Mobutu alikuwa boyaSamahani naomba mmoja anitajie mjukuu mmoja tu wa Mobutu aliyerithi generational wealth ya babu yake
Ushauri mzuriWakuu mkiendelea kubaki ndani ya CDM mtakufa njaa na wake zenu wanataka Hela na watoto shule!! Muhimu ingieni tu kwenye mfumo wa CCM kimya kimya maisha yaendelee hakuna namna
True brother yaani tunabaki kuwaonea wivu maana walipo hatupo wanapiga parefu haswa..mimi nina rafiki yangu imagine nimegraduate nae mika 8 tu iliyopita sasa napiga nae story ananiambia anajenga apartment 10 kwa pamoja imagine huku mimi nikijiangalia napambana na kibanda cha kulalia huu mwaka wa 4 hata sioni kama nitamaliza hivi karibuni..Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.
Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.
Na tukienda hivi mpaka 2030..
Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.
Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..
Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Ndicho alichosema Comredi, ...kama wewe ni kijana pambana na wewe uwe fisadi na sio kupambana kulaumu laumu tu
Kila mtu akila vinono akishiba anafuta mdomo watu wasijue kala nyama.HIvi Unge likuwa ni wewe uko kwenye system Unge likuwa na hii mindset?
Kila mtu na urefu wa kamba yake,kama huna kamba subiri tu kiama.Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.
Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.
Na tukienda hivi mpaka 2030..
Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.
Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..
Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Kweli mkuu maana CCM haipigiki kiukweli na ukijaribu kupigana nayo maisha yako utaishi kama digidigi biashara utafunga na kazi hautafanya kutwa kujificha sasa familia itakula nini?hahahahahaha, sawa sawa kama huwawezi jiunge nao
Kuna namna watu wanadhani wale walio serikalini ni wa chafu..True brother yaani tunabaki kuwaonea wivu maana walipo hatupo wanapiga parefu haswa..mimi nina rafiki yangu imagine nimegraduate nae mika 8 tu iliyopita sasa napiga nae story ananiambia anajenga apartment 10 kwa pamoja imagine huku mimi nikijiangalia napambana na kibanda cha kulalia huu mwaka wa 4 hata sioni kama nitamaliza hivi karibuni..
Ukweli niliojifunza tusichukue kila ushauri wa watu isee serikalini kutamu sana lazima nirudi kwa namna yeyote ile. Kwa sasa ni patamu haswa..
Ndio maana kuanguka inakua rahisi pia.Bahati mbaya ni kuwa they're not creating generational wealth, kama wapo wanaofanya hivyo ni 10% tu huenda
Kuna wengine wanapambana kiboya. Wanaishia kufunuliwa kitabu yaani makebo.kama wewe ni kijana pambana na wewe uwe fisadi na sio kupambana kulaumu laumu tu
Mambokama wewe ni kijana pambana na wewe uwe fisadi na sio kupambana kulaumu laumu tu
poa bestMambo
Umeadimika rafiki.poa best
huyo sio mpambanaji ,mpambanaji hawezi kufanya hivyoKuna wengine wanapambana kiboya. Wanaishia kufunuliwa kitabu yaani makebo.
mimi nipo, ila utakua umebadili id ,hii yako ngeni kwanguUmeadimika rafiki.
Umenena kitu ngumu Kumeza...Wakuu mkiendelea kubaki ndani ya CDM mtakufa njaa na wake zenu wanataka Hela na watoto shule!! Muhimu ingieni tu kwenye mfumo wa CCM kimya kimya maisha yaendelee hakuna namna
Kumbe unahisi Tu kama wanaiba,huna uhakika,kama kujenga ndo wizi basi na Dubai imejengwa kwa wizi,muhimu Fanya Kazi ujenge na wewe,Wacha wivuKinacho endelea awamu hii ni kufuru.
Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.
Na tukienda hivi mpaka 2030..
Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.
Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..
Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.
Kila mtu ashinde mechi zake.