Kuhamia DP World au Kubaki TPA: Ushauri kwa wafanyakazi wa TPA

Taasisi za umma mazoea yamezidi hiyo job security inawapa kiburi nimefurahi sana sana kwa hili la dpw , waende sasa wakafanye kazi wamezoea kubebana mtoto wa mjomba na washangazi, nilitaka kulipia kodi ya gari kuna kijana kakaa na karatasi yangu pale tra fast mwezi mzima kutoa barua tu ya mimi kulipa kodi alikuwa anajizungusha kama mungu mtu, na hata ukienda kwa senior wake ni yale yale tu, taasisi za umma kidogo magufuli aliweza kuweka uwajibikaji sasahivi ni shamba la bibi
Na nashukuru kwamba serikali imeona kwamba tuongeze ufanisi tumpe mtu aendeshe ili watu wawajibike na serikali ipate mapato yake fullstop unayepinga hili unapinga kwa faida ya nani kama sio wizi na mazoea
Likewise mwendo kasi apewe muwekezaji aendeshe hakutakuwa tena na ujinga kama huu wa sasa
Mbona kama hujaeleweka boss.
Kosa ni la nani hapo?
Tumekosa serikali yenye utashi wa kusimamia taasisi zake.
Mi naona hao wengine wanaonewa tu, inayopaswa kubinafsishwa ni serikali sababu imeshindwa kusimamia watendaji wake.
 
Mbona kama hujaeleweka boss.
Kosa ni la nani hapo?
Tumekosa serikali yenye utashi wa kusimamia taasisi zake.
Mi naona hao wengine wanaonewa tu, inayopaswa kubinafsishwa ni serikali sababu imeshindwa kusimamia watendaji wake.
Kimsingi duniani kote mambo yapo hivyo serikali haiwezi kufanys biashara, inatakiwa ikusanye kodi itoe huduma kwa wananchi , uwanja wa ndege wa uingereza wa heathrow unamilikiwa kampuni binafsi , serikali ilichelewa kuliona hili , taasisi za serikali nyingi ni mzigo , niliomba kuconnect ttcl internet ilichukua miezi sita ndio nikafungiwa huduma mengine siongei humu kwa kutotaka kuharibia watu kazi.
hili la dpw litarudisha heshima na ufanisi wa bandari , kule tpa kulikuwa na mambo ya mtoto wa mjomba , huyu demu wa mkurugenzi fulani hao hata waharibu vipi hawaguswi, sasa wakati umefika wasimamiwe na private sector ili uwajibikaji uwepo , ukiwasikiliza hoja yao kubwa ni job security, hiyo ni kauli ya mtu mvivu ambae anajua haperform
 
Mbona kama hujaeleweka boss.
Kosa ni la nani hapo?
Tumekosa serikali yenye utashi wa kusimamia taasisi zake.
Mi naona hao wengine wanaonewa tu, inayopaswa kubinafsishwa ni serikali sababu imeshindwa kusimamia watendaji wake.
Kimsingi duniani kote mambo yapo hivyo serikali haiwezi kufanys biashara, inatakiwa ikusanye kodi itoe huduma kwa wananchi , uwanja wa ndege wa uingereza wa heathrow unamilikiwa kampuni binafsi , serikali ilichelewa kuliona hili , taasisi za serikali nyingi ni mzigo , niliomba kuconnect ttcl internet ilichukua miezi sita ndio nikafungiwa huduma mengine siongei humu kwa kutotaka kuharibia watu kazi.
hili la dpw litarudisha heshima na ufanisi wa bandari , kule tpa kulikuwa na mambo ya mtoto wa mjomba , huyu demu wa mkurugenzi fulani hao hata waharibu vipi hawaguswi, sasa wakati umefika wasimamiwe na private sector ili uwajibikaji uwepo , ukiwasikiliza hoja yao kubwa ni job security, hiyo ni kauli ya mtu mvivu ambae anajua haperform
 
Majuzi kumetokea tangazo kwa wafanyakazi wa TPA kuchagua kubaki TPA au kuhamia DP World. Hili ni jambo zuri lakini binafsi nina ushauri kwa wafanyakazi wa TPA. Kwanza uamuzi wa jambo hili lifanyike kwa umaakini mkubwa na ninashauri kama ifuatavyo:

(1) Kampuni yeyote inapofanya kazi nia kubwa ni kupata fada. Hilo halina mjadala na hivyo nia kubwa ya DP World ni kupata faida. Pindi DP World atakapoanza kazi atafanya maboresho makubwa katika shughuli zake kwa maana ya mashine za kisasa ili kurahisisha kazi na kazi iliyokuwa inafanyika mfano kwa watu 100 inaweza sasakufanyika na watu 10 na hivyo kupunguza watu 90. DP World watawaita wale watu 90 na kuwapunguza kazi. Nia yao ni faida kubwa.

(2) Wale watakaohamia DP World watawekewa sheria zisizo rafiki, sheria ambazo hawakuzizoea walipokuwa TPA na hivyo kuwafanya kujiondoa wenyewe.

(3) Kufanya kazi DP World hakutakuwa usalama wa kazi (Security) kama ilivyokuwa TPA hivyo wakati wowote mfanyakazi anaweza kufukuzwa bila kufuata utaratibu.

Pamoja na maelezo niliyoyatoa hapo juu pia nitatoa faida ya kuendelea kufanya kazi TPA.

(1) Kufanya kazi TPA kuna usalama mkubwa wa kazi. Una uhakika na mshahara wako japo unaweza kuwa ndogo lakini utaendelea nao mpaka utakapostaafu kazi.

(2) Pia kufanya TPA una uhakika wa malipo ya uzeeni yaani pensheni pindi utakapofika umri wa kustaafu.

(3) Inawezekana kuhamishwa mikoani kwenye bandari mbalimbali mfano Musoma, Mwanza, Kyela, Ukerewe, Bukoba, Mtwara, Tanga n.k. Hiyo isikutishe. Mikoani kuna fursa nyingi.

Kwa hitimisho nawashauri MSIHAMIE DP World na baadaye msije mkajuta ila kama DP World atamhitaji mtumishi mmoja mmoja basi mkae nao meza moja na kujadiliana nao kwa kufuata vipengele vyote vya kazi na baadaye mnaweza kukubaliana.
 
My friend usidhanie watu wote tunawaza ajira kama wewe tulishafanya kazi at senior levels na sasa tupo nje ya nchi tunafanya biashara zetu u have poverty mentality ndio maana unaona kila mtu anayekosoa anawaza ajira yako , ndio tatizo la elimu ya tanzania inadumaza watu , wote wanawaza wasome ili waajiriwe mwisho wa siku hicho kiajira kikikutoka siku mbili unaumwa unakufa get out of that comfort zonevili ukuwe
Huelewi kitu kuhusu nambo ya utumishi ndio maana unakimbilia kushutumu kuwa watumishi ni wezi. Katika utumishi wowote ule decision makers ni wachache, unaweza kukuta taasisi yenye watumishi mia mbili ina matatizo ya utendaji lakini chanzo kikiwa ni mtu mmoja tu.

Nchi hii inaharibiwa na wanasiasa sio watumishi. Huo mkataba wa Dp world haufai lakini tangu mwanzo watu wanaushabikia tena wengine kwa sababu za kidini na chuki.
Watu wanaposoma karibia wote wanawaza kuajiriwa huo ndio ukweli kwa sababu economy of scsle hairuhusu kila akiyesomea kitu aanzishe biashara ya alichosomea. Mfano madaktari zaidi ya mia tano wanahitimu kila mwaka, je kila mmoja wao afungue hospitali? Hao wateja watatoka wapi? Au chuo kinachofundisha urubani kufundishe kulima-mchicha ili marubani wakajiajiri kulima mchicha?
Tatizo la ajira lipo lakini chanzo kikubwa ni sera mbovu zinaxotekelezwa ambazo zinaua ajira nyingi na kuzalisha ajira mpya chache. Hata hoja gani zitolewe tatizo la ajira litaendelea kukua mpaka hapo sera sahihi zitakapoanza kutekelezwa.
Vyuo vina wajibu wa kumfundisha mtu ili aive katika taaluma anayoisomea sio xiache jukumu la msingi vidandie kumfundisha mtu kujiajiri. Wanasiasa wataendelea kuimba na kuwadanganya huku wao wakiwa ndio source ya ukosefu wa ajira.
Mtu anapohitimu fani fulani kisha akakosa ajira atatafuta kitu kingine tofauti na taaluma yake ili afanye aweze kupata kipato.

Biashara zitaendelea kufuguliwa na wachache huku wengi wakitegemea kuajiriwa.
 
Ni kweli unachosema lakini dunia kwa sasa ipo hivyo ila tuseme ukweli taasisi za umma kuna tatizo kwenye utendaji viongozi wamekuwa wanafanya kszi kimazoea hawa wa chini ni wahanga tu masikini ya mungu ila privatization for now haiepukiki
Huelewi kitu kuhusu nambo ya utumishi ndio maana unakimbilia kushutumu kuwa watumishi ni wezi. Katika utumishi wowote ule decision makers ni wachache, unaweza kukuta taasisi yenye watumishi mia mbili ina matatizo ya utendaji lakini chanzo kikiwa ni mtu mmoja tu.

Nchi hii inaharibiwa na wanasiasa sio watumishi. Huo mkataba wa Dp world haufai lakini tangu mwanzo watu wanaushabikia tena wengine kwa sababu za kidini na chuki.
Watu wanaposoma karibia wote wanawaza kuajiriwa huo ndio ukweli kwa sababu economy of scsle hairuhusu kila akiyesomea kitu aanzishe biashara ya alichosomea. Mfano madaktari zaidi ya mia tano wanahitimu kila mwaka, je kila mmoja wao afungue hospitali? Hao wateja watatoka wapi? Au chuo kinachofundisha urubani kufundishe kulima-mchicha ili marubani wakajiajiri kulima mchicha?
Tatizo la ajira lipo lakini chanzo kikubwa ni sera mbovu zinaxotekelezwa ambazo zinaua ajira nyingi na kuzalisha ajira mpya chache. Hata hoja gani zitolewe tatizo la ajira litaendelea kukua mpaka hapo sera sahihi zitakapoanza kutekelezwa.
Vyuo vina wajibu wa kumfundisha mtu ili aive katika taaluma anayoisomea sio xiache jukumu la msingi vidandie kumfundisha mtu kujiajiri. Wanasiasa wataendelea kuimba na kuwadanganya huku wao wakiwa ndio source ya ukosefu wa ajira.
Mtu anapohitimu fani fulani kisha akakosa ajira atatafuta kitu kingine tofauti na taaluma yake ili afanye aweze kupata kipato.

Biashara zitaendelea kufuguliwa na wachache huku wengi wakitegemea kuajiriwa.
 
Kimsingi duniani kote mambo yapo hivyo serikali haiwezi kufanys biashara, inatakiwa ikusanye kodi itoe huduma kwa wananchi , uwanja wa ndege wa uingereza wa heathrow unamilikiwa kampuni binafsi , serikali ilichelewa kuliona hili , taasisi za serikali nyingi ni mzigo , niliomba kuconnect ttcl internet ilichukua miezi sita ndio nikafungiwa huduma mengine siongei humu kwa kutotaka kuharibia watu kazi.
hili la dpw litarudisha heshima na ufanisi wa bandari , kule tpa kulikuwa na mambo ya mtoto wa mjomba , huyu demu wa mkurugenzi fulani hao hata waharibu vipi hawaguswi, sasa wakati umefika wasimamiwe na private sector ili uwajibikaji uwepo , ukiwasikiliza hoja yao kubwa ni job security, hiyo ni kauli ya mtu mvivu ambae anajua haperform
Mkuu tatizo la Tanzania sio kukosa sector binafsi ni uongozi wa Tanzania
Kwenye madini, gas, hata bank na viwanda vyote tulivyo binafsisha havijawahi kuwa na tija.
Hata bandari siamini kama italeta tija
 
Kimsingi duniani kote mambo yapo hivyo serikali haiwezi kufanys biashara, inatakiwa ikusanye kodi itoe huduma kwa wananchi , uwanja wa ndege wa uingereza wa heathrow unamilikiwa kampuni binafsi , serikali ilichelewa kuliona hili , taasisi za serikali nyingi ni mzigo , niliomba kuconnect ttcl internet ilichukua miezi sita ndio nikafungiwa huduma mengine siongei humu kwa kutotaka kuharibia watu kazi.
hili la dpw litarudisha heshima na ufanisi wa bandari , kule tpa kulikuwa na mambo ya mtoto wa mjomba , huyu demu wa mkurugenzi fulani hao hata waharibu vipi hawaguswi, sasa wakati umefika wasimamiwe na private sector ili uwajibikaji uwepo , ukiwasikiliza hoja yao kubwa ni job security, hiyo ni kauli ya mtu mvivu ambae anajua haperform
Vp huko kwa wenzetu ulikotolea mfano, nao pia wanaserikali goi goi na fisadi km hizi za huku kwetu?
Pia umetaja mfano wa uwanja wa ndege mmoja huko uingereza unazani huduma zote uingereza wamewapa wawekezaji? Mbona hujataja nchi km China, india, Russia nk?
Unaweza ukanitajia hata shirika moja hapa nchini walilopewa wawekezaji na linafanya vizuri?
Na mikataba ya uwekezaji wanayoingia huko uingereza inaweza kufanana na hii ya wanayoingia viongozi wetu?
 
Wabaki tu kama mtu hajiamini au alikuwa anakula kwa urefu wa kamba basi abaki tu hapo
Huko watakuta camera kila kona na masharti kibao hata kama ulikuwa sio mwizi bali umezoea ilifika saa 5 tu unaenda zako kutafuta mlo masaa manne ukirudi unaenda home
Huko unakutana na clock card utakula ulichopanda au unaweza hata kufukuzwa
Kubadili tabia ni ngumu kwa wengi kwa hiyo kuna hatari ya kufukukwa kwa uzembe au wizi
😀😀Kwahiyo wezi wote wabaki TPA?...
 
Majuzi kumetokea tangazo kwa wafanyakazi wa TPA kuchagua kubaki TPA au kuhamia DP World. Hili ni jambo zuri lakini binafsi nina ushauri kwa wafanyakazi wa TPA. Kwanza uamuzi wa jambo hili lifanyike kwa umaakini mkubwa na ninashauri kama ifuatavyo:

(1) Kampuni yeyote inapofanya kazi nia kubwa ni kupata fada. Hilo halina mjadala na hivyo nia kubwa ya DP World ni kupata faida. Pindi DP World atakapoanza kazi atafanya maboresho makubwa katika shughuli zake kwa maana ya mashine za kisasa ili kurahisisha kazi na kazi iliyokuwa inafanyika mfano kwa watu 100 inaweza sasakufanyika na watu 10 na hivyo kupunguza watu 90. DP World watawaita wale watu 90 na kuwapunguza kazi. Nia yao ni faida kubwa.

(2) Wale watakaohamia DP World watawekewa sheria zisizo rafiki, sheria ambazo hawakuzizoea walipokuwa TPA na hivyo kuwafanya kujiondoa wenyewe.

(3) Kufanya kazi DP World hakutakuwa usalama wa kazi (Security) kama ilivyokuwa TPA hivyo wakati wowote mfanyakazi anaweza kufukuzwa bila kufuata utaratibu.

Pamoja na maelezo niliyoyatoa hapo juu pia nitatoa faida ya kuendelea kufanya kazi TPA.

(1) Kufanya kazi TPA kuna usalama mkubwa wa kazi. Una uhakika na mshahara wako japo unaweza kuwa ndogo lakini utaendelea nao mpaka utakapostaafu kazi.

(2) Pia kufanya TPA una uhakika wa malipo ya uzeeni yaani pensheni pindi utakapofika umri wa kustaafu.

(3) Inawezekana kuhamishwa mikoani kwenye bandari mbalimbali mfano Musoma, Mwanza, Kyela, Ukerewe, Bukoba, Mtwara, Tanga n.k. Hiyo isikutishe. Mikoani kuna fursa nyingi.

Kwa hitimisho nawashauri MSIHAMIE DP World na baadaye msije mkajuta ila kama DP World atamhitaji mtumishi mmoja mmoja basi mkae nao meza moja na kujadiliana nao kwa kufuata vipengele vyote vya kazi na baadaye mnaweza kukubaliana.
kufanya kazi chini ya mwarabu ni mtihani mkubwa mno!!!!,,,,,,,,ona dada zetu wanavoteswa huko arabuni,wengine kubakwa na hata kuuwawa au wengine wakijiua kabisa '"kwenye akili ya mwarabu yoyote yule m2 mweusi ni mtumwa"........
 
Majuzi kumetokea tangazo kwa wafanyakazi wa TPA kuchagua kubaki TPA au kuhamia DP World. Hili ni jambo zuri lakini binafsi nina ushauri kwa wafanyakazi wa TPA. Kwanza uamuzi wa jambo hili lifanyike kwa umaakini mkubwa na ninashauri kama ifuatavyo:

(1) Kampuni yeyote inapofanya kazi nia kubwa ni kupata fada. Hilo halina mjadala na hivyo nia kubwa ya DP World ni kupata faida. Pindi DP World atakapoanza kazi atafanya maboresho makubwa katika shughuli zake kwa maana ya mashine za kisasa ili kurahisisha kazi na kazi iliyokuwa inafanyika mfano kwa watu 100 inaweza sasakufanyika na watu 10 na hivyo kupunguza watu 90. DP World watawaita wale watu 90 na kuwapunguza kazi. Nia yao ni faida kubwa.

(2) Wale watakaohamia DP World watawekewa sheria zisizo rafiki, sheria ambazo hawakuzizoea walipokuwa TPA na hivyo kuwafanya kujiondoa wenyewe.

(3) Kufanya kazi DP World hakutakuwa usalama wa kazi (Security) kama ilivyokuwa TPA hivyo wakati wowote mfanyakazi anaweza kufukuzwa bila kufuata utaratibu.

Pamoja na maelezo niliyoyatoa hapo juu pia nitatoa faida ya kuendelea kufanya kazi TPA.

(1) Kufanya kazi TPA kuna usalama mkubwa wa kazi. Una uhakika na mshahara wako japo unaweza kuwa ndogo lakini utaendelea nao mpaka utakapostaafu kazi.

(2) Pia kufanya TPA una uhakika wa malipo ya uzeeni yaani pensheni pindi utakapofika umri wa kustaafu.

(3) Inawezekana kuhamishwa mikoani kwenye bandari mbalimbali mfano Musoma, Mwanza, Kyela, Ukerewe, Bukoba, Mtwara, Tanga n.k. Hiyo isikutishe. Mikoani kuna fursa nyingi.

Kwa hitimisho nawashauri MSIHAMIE DP World na baadaye msije mkajuta ila kama DP World atamhitaji mtumishi mmoja mmoja basi mkae nao meza moja na kujadiliana nao kwa kufuata vipengele vyote vya kazi na baadaye mnaweza kukubaliana.
Maulidi Kitenge anasemaje
 
Ushauri ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi mzembe na excuse za hapa na pale please usihamie dpw.
Huko hakuna kuhamishwa kituo ni moja kwa moja kwenu.
 
Back
Top Bottom