Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Unampigia mbuzi gitaa wewe!
Hahaha...bado mna miaka kama minne hivi ya kununa.
Ni imani yangu kuwa inawezekana serikali ya Kikwete ingekuwa inafanya vizuri kama ingekuwa sikivu na kuwajibika kwa wananchi bila ya kutiwa kiburi na Usalama wa Taifa na kufuata porojo za propaganda za Usalama wa Taifa.
Wakuu... Amani iwe kwenu!!
Nimekuwa nikijiuliza kwa nini mara nyingi serikali inafanya makosa mengi na makubwa dhidi ya sheria? Nikagundua hatimaye kuwa tatizo kubwa la nchi hii ni kule kuongozwa na Usalama wa Taifa.
mkuu kama unakataa basi usingizi umekulevya!
Profesa Maji Marefu kumbe anaitwa Ngonyani? Ndo maana akili yake kama mbili 2.
Binafsi namheshimu kuwa ni kiongozi aliyechaguliwa na wananchi wa jimbo lake pasipo kujali kiwango cha elimu ya dunia, bali uwezo wake kwa uwakilishi kwa wanajimbo lake.Pia ni mtaalamu wa mambo ya jadi,ambayo pia yana nafasi yake kwenye jamii ya kiafrika na mchango wake kwa waafrika ambao ni utamaduni wetu wa kiafrika ambao unaheshimika kwa ndani [Private] wakati nje [Public] wanaukebehi,haswa wasomi wenye malengo ya upotoshaji,na ambao ni wateja wakuu wa sekta hii."Nendeni nchi jirani au kwingine mkaangalie, mimi niliwahi kuingizwa ndani mchana kwenda kulala kutokana na hali mbaya ya usalama. Hapa kwetu Idara inafanya kazi kubwa, nchi imetulia," alizidi kuikingia kifua na kuwararua wakosoaji.
Katika kuonyesha jinsi idara hiyo inavyofanya kazi kwa ufanisi, Ngonyani alitaka Serikali kuongezea mishahara watumishi wa TISS na kuongeza, "hawa vijana tunashinda nao hapa hadi saa 4:00 usiku wanaangalia usalama halafu tunawasema hawafanyi kazi!"
"Tena nasema waongezewe mishara, vijana wanafanya kazi nzuri na kubwa ya kulinda nchi. Tunapaswa kuwapa nguvu siyo kuwalaumu siyo sahihi hata kidogo," alisisitiza Ngonyani (Maji Marefu)
Nionavyo:
Ikiwa jambo limesemwa na upinzani kwao ni Ovu hata kama kuna chembe za ukweli. Lakini likianzishwa na Mwenzao hata kama nikulisha sumu nchi watashangilia, Nakumbuka walivyomkingia kifua Chenge kwa Umoja wa maslahi ya Chama chao.
Nafika mbali zaidi BAE wanapokataa kuirudishia chenji serikali kwa harufu ya ufisadi serikalini Bunge limethibisha kwamba kweli serikali ni Mafisadi kwa kumkingia kifua Chenge ilhali ushahidi uko wazi.
HONGERENI USALAMA WA TAIFA KWA KULINDA AMANI YETU.
Hii ni aibu kwa wana-korogwe kwa kumchagua huyu jamaa.Na hata hilo la kushindwa kutofautisha kati ya Polisi, Jeshi, UWT, Mgambo, Sungusungu, Polisi Jamii, Polisi Shirikishi n.k. ni kutokana na elimu yake ndogo ya Std 7.Iwepo sheria ya kudhibiti vilaza kama hawa kuingia bungeni.Maji marefu hawezi kutofautisha polisi, jeshi(jw) na usalama wa taifa!.