de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 13,066
- 25,673
Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.
Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.
Na tukienda hivi mpaka 2030..
Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.
Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..
Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.
Na tukienda hivi mpaka 2030..
Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.
Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..
Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.
Kila mtu ashinde mechi zake.