King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,598
Kama sio Mwanamke basi anaweza kuwa na urafiki na kina Giggy.
Kuna mwamba hapo juu katoa 1000,000Mmh shoga kidawa aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili , uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hii mi mbwa inapenda sifa hela haina, na hapo bado domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
Aliolewaga na mchops tu yule kaka unamkumbukaga Baba Samira...wengine yeye ndo kaoa!!Toka lin Dida akaoelewa, yeye ndo kila siku anaoa
Hadi ezden aliolewa?Aliolewaga na mchops tu yule kaka unamkumbukaga Baba Samira...wengine yeye ndo kaoa!!
Umesahau alifurushwa na rambo amshukuru yule bavichaHadi ezden aliolewa?
sjui ilinipitajeUmesahau alifurushwa na rambo amshukuru yule bavicha
Umesahau na bavicha nae akamrekodi utupu...dunia ina vituko hiisjui ilinipitaje
Haaaaa jamani. Hasira za nini tena hizoDida huu mwaka wa 15 hajui bei ya pedi sasa jiongeze mwenyewe, angekua ameajiriwa serikalini alishastaafu kitambo na pension amekula imeisha kabisa
Oohooo GENTAMYCINE yupi?msimsahau dada yenu Gentamycine
Kuna yule bwa mdogo anajiita edizeni ze loka naona aliingia choo cha kike.Aliolewaga na mchops tu yule kaka unamkumbukaga Baba Samira...wengine yeye ndo kaoa!!
Oohooo GENTAMYCINE yupi?
Hapa kwa sadala naunga mkono hojadomo atasema anatoa mil 100
Haaaaa Haaaaa 😂 kumbe unamuelewaga, Haaaaa 😂Anamchokoza Purely Talented and Charismatic Fella.
Basi tu huyo anatafuta kiki, yeye ndo anaoaWatu na manyota yaooo!kuanzia mchops,G na Ezden Leo anaolewa 4th time!
Usililie uzuri Lilia bahati