Kuhamishia wanyama huko Burigi: Neema kwa Rwanda

Tumeona wanyama wakubwa wakubwa wakihamishwa kutoka sehemu mbalimbali na kupelekwa huko Burigi.

Pori la Burigi lipo ngara ambayo imepakana na Rwanda.

Kama tunavyojua, Rwanda ina wanyama wachache sana kulinganisha na Tanzania, kwa hiyo move hii ya Tanzania inaweza kusaidia Rwanda sasa kupata Wanyama na kukuza utalii.

Kama mnavyojua, Wanyama hawajui mipaka ya Kisiasa kwa hiyo msishangae wakaamua kuishi popote, Tanzania hata Rwanda, huwezi kuwazuia.

Binafsi naona kwa move hii ya kuhamishia Wanyama huko Ngara ni bonge la Neema kwa Kagame.

Mimi nilifikiri kwanza kabla ya kupeleka wanyama mapori mengine basi tuboreshe kwanza vyanzo vya utalii wa wanyama tulivyokuwa navyo, tuboreshe huduma za mahoteli, tujenge viwanja bora n.k

Lakini hii ya kuhamishia wanyama Ngara, tunaenda kuwasaidia Wanyarwanda nao kupata chanzo cha utalii kwa gharama ya wanyama wetu, Je tumejiandaa kwa ushindani?
Am here to stay acha porojo zako !
Screenshot_20191101-085446.jpeg
 
hv ulishawahi kuwazuia wanyama wanaohama kwenda kenya wanaotoka seregeti?huu ni uchafuzi wa ubaguzi wa ukabila na unywarwanda,hv unataka kuniambia rwanda inatatizo gani kama nchi ya afrika mashariki kama kenya ilivyo.
 
Unaakili sana mkuu, mi nyongo ilikuwa imepanda nlitaka nimtukane mtoa post
Mkuu naamini wanyama wanaopelekwa si kiboko kwani twiga hawawezi kuogelea mto akagera kwenda Rwanda unless wakatize kwenye daraja Rusumo Sema issue ni majangiri maana tu nchi tule huwa tuna tubwana tunatumia silaha sana . Naamini tutafaidi kutokana na Rwanda kuwa inapata watalii wengi sana japo wanaishia kuona Ma nyani tu kule . Tumwache Rais afanye kazi yake maana naona capacity yake ya ku think iko beyond kizazi chetu hiki kinachobeza kila lifanywalo
 
Tumeona wanyama wakubwa wakubwa wakihamishwa kutoka sehemu mbalimbali na kupelekwa huko Burigi.

Pori la Burigi lipo ngara ambayo imepakana na Rwanda.

Kama tunavyojua, Rwanda ina wanyama wachache sana kulinganisha na Tanzania, kwa hiyo move hii ya Tanzania inaweza kusaidia Rwanda sasa kupata Wanyama na kukuza utalii.

Kama mnavyojua, Wanyama hawajui mipaka ya Kisiasa kwa hiyo msishangae wakaamua kuishi popote, Tanzania hata Rwanda, huwezi kuwazuia.

Binafsi naona kwa move hii ya kuhamishia Wanyama huko Ngara ni bonge la Neema kwa Kagame.

Mimi nilifikiri kwanza kabla ya kupeleka wanyama mapori mengine basi tuboreshe kwanza vyanzo vya utalii wa wanyama tulivyokuwa navyo, tuboreshe huduma za mahoteli, tujenge viwanja bora n.k

Lakini hii ya kuhamishia wanyama Ngara, tunaenda kuwasaidia Wanyarwanda nao kupata chanzo cha utalii kwa gharama ya wanyama wetu, Je tumejiandaa kwa ushindani?
Mkuu uzi wako unaishi, tayari wanyama wameshasepa kwenda Rwanda Akagera National Park.
 
Mkuu askofu shoo ametoka kuonya na kutuasa juzi ya kwamba watanzania ongeeni ukweli ili kusaidia taasisi zetu za dini (misikiti na makanisa ) serikali na watu ,hulka ya kujikaza kuongea uongo kwa kushabikia tu mrengo fulani ni sumu mbaya sana ,wewe sio mkuu wa mkoa ,wilaya wala mtumishi wa umma mwenye cheo ,na hata ungekuwa hapa una fake ID ,Mkuu unashindwa kusema ukweli sebuleni sawa unamuogopa baba,na chooni unaongea tena uongo bosi wangu?

Hivi kuna umuhimu gani wa kujenga uwanja wa ndege chato kisa kufufua mbuga kwa kuhamishia wanyama ,hivi mbuga zenye wanyama wengi na kubwa kama katavi ,kigoma (gombe na mahale) zina uwanja wa bil 39 kama huo wa katavi mbuga ambazo mungu kaziweka kwa mikono yake hamjazitumia hata robo ,mnaanza kutengeneza mbuga ya lazima mahali ambapo wanyama hawajapachagua ? wanyama hujichagulia wenyewe kwa kuishi ndo maana serengeti ina kila kitu lakini hakuna soko mtu wako zao kigoma,simba wa ruaha na manyara wako tofauti kitabia wa ruaha wapole na wazito ,wa manyara wanapanda hadi miti ina maana asili iliwachagulia hivyo kwa zaidi ya miaka 400,kama unabisha hamishia chura wa kihansi mto ruvuma wanakufa siku hiyo hiyo .chui wa serengeti wanajua wapi pa kupata riziki na hata huwezi ona chui amepotea kaenda makazi ya watu ,sasa leo unamtupa chato lazima ale sana wanakijiji maana hajui swala wanajificha wapi hata wewe unajua kutafuta pesa mji uliopo ukihamishiwa nairobi bila mtaji utaanza na kukaba watu ,je wanyama wanafanyaje?
Mh Magufuli haoni nyerere hakufanya hivyo butiama.mwinyi hakufanya hivyo,kikwete hakulazimisha jambo bagamoyo ,mkapa hakujenga maflyover mtwara ,mh ni raisi mzuri na mimi personally nampenda sio kinafiki maana hapa ni fake ID hata nikimtukana hatojua ,ila yes nampenda ,lakini kwenye chato anakosea miji huwa inastawi yenyewe kwa neem zake hakuna mji wa kulazimishwa na wanadamu ,hakuna siku dodoma itaikuta dar wala hakuna mkazi wa dar anaetaka kwenda dodoma itahama serikali sio watu ukitaka uiue arusha ,sitisha uchimbaji madini na utalii kaskazini ndani ya miaka mitano chato na arusha mjini zitakuwa sawa kimapato
kupanga ni kuchagua.
 
We have become the proxy colony of Rwanda without our knowledge.Hiko kitu kidogo tu.Tunajenga SGR kwenda Kigari so that we could give more power and influence to Rwanda over DRC which we could get by ourself.

Our economic intelligence sijui imeenda wapi?Peleka reli Kigoma,Mwanza na Kagera.Walazimishe waje kuchukua mzigo huko au wajenge reli kwa pesa zao kutokea huko na watumie reli yetu at a fee.

There will come a time when Tanzanians will travel to either Uganda or Rwanda to get their merchandise.
 
Tumeona wanyama wakubwa wakubwa wakihamishwa kutoka sehemu mbalimbali na kupelekwa huko Burigi.

Pori la Burigi lipo ngara ambayo imepakana na Rwanda.

Kama tunavyojua, Rwanda ina wanyama wachache sana kulinganisha na Tanzania, kwa hiyo move hii ya Tanzania inaweza kusaidia Rwanda sasa kupata Wanyama na kukuza utalii.

Kama mnavyojua, Wanyama hawajui mipaka ya Kisiasa kwa hiyo msishangae wakaamua kuishi popote, Tanzania hata Rwanda, huwezi kuwazuia.

Binafsi naona kwa move hii ya kuhamishia Wanyama huko Ngara ni bonge la Neema kwa Kagame.

Mimi nilifikiri kwanza kabla ya kupeleka wanyama mapori mengine basi tuboreshe kwanza vyanzo vya utalii wa wanyama tulivyokuwa navyo, tuboreshe huduma za mahoteli, tujenge viwanja bora n.k

Lakini hii ya kuhamishia wanyama Ngara, tunaenda kuwasaidia Wanyarwanda nao kupata chanzo cha utalii kwa gharama ya wanyama wetu, Je tumejiandaa kwa ushindani?
Acha wabadilishane ndio ushkaji unavyo kuwa, kagame alimpa mshkaji wake ng'ombe kadhaa wenye mapembe makubwa. Na mshkaji nae ameona atafute namna yakumshukuru mshkaji wake.
 
Hivi ka-nchi Kama Rwanda, hata Kama tungewagawia hata li Serengeti lote wana tudhuru nini?! Wana nini? Hua sielewi ni kwanini jukwaa hili hua Lina kuza Jambo hasa pale Rwanda inapotajwa!! Au ni strategy ya hawa ndugu zetu kujimwambafai!!!

Binafsi nilidhani ni wakati wa kukadesolve kwetu Ka nchi haka ili kuondoa kelele kwani naona Kama tuna interact Sana kuanzia tabora,kigoma Kagera na shinyanga ni mwingiliano wa DNA hatari tupu.
 
Tumeona wanyama wakubwa wakubwa wakihamishwa kutoka sehemu mbalimbali na kupelekwa huko Burigi.

Pori la Burigi lipo ngara ambayo imepakana na Rwanda.

Kama tunavyojua, Rwanda ina wanyama wachache sana kulinganisha na Tanzania, kwa hiyo move hii ya Tanzania inaweza kusaidia Rwanda sasa kupata Wanyama na kukuza utalii.

Kama mnavyojua, Wanyama hawajui mipaka ya Kisiasa kwa hiyo msishangae wakaamua kuishi popote, Tanzania hata Rwanda, huwezi kuwazuia.

Binafsi naona kwa move hii ya kuhamishia Wanyama huko Ngara ni bonge la Neema kwa Kagame.

Mimi nilifikiri kwanza kabla ya kupeleka wanyama mapori mengine basi tuboreshe kwanza vyanzo vya utalii wa wanyama tulivyokuwa navyo, tuboreshe huduma za mahoteli, tujenge viwanja bora n.k

Lakini hii ya kuhamishia wanyama Ngara, tunaenda kuwasaidia Wanyarwanda nao kupata chanzo cha utalii kwa gharama ya wanyama wetu, Je tumejiandaa kwa ushindani?
Mku wahenga wanasema " kizuri kula na nduguyo" yanini kumujima?
 
Back
Top Bottom