Kugegeda mara1 kwa wiki

Kugegeda mara1 kwa wiki

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Je ni halali unakuwa na mke ndani halafu anakupangia masharti ya kugegeda wakati mahari yote umelipa? Kilasiku oh nimechoka, ukitaka kuforce anabana miguu, yaani hadi upewe mzigo ni kama vile unaanza upya kutongoza, yaani najuuta kuoa. Je huu ni ungwana?
 
hebu mkaushie mpaka aombe mwenyewe....
ikipita wiki tatu kimya looo hapo shtuka
 
Kuna mtua anagegeda bila wewe kujua stuka anza kufatilia kimyakimya utapata jibu tu, kwani mwanzoni ilikuwa hivohivo?
 
Katika dini ikiwa hakuna sababu ya msingi na hasa ugonjwa, ni lazima akupe unyumba. Akikwepa kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe,aikubaliki.
 
Wakwangu Anajua Kabisa Akipanda Bed Hana Pichu.Me Nataka Daily.Labda Awe Mgonjwa Lakini Kinyume Na Hapo Me Nalima Mpunga Daily.Jaribu Kumpiga Beat Mwangu Unaonewa Sana Na Ikibidi Nenda Kwa Wazazi.Ati Unasema Mara Moja Kwa Wiki??Yani Me Kila Akipanda Bed Kitu Kimekua Msumari Inata Kutelezer,
 
Kama hana mchepuka labda ana jini mahaba nao wanachangia. Muulize kama anaota ndoto za kuingiliwa...
 
Hali hii hutokea mara nyingi kama humfikishi mtu wako. Yaani humpi kitu rohi inataka. Kiasi anaona una mtumia tu kujifurahisha mwenyewe. Hivyo anakosa hamu ya kufanya hilo tendi na wewe.

Jitathimini utendaji wako kwenye game, kisha zungumza naye. Vunja ukimya.
 
Ni haki ya mwanaume kula tunda hata kama yupo jikon anapika lazma a stop kuendelea kupika akagegedwe akimaliza ndiyo aendelee kupika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom