Kufuru ya awamu hii haijawahi tokea

Kufuru ya awamu hii haijawahi tokea

de Gunner

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
13,066
Reaction score
25,673
Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.

Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.

Na tukienda hivi mpaka 2030..

Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.

Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..

Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.

Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.

Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.

Na tukienda hivi mpaka 2030..

Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.

Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..

Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.

Kila mtu ashinde mechi zake.
Nchi imefunguka watu wanafanya biashara kwa uhuru na kuna usalama kwa wawekezaji ndio maana unaona ukuaji na pia utakuwa umeona Soko la Hisa DSE linakuwa kwa kasi, hakuna mwekezaji anayewekeza pasipo na usalama na mazingira mazuri.
 
We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.

Waswahili wana usemi usemao:- Mtoto wa mwizi ni mwizi
 

Attachments

  • IMG_7503.jpeg
    IMG_7503.jpeg
    326.1 KB · Views: 7
  • 3AF3CC38-7B7C-4A4B-8049-3304AD44236B.jpeg
    3AF3CC38-7B7C-4A4B-8049-3304AD44236B.jpeg
    311.6 KB · Views: 6
Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.

Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.

Na tukienda hivi mpaka 2030..

Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.

Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..

Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.

Kila mtu ashinde mechi zake.
Samahani naomba mmoja anitajie mjukuu mmoja tu wa Mobutu aliyerithi generational wealth ya babu yake
 
Kinacho endelea awamu hii ni kufuru.

Watu wanapiga pesa, watu wana shusha mijengo.

Na tukienda hivi mpaka 2030..

Hakika, kuna mijitu inajichotea mali mpaka basi.

Shame on us ambao hatuko kwenye hio Mifereji..

Ukweli ni kwamba, nani asiyependa pesa? Tutakaa tunaongea sana, ila hakuna anaye taka kuachilia mereji wake upotee.. We'll keep rambling while those in the system create generational wealth.

Kila mtu ashinde mechi zake.
kama wewe ni kijana pambana na wewe uwe fisadi na sio kupambana kulaumu laumu tu
 
Back
Top Bottom