?

Kikatiba, kazi ya chama cha Upinzani ni pamoja na kuikosoa na kuishauri serikali, tunaelewa kukosoa tu, vipi serikali ikifanya vizuri, hatupaswi kuipa kongole ili iendelee kufanya vizuri?

ACT katoka ubavuni mwa Chadema, haileti taswira nzuri kwa Chadema kupoteza muda kumuandama ACT na viongozi wake ilhali kila mmoja ana shughuli zake za kufanya, ebu kwa sasa kila mtu ashinde MECHI zake halafu mwisho wa msimu tutahesabu mwenye alama nyingi.

View attachment 2092469
ACT Wazalendo ni moawapo ya vyama vya upinzani bara kama ilivyo Chadema. Kwa sababu hiyo vyama hivi vina haki ya kujipangia mambo yake yenyewe bila kuingiliwa na kingine. Kukosolewa sio kuingiliwa. Chadema wana haki kuikosoa na kutofautiana na ACT na vyama vingine kama vile ACT walivyokuwa na haki ya kukosoa na kutofautiana na Chadema na vyama vingine. ACT kwa kubali kuwa sehemu ya serikali ya Zanzibar ni lazima wakubali kuwa mapungufu na mafanikio yote ya serikali hiyo ni yao pia. Zanzibar,ACT sio wapinzani wa serikali bali ni sehemu ya hiyo serikali. Kwa vile wao na CCM ndio wanaunda hiyo serikali wasilalamike kama wenzao watashindwa kuona tofauti kati yao na CCM kisiwani huko. Ukitangaza wazi kuunga mkono serikali huku bara ni kuwa unakuwa karibu zaidi na TLP kuliko NCCR Mageuzi. Ni haki yao kufanya hivyo lakini wakubali pia repercussion zake.

Amandla...
 
Kwani ukiwa mpinzani ni kupinga kila kitu?
Sasa unaanzaje kujiita mpinzani tu bila kueleza unapinga nini? Kwahiyo hapo lazima upinge tu kila kitu maana ndio maana halisi ya jina mpinzani ina maana ni mwnye kupinga tu hadi pale utakapofanikiwa kushika madaraka wewe ndipo upinzani utakoma.
 
Sio kila wakati unakaa mbali na adui yako., inabidi ukae naye umzoee kutimiza malengo yako ndivyo ilivyo kwenye siasa., Chadema wana theory za kizamani sana ambazo sasa zimepitwa na wakati, bado wanaamini kushika dola kutokana na hali waliyonayo tunasema ni ujinga uliopindukia.,

Zitto alikuwa hivyo hivyo lakini alipounganisha chama na Zanzibar amefumbuka macho na kuona siasa hasa za Tanzania vipi zinatakiwa ziendeshwe., Maalim Seif alikuwa mwanasiasa ambaye karibu 90% alifanikiwa kisiasa, leo hakuna mzanzibari mahali asiyejielewa ni kutokana na juhudi zake kisiasa chadema walijifunza siasa toka zanzibar, lakini kuna mahalai wamekuwa wakiachwa pande kubwa sana kutokana na ujuaji wao na sasa ndio inawa-cost.

Naamini Zitto atakuwa mwanasiasa mkubwa zaid huko tanganyika baada ya anguko la chadema linavyoendelea hivi sasa., Ni ujinga wa hali ya juu kwa nchi kama Tanzania kutegemea utawaongoza wananchi kupitia youtube na twitter kama anavyofanya yule mtu belgium na canada., maalim alipata madhila mengi sana lakini alirudi zanzibar kuungana na wananchi liwalo na liwe.,

Chadema wanataka wapewe nchi kwenye kisahani cha chai., Chama kishakufa mwenyekiti wao yuko ndani wameshindwa kutoka huko waliko kuja kumsaidia mwenyekiti wao wa juu zaidi kwenye chama ni ishara kwamba Chadema imefeli kwenye mapambano.

Zitto ni ginious,
Lini Chadema walijifunza siasa kutoka Zanzibar? Unasema chama ambacho vongozi na wafuasi wake wako ndani kwa kufanya siasa, ambacho kila siku kiko mtaani kushinikiza Katiba Mpya ndio kinataka kipewe nchi kwenye kisahani cha chai wakati kile ambacho hakifanyi juhudi yoyote kudai katiba mpya, ambacho kinabembeleza serikali iwape haki zake za kufanya siasa unakiona kuwa revolutionary!
Ndio maana unamuita Zitto ginious,

Amandla...
 
Back
Top Bottom