Kufunguliwa kwa vyuo na shule zote

Kufunguliwa kwa vyuo na shule zote

"Balakoa"Bila shaka Wewe ni First Year unawazia Boom..

Ivi unafikiri iyo elimu itaeleweka kwa wote? yani wali watoto wa vidudu uwaambie wasikaribiane ili kuepuka kugusana hapo utakua unajidanganya kabisa
Hao Ndo wafunge, afu kukosea neno moja haibadiri maana, umeandika stupid things

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mwalimu wa kujitolea naona vyuma vimekaza,nikuambie serikali ina wasomi wengi kabla ya kufikia hatua ya kupinga shule ilishayapitia yote,kwa sasa tunapigana na vitu vuwili tu kifo na uzima,kama wewe kwako elimu ni bora kuliko uzima pole sana

Kumbuka umetoa hoja ya watoto kuvaa barakoa hivi wewe umewahi hata kulea watoto wa shemeji yako uone walivyo wasumbufu,mtoto wa miaka tano hawezi kamwe kukubali kuvaa barakoa anaona kama ni kero ,lakini kumbuka pia corona haenezwi kwa hewa tu kusema kuwa ukivaa barakoa basi umemthibiti,kuna hatua zingine zinahitaji kufuatwa


Kiufupi imekula kwako kuwa mvumilivu,elimu Haita linganishwa kamwe na uhai,even if ugonjwa utadumu kwa miaka kumi ukiwa na kasi hii amini shule zitaendelea kufungwa
Ndo mana nikasema wanafunzi waingie Kwa shift ata tatu ili mradi wapate elimu atuwez kusimamisha mambo yote kisa kitu ambacho ujui kitaisha lini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naheshimu maoni yako.
Lakini ngoja nikuulize haraka yote hiyo ya nini?

Unafikiri huko kwenye nyumba za ibada wanakaa pamoja muda mrefu tena watu wengi kwenye chumba kidogo kama darasa?
Unafikiri watoto wana umakini katika kujizuia wasiguse usoni au wasiweke vitu ovyo mdomoni?
Unafikiri watoto wanaweza kunawa mara kwa mara kwa maji na sabuni?
Unafikiri tutapata wapi pesa ya kuongeza madarasa ili wanafunzi wachache wakae chumba kimoja kwa umbali sahihi kati ya mwanafunzi mmoja na mwingine?

Wewe kama mwalimu au mwalimu wa tuition au mfanyakazi wa shule au chuo vumilia au pendekeza namna ya kuwawezesha kipindi hiki kigumu, babu wa babu zako hawakusoma shule au chuo na waliishi.

Uhai kwanza na mengine yatakuja baadae hali ikiruhusu bila kuathiri uhai wa watu.
Kitu kinachoitwa change kina impact zake akuna kitu utafanya kisiwe na faida na changamoto Muhimu kupambana na changamoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom