Thanks for giving
Senior Member
- Jun 1, 2015
- 137
- 23
Haya madawa ya uzazi wa mpango nayo yanapoteza mamzuka sana kwa hawa wake zetu....Achilia mbali life style ya mwanamke kazi anazofanya unakuta za kuchosha, majukumu ya hme bado anadongo ananyonyesha so akifika bed ye anaamini ndo sehemu pekee ya kupumzika ila napo mtoto mkubwa nae anataka abebwe...So siyo lazima anamchepuko mambo mingi mno sana.....Mi nashukuru nikifikaga hme mastimu yote nimeyamalizia Gym hadi yeye ndo huwa analeta noma mbona unachunia mzigo na mimi kama sitaki nakamata kitu...Yaan hata baada week kitu bado imevimba kwa gemu alopata.So kupitisha wk kwangu kawaida sana ila nikikamata ni balaa
mmmh....babuu nimekumiss
Tafuta mchepuko af huyo mpotezee na mpapuchi wake hata mwaka atajileta mwenyewe!!
Wakati namwanamke anasaidiwa ubo wa mmewe maana umemshinda.
Usidhani kwamba wanaume wanapenda michepuko la hasha. Kero kama hizi ndiyo zinasababisha mwanaume achepuke. Kumnyima mwenzi wako unyumba ni unyanyasaji. Suluhisho la haya yote ni kumtafuta wa kukuliwaza ambaye ukimuhitaji muda wowote unampata. Wanawake walioolewa ni kero sana wanajiona kama washindi baada ya kumaliza mbio hivyo hawajishughulishi tena na waume zao. Mzee chepuka tu hamna namna nyingine.
Unaonaje akikuchepusha wewe..?
Je ni halali unakuwa na mke ndani halafu anakupangia masharti ya kugegeda wakati mahari yote umelipa? Kilasiku oh nimechoka, ukitaka kuforce anabana miguu, yaani hadi upewe mzigo ni kama vile unaanza upya kutongoza, yaani najuuta kuoa. Je huu ni ungwana?
Na kwanini iwe mimi si wewe!?
Je ni halali unakuwa na mke ndani halafu anakupangia masharti ya kugegeda wakati mahari yote umelipa? Kilasiku oh nimechoka, ukitaka kuforce anabana miguu, yaani hadi upewe mzigo ni kama vile unaanza upya kutongoza, yaani najuuta kuoa. Je huu ni ungwana?